Kwa wanawake: Wanaume tuliowengi tunapenda majibu ya moja kwa moja.

@Mtu chake anayajua haya?

Bila shaka huu ushauri nao ni murua.

Vipi wale wa chini ya 23 dozi yao ni ipi?


Na hii dozi ya honey, babe, my your wife inaenda hadi kwa 30's???
 
Maramamae ,watu na fani zenu asee
MTC | 101| [emoji769]
 
Hahahaha, mie namfuatilia huyu MTU ana madini sana ,kwa mie Domo Zege napata kitu cha kujifunza kwake
@Mtu chake anayajua haya?

Bila shaka huu ushauri nao ni murua.

Vipi wale wa chini ya 23 dozi yao ni ipi?


Na hii dozi ya honey, babe, my your wife inaenda hadi kwa 30's???

MTC | 101| [emoji769]
 
Yeah hao wa 30s ndio wanapenda sana kuitwa mke wangu .mama watoto huwa hawatongozwi wewe muunganishie tu kwa kumuuita maneno laini matamu

kama ana watoto ili kumu win jitahidi sana kujifanya una wapenda watoto wake .. nunua zawadi wapatie watoto wake .. jitahidi kumuuleza kuhusu mipango yako chanya ya maisha ... hata kama ni ya uongo na kweli "..

Hao wa chini ya 23 ndio wanao penda kusikia kutongozwa ..
@Mtu chake anayajua haya?

Bila shaka huu ushauri nao ni murua.

Vipi wale wa chini ya 23 dozi yao ni ipi?


Na hii dozi ya honey, babe, my your wife inaenda hadi kwa 30's???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mdada nilimtongoza nikiwa na mategemeo atanisumbua lakini akanikubalia hapo hapo!

Kiukweli nilishtuka kidogo!karibu nikose cha kuzungumza zaidi!
 
Jiwe gizani,,,ameshakusikia boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hahaha, I wish Dada zetu wasome kitabu cha Steve Harvey, Think Like A Man Act Like A Lady.

Humo jamaa kwamwaga mbinu zetu zote yaani.
 
I can seeπŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…