Kwa wanawake tu, wanaume tunakaribishwa kuchomekea

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitaumwa tumbo la ghafla hadi nikalazwe.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ukitoka hospital unarudi kusafisha hapo..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitaumwa tumbo la ghafla hadi nikalazwe.
Hahahaaa. Lol.

Ila aliyechafua naye ndio akasafishe naye kwa kweli.
 
Nikiwa kama mwanaume.. hapo kama dada hautonikimbia na wewe usubirie tuuu kuchafuliwa kama hilo jiko...
 
Huo uchafu sio wa mtu mzima kabisa, inabidi kabla ya kufanya usafi apelekwe akatibiwe ubongo.
Na pia nionavyo ile itakuwa sehemu ya kutunzia vitu visivyotumika sio bure.

Maana palivyokaa ukijifanya kusafisha waeza maliza masiku unapaeka sawa na pasikae. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…