Kwa wanawake wote mliofunga PM

Gia angani

Kwanza mwanaume kutongoza ni jadi

Mwanamke kutongozwa ni suna

Ila inafuatana nini kimeendelea baada ya kufunguliwa pm

Maana sio kila anae tongoza ana nia ya ktongoza wengne ni kama kuongeza nguvu ya mawasiliano
Nakubaliana na wewe ndugu.

Hicho kama hicho kiparagirafu cha mwisho nimekielewa sana tu. 🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…