Kwa wanawake wote mliofunga PM

Kaka kwani uanaume ni nini ?

Kuna wengine wanafunga PM ili kuepuka vishawishi na wengine ni maamuzi tu.

Lakini lililo la msingi,sisi miongoni mwetu wenye kufunga PM bila shaka watakuwa na sababu zao,na huenda zikawa za msingi kuliko unavyofikiri.

Jambo la msingi tungewauliza wadau inakuwaje wana funga PM bila shaka tutapata majibu ya uhakika kuliko kuwa na dhana.
 
Hebu ngoja niifuatilie kwa ukaribu Mtani japo itakavyokuwa ni hewala kwangu.

Sababu si kitu cha ajabu kwa ile kazi aliyoichagua yaani kutupiwa virago nje nje.

Pamoja na kila la kheri, mpate kocha atayewatengeneza ili muweze kuleta ushindani.

Maana Simba bila Yanga si kitu, tunawahitaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…