Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ehhh....tipwa tipwa sio mikato yngu...[emoji23] [emoji23] [emoji23] bado upo kubishana tu???
Naona kakuzoesha style moja tu unamlaza unamlalia pwaaaa!!
Polee kwa utipwatipwa wake hawezi kukulaza atakuzimisha tu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Same to me dear...nahisi nina ugonjwa wa viatu kwa kweli...tatizo nikishavaa hamu ya icho kiatu inatoweka kabisa inabidi nigawe...Ila kwa hali ya sasa ilivyo inabidi kujifunza jinsi ya matumizi yasiyo na lazima...Napenda kuvaa sananapenda viatu kuliko chakula ,nikiona kiatu kizuri nanunua tu nina viatu sijui pea ngapi hata sivai sijui nimelogwa mie
maisha yalivo hata mimi nimeacha nanunua at least kiatu kimoja kwa mwezi. yaani mimi viatu na vipodozi hee yaani nisione !!!!! bora nikose hela ya kula kuliko nikose vipodozi vizuri na viatu vizuri. nguo sinaga interest sana maana nipo selective sana.Same to me dear...nahisi nina ugonjwa wa viatu kwa kweli...tatizo nikishavaa hamu ya icho kiatu inatoweka kabisa inabidi nigawe...Ila kwa hali ya sasa ilivyo inabidi kujifunza jinsi ya matumizi yasiyo na lazima...Napenda kuvaa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
atatoka roho huyu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]atatoka roho huyu
ha hahahaa
hahahhaaatatoka roho huyu
flat ndo mpango mzima .hizo high heels siziwezi kabisauje flat pia mitindo...
natembeaga kama naaunguka na na miguu yetu ya kichaga hii usiombe unioneflat ndo mpango mzima .hizo high heels siziwezi kabisa
Huu kweli uchochez🙂 😀 😀 🙂 😀 Uchochezi huu