Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Miaka 4..!? Itakuwa huyo mtu hajielewi aise .. mimi week 2,.. kama haueleweki nageuza gari
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa fake ids hizi zina ficha mengi ... Huko Pm pia .. kama napaona vile panavyo tamani kukusutaHahahaha,. Mkuu sio mm ,ubavu huo sina wa kua na mutoto muzuri km Sakayo ,humu JF sipawezi
MTC | 101| [emoji769]
Hahaa ...hapana pesa kama chambo kwenye ndoano ... ukimpa anaingia tamaa ya kuzipata nyingi anaanza kuzifuata ...
Ukiona mwanamke ametumiwa pesa akazila na kukaa kimya ...basi tambua kwamba huo muamala aliotumiwa ulikuwa ni wahela ndogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh..kadinner kisha gheto shughuli imeisha.tafiti znaelekea kuhitimisha kuwa nowadays girls hawapendi kusumbuana barabaran au kwenye just mkaribishe ghetto au mualike dinner...eti ooh....nakupenda x3 ...unarudia ka matangazo ya vifo...u are lost my dear
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha hao ndio wakiachwa unasikia kuwa wameua mtu au wamejinyongaHahahaaha mkuu hujawahi kuwaona ndugu zetu wa kiume wale wapendwa wazee wa Bwana asifiwe wanakuaga na mapenzi ya kweli yani anaweza fukuzia demu toka demu akiwa mwanakwaya, anapanda cheo anakua mjumbe wa kanisa, mpaka demu anakuja kua mlezi wa watoto bado jamaa anafukuziaga tu
ABCDEFGHIJKLMNOPQRSTUVWXYZ
Hahahaha, mm PM huwa siendi unaweza kutegwa kule ukaumbuka huku jukwaaniHahaa fake ids hizi zina ficha mengi ... Huko Pm pia .. kama napaona vile panavyo tamani kukusuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha haa kwanini Chief !?Hahahaha, Mkuu huwa unatuma Sana miamala nn
MTC | 101| [emoji769]
Hahaha.Hahaa ...hapana pesa kama chambo kwenye ndoano ... ukimpa anaingia tamaa ya kuzipata nyingi anaanza kuzifuata ...
Ukiona mwanamke ametumiwa pesa akazila na kukaa kimya ...basi tambua kwamba huo muamala aliotumiwa ulikuwa ni wahela ndogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ... kwamba watu wakakuanika humu ..Hahahaha, mm PM huwa siendi unaweza kutegwa kule ukaumbuka huku jukwaani
MTC | 101| [emoji769]
Naona hapo umesema demu ukituma muamala mdg ,anakupotezea
Anaonekana mtu wa miamala saana.
Hahaa mzigo mkuu ... na wala haupigi simu kuuliza umeiona ... una ji-keep busy hatari ....Hahaha.
Wazee baba mnanipotosha aseeh.
Kwa hiyo nitume mzigo mzito kwa tigopesa?
Aisee ... kwamba watu wakakuanika humu ..
Mkuu watu waka post convo zako ukiwa unalilia penzi la mzigua .hahaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa mzigo mkuu ... na wala haupigi simu kuuliza umeiona ... una ji-keep busy hatari ....
Mtoto wa kike anajiuliza hapa sijatoa mambo tu .. nimetumiwa huu mzigo ...whay if nikija kutoa si atanipangia nyumba nzima huyu ....
Kumbe hajui kuwa wewe unafanya kampeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha.Hahaa mzigo mkuu ... na wala haupigi simu kuuliza umeiona ... una ji-keep busy hatari ....
Mtoto wa kike anajiuliza hapa sijatoa mambo tu .. nimetumiwa huu mzigo ...whay if nikija kutoa si atanipangia nyumba nzima huyu ....
Kumbe hajui kuwa wewe unafanya kampeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa uzoefu wangu ..upo kwenye kuona tu yanayo fanywa na watu ..nasio vinginevyoNaona hapo umesema demu ukituma muamala mdg ,anakupotezea
MTC | 101| [emoji769]