Kwa wanawake: Wanaume tuliowengi tunapenda majibu ya moja kwa moja.

Kwa wanawake: Wanaume tuliowengi tunapenda majibu ya moja kwa moja.

Mwanamke kumtongoza akakubalia inategemea kabisa naww mwenyewe utakavyokua umemsisimua kupitia mtongozo.


Lkn hilo nimoja...pili..kuja kukupa mzigo, inachukua karibu miezi mitatu ndo ajihisi huru kukupa mzigo "hawani wale wanaojielewa sana"

Lkn pamoja nakujielewa. Bado we kidume unaweza pata mzigo ndani hata ya siku mbili tatu tokea akukubalie au tokea umtongoze nabado akawa hajakuweka wazi kua kakubali au lah.
 
Aidha unakubali au hautaki. Hizi mbio za kukimbizana kama njiwa zinakuwa nyingi kichizi halafu zinakera.

Nikikutongoza angalau zisipite siku tatu, sana sana labda nikikutokea Ijumaa kabla ya jumatatu nipe jibu la kueleweka, hutaki au unataka.

Tunapynguza kupotezeana muda na hisia zinaweza kupungua.

NB: PM pia mjitahidi kujibu kwa wakati masaa matatu ni mengi saana. Asanteni.....
Kueleawa ni zaidi ya kumiliki taasisi
 
Back
Top Bottom