Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha Mkuu unanipiga za chembe tu duh haya banaHahaa .. nilijua tu . Huwaga haupendi wadau wajue kuwa wewe ni master wa haya mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
@Mtu chake anayajua haya?Mimi majibu yanamna hiyo sijui nitakujibu banda nilisha ya sahau ..
Mwanamke wa kuanzia age ya miaka 23s ..huwa hatongozwi unamzoea kidogo unaonganisha masihara masihara .. akikupa namba zake ... mkiwa mnafanya convo unaanza kumuunganishia kumuita yale majina matamu
Baby .mpenzi .mke wangu..sweet .etc .. huku unamsifia Sifia ... ghafla utashangaa tu anajiingiza kwako mazima
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi majibu yanamna hiyo sijui nitakujibu banda nilisha ya sahau ..
Mwanamke wa kuanzia age ya miaka 23s ..huwa hatongozwi unamzoea kidogo unaonganisha masihara masihara .. akikupa namba zake ... mkiwa mnafanya convo unaanza kumuunganishia kumuita yale majina matamu
Baby .mpenzi .mke wangu..sweet .etc .. huku unamsifia Sifia ... ghafla utashangaa tu anajiingiza kwako mazima
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ....Maramamae ,watu na fani zenu asee
MTC | 101| [emoji769]
@Mtu chake anayajua haya?
Bila shaka huu ushauri nao ni murua.
Vipi wale wa chini ya 23 dozi yao ni ipi?
Na hii dozi ya honey, babe, my your wife inaenda hadi kwa 30's???
@Mtu chake anayajua haya?
Bila shaka huu ushauri nao ni murua.
Vipi wale wa chini ya 23 dozi yao ni ipi?
Na hii dozi ya honey, babe, my your wife inaenda hadi kwa 30's???
Haha mtu chake hayo yote ana yajua ..mimi mwenyewe nime yajulia kwake@Mtu chake anayajua haya?
Bila shaka huu ushauri nao ni murua.
Vipi wale wa chini ya 23 dozi yao ni ipi?
Na hii dozi ya honey, babe, my your wife inaenda hadi kwa 30's???
Hahaa unavyo jua kucheza na jukwaa utadhani CR7 vile ... mtu anaweza dhania haujui kweliHahahaha, mie namfuatilia huyu MTU ana madini sana ,kwa mie Domo Zege napata kitu cha kujifunza kwake
MTC | 101| [emoji769]
Kwa nini mkuu
Hiyo mitetea inayo JOG inakula GMO foods, acha sisi wa Organic tuendelee ku sprint.
Mie nimemuelewa sanaa, na sinaga huo undezi. Nikikuelewa fastaaa tu. Chelewa chelewa utakuta mwana si wako.
Jiwe gizani,,,ameshakusikia bossAidha unakubali au hautaki. Hizi mbio za kukimbizana kama njiwa zinakuwa nyingi kichizi halafu zinakera.
Nikikutongoza angalau zisipite siku tatu, sana sana labda nikikutokea Ijumaa kabla ya jumatatu nipe jibu la kueleweka, hutaki au unataka.
Tunapynguza kupotezeana muda na hisia zinaweza kupungua.
NB: PM pia mjitahidi kujibu kwa wakati masaa matatu ni mengi saana. Asanteni.....
Yeah hao wa 30s ndio wanapenda sana kuitwa mke wangu .mama watoto huwa hawatongozwi wewe muunganishie tu kwa kumuuita maneno laini matamu
kama ana watoto ili kumu win jitahidi sana kujifanya una wapenda watoto wake .. nunua zawadi wapatie watoto wake .. jitahidi kumuuleza kuhusu mipango yako chanya ya maisha ... hata kama ni ya uongo na kweli "..
Hao wa chini ya 23 ndio wanao penda kusikia kutongozwa ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa ... wewe nawe ni guru sana kwenye hii sekta .. ma-gentleman huwaga ni watu hatari sana wa kimya kimya kama ToxicHahaha, I wish Dada zetu wasome kitabu cha Steve Harvey, Think Like A Man Act Like A Lady.
Humo jamaa kwamwaga mbinu zetu zote yaani.
I can seeππYeah hao wa 30s ndio wanapenda sana kuitwa mke wangu .mama watoto huwa hawatongozwi wewe muunganishie tu kwa kumuuita maneno laini matamu
kama ana watoto ili kumu win jitahidi sana kujifanya una wapenda watoto wake .. nunua zawadi wapatie watoto wake .. jitahidi kumuuleza kuhusu mipango yako chanya ya maisha ... hata kama ni ya uongo na kweli "..
Hao wa chini ya 23 ndio wanao penda kusikia kutongozwa ..
Sent using Jamii Forums mobile app