Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru Mimi niliwahi tumiwa vocha ya zaidi ya 30K na namba sijui ila nikahadithia mtu, Mimi ni muaminifu jamani..Nilitaka kusema we jamaa ni empty set kabisa ila nimekausha.
Yaani binti wa watu unamtafutia kesi ya bure dah! Kama unampenda basi achana kabisa na tabia hii ya kuweka hii mitego yako ya kiutopolo topolo hii. Utakuja kumpoteza kwa uboya wako na inferiority complex yako...Kuhusu wakala ndio msingi wa swali langu, kwamba hawezi kumuuliza aliyetuma.
Haiwezi kuwa na maana kwamba kuna wanaume wengine wanaweza kumtumia, kwa hiyo hana uhakika aulize yupi?
Nilijua tu hili ndio kusudio lako, sasa pesa imetumwa na wakala namuulizaje babe? What if ni mama ndio katuma au mtu kakosea kutuma!! Hivi pesa ikitoka kwa wakala huwa inakuja na namba ya simu ya wakala?Kuhusu wakala ndio msingi wa swali langu, kwamba hawezi kumuuliza aliyetuma.
Haiwezi kuwa na maana kwamba kuna wanaume wengine wanaweza kumtumia, kwa hiyo hana uhakika aulize yupi?
Nashukuru Mimi niliwahi tumiwa vocha ya zaidi ya 30K na namba sijui ila nikahadithia mtu, Mimi ni muaminifu jamani..
Why umefikiria mwanaume mwingine kumtumia?Kuhusu wakala ndio msingi wa swali langu, kwamba hawezi kumuuliza aliyetuma.
Haiwezi kuwa na maana kwamba kuna wanaume wengine wanaweza kumtumia, kwa hiyo hana uhakika aulize yupi?
Hapa ndio msemo wa kuishi na binadamu ni kazi. Mtu anataka kumchokoza mwenza mtulivu, apate kumtoa kasoro.Hajakuuliza sababu si kawaida ako kumtumia pasipo kumwambia. Halafu pesa imetumwa na wakala anafanyeje??
Anampigiaje simu wakala sasa?
Kuna siku nmekaa sina hata mia.....mara paaap TIGO PESA umepokea tsh 98000 nikaona Mungu kaamua kuniwezesha, nikaipigia bajeti haraka na hesabu ya nyama choma nikaweka, nduki kwa wakala kuitoa.....nmekaa dakika 20 tu nikatafutwa sitasahau niliumia utadhani ilikua hela yangu 😁Natulia tuliii na siitoi isije ikawa mtu kakosea kutuma. Hivyo natulia airudishe mwenyewe au anipigie nimrudishie. Au la alieituma aseme.
Una umri gani hadi ufikirie kufanya vitu vya ajabu ajabu hivyo!! Tusijaribiane namna hiyo jamani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna siku nmekaa sina hata mia.....mara paaap TIGO PESA umepokea tsh 98000 nikaona Mungu kaamua kuniwezesha, nikaipigia bajeti haraka na hesabu ya nyama choma nikaweka, nduki kwa wakala kuitoa.....nmekaa dakika 20 tu nikatafutwa sitasahau niliumia utadhani ilikua hela yangu [emoji16]
Niliirudisha kwa aibu na machungu 😔[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo hukuirudisha!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole sana.Niliirudisha kwa aibu na machungu [emoji17]