Kwa Wanawake: Vaa viatu vinavyoendana na umbo la miguu yako

Kwa Wanawake: Vaa viatu vinavyoendana na umbo la miguu yako

Zurie

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
2,012
Reaction score
5,571
Warembo wengi huwa tunajitahidi kuvaa nguo zitakazotukaa vizuri kulingana na maumbo yetu lakini viatu tunavaa tu vyovyote tunavyoona vizuri. Hii si sahihi!

Kama mjuavyo, muonekano mzuri wa mavazi hukamilishwa na kiatu. Leo napenda kuzungumzia viatu virefu maarufu kama "high heels". Hii itatuhusu tunaovaa high heels kwenda ofisini na hata kwenye sherehe mbalimbali.

1. Kwa wenye miguu minene

Epuka viatu vyenye mkanda kwenye kifundo cha mguu(ankle) kwani itagawa miguu yako na kufanya sehemu ya goti hadi kifundo kuonekana fupi na nene zaidi

img_284907670378021.jpeg


Vaa viatu vilivyo na ncha kwa mbele(pointy toes) au vilivyo na uwazi kwenye vidole(peep toes) ili kusaidia miguu yako kuonekana mirefu na miembamba.

Zari_Hassan_2wdsdssd.jpg


Epuka rangi zinazovuta attention kwenye miguu na badala yake vaa rangi zilizopoa kama brown, na zinazoendana na ngozi yako(nude). Pia vaa material ya ngozi au suede na si viatu vya kung'aa.

ZARI HASSAN THE BOSS LADY78.jpg


2. Kwa wenye miguu mirefu

Vaa viatu vyenye mkanda kwenye kifundo cha mguu(ankle strap).

Vaa viatu vyenye kamba mpaka juu au urembo mbalimbali kama hapa chini.

long-legs-600x591.jpg


3. Kwa wenye miguu miembamba

Vaa wedges ili kuongeza ujazo maeneo ya miguuni.

fe636a3540a2137514a6e0eb8f6afeae--pink-wedges-strappy-wedges.jpg


Vaa viatu vyenye mikanda miembamba badala ya minene.

7d319c9173f84ba858d0f93c51ea18fa--valentino-rockstud-shoes-valentino-heels.jpg


Vaa viatu vya material za kung'aa ili viakisi mwanga na kung'arisha miguu yako.

4. Kwa wenye miguu mifupi

Vaa viatu vyenye mkanda kwa nyuma(slingback style) na vilivyochongoka kwa mbele ili kurefusha miguu yako.


HTB15rIOJVXXXXXLXpXXq6xXFXXXN.jpg


img-thing.jpg






 
Mpe hela akapake tena rangi maana naona imefutika kabisaaa
Kwangu rangi za kucha...mawigi....kujichubuwa USO....means nothing to her beauty....napenda natural mkuu...mweke na ww wako tuone MATEGE YAKE.....usipende kukosoa vya wenzio.....wakati mwenyewe unaishi na UCHAFU na sio mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] maskini poleee
Ukweli kwako ni mipasho??
Sidhani kama kuna mwanaume timamu anayeweza kuchukua picha ya mwanamke anayemuheshimu na kuiweka mitandaoni.
Zama za kulazimisha attention ati ungenijua mimi nani zishakuwa zilipendwa[emoji28]
Na maneno mengi ya niniiiii
Wewe mpe pesa akapake rangi vikucha vyake
Kwani huo mguu...ni CHUPI?au ukiona huo mguu unamjuwa huyo msichana?kwn kuna picha ngp za akina zari zipo humu....kwani huo ni UCHI?mimi nilijuwa naongea na dume.....nimeshaona avater yako....wala sibishani na wwe.....sibishani na MWANAMKE......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom