Kwa wanawake: Wanaume tuliowengi tunapenda majibu ya moja kwa moja.

Kwa wanawake: Wanaume tuliowengi tunapenda majibu ya moja kwa moja.

Aidha unakubali au hautaki. Hizi mbio za kukimbizana kama njiwa zinakuwa nyingi kichizi halafu zinakera.

Nikikutongoza angalau zisipite siku tatu, sana sana labda nikikutokea Ijumaa kabla ya jumatatu nipe jibu la kueleweka, hutaki au unataka.

Tunapynguza kupotezeana muda na hisia zinaweza kupungua.

NB: PM pia mjitahidi kujibu kwa wakati masaa matatu ni mengi saana. Asanteni.....
Umeamka vizuri kabisa, huwa wanaanza kukueleza shida zake kabla ya kukupa jibu, ukimwambia nijibu kwanza anakwambia uwe na subira, au vitu vizuri havitaki haraka badae akisha kula utasikia nina mtu nasubiri kwanza anijibu kama yuko tayari tuachane mwisho wa siku anakwambia jamaa amegoma. huku akiwa ameshakulia hela ya kutosha. ahaha
 
Back
Top Bottom