Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Hahahaaa. Tuombe uzima taimu wili teli Mtani.
Kaka kwani uanaume ni nini ?Mama mchungaji, ebu naomba kwanza hao rafiki zako wanisamehe kwa mtazamo na msimamo wangu.
Kwanza mwanaume hasumbuliwi, sasa kwanini afunge PM??
Pili mwanaume akiamua kutowasiliana na mtu halazimishwi na ashawishiwi, sasa kwanini afunge PM??
Tatu mwanaume akitema nyongo hapaswi kuogopa na sio lazima ajibu hoja ama tuhuma, sasa kwanini afunge PM
Nne mwanaume akizinguwa basi sio lazima ajibu PM, sasa kwanini afunge PM??
Tano mwanaume wa ukwelu hashawishiwi kwa maneno mazuri PM, sasa kwanini afunge PM??
Mwanaume anapo funga PM kwakweli inatia mashaka sana aiseeeee...
Anyway, ebu ngoja kwa leo niishie hapa
Hebu ngoja niifuatilie kwa ukaribu Mtani japo itakavyokuwa ni hewala kwangu.
Sababu si kitu cha ajabu kwa ile kazi aliyoichagua yaani kutupiwa virago nje nje.
Hujatuma pm, acha uoga[emoji2]
Upo?wap hyo.huyo ananitaftia nn mm?
HayaAsante nitakuja kwa saplaz ya ajabu sio Leo
Hujamtumia pmSijatuma wapi?
Kabisaa ππGood!
Mtu asikupangie maisha. ππππππππ
Hujamtumia pm
Sawa mkuuHaya
Yes we doKumbe mna-share pm zenu...nw i get t.
WeweYes we do
Niaje mkuu?Wewe
Hakika Mtani. ππPamoja na kila la kheri, mpate kocha atayewatengeneza ili muweze kuleta ushindani.
Maana Simba bila Yanga si kitu, tunawahitaji.
Nipo kwa upande wa huku pembeni amigo...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amigo!
Kwa lugha nyepesi ni kwamba, wenye hawajulikani wakitaka kuku daka kwao ni jambo rahisi sanaUtaalamu huu Baba Mchungaji.
Sisi wa majukwaa yasiyo na madhara wala hutati kuijua hiyo MAC inapatikana wapi.
Kwani Buza kuna nini Meeyah? Nimejikuta nacheka tu kwa comment yakoWengi wanadhani wanawake wote wa jf ni wa kutoka BUZA
Halafu ni wewe mtaniDuuh!!!
Hii kubwa kuliko Mtani. Sema tu ukweli bana Mtani. πππHalafu ni wewe mtani