Acha kujimwambafai bana...
PM iko wazi, njoo tutete kidogo
HahaI believe you kwa kwa
Duuu hivi kwa akili ya kawaida unaweza kumzimikia so called dada wa JF kwa kuangalia Avatar? Hivi ushawahi panda kwenye daladala za posta mwenge? Kama unataka demu pendelea kupanda magari hayo utaopoa wa ukweli achana na hawa wa kwenye avatar unaweza kukutana na POLYGON.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amigo!Samahani mkuu, kwani niliwahi kukutongoza huko PM..!!??
Hapo utalala njaa! [emoji23]Kuna mtu namvizia afungue hata hafungui
Zile ni tetesi bana Mtani au imeshakuwa habari iliyothibitishwa?
Good!Ndio Kaka. 😅😅😅
Japo sina sababu maalum.
Nimefanya vibaya mkuu kusema hvo?Si haya unayoyasema bob
Utaalamu huu Baba Mchungaji.Ukiwa na uwezo wa ku-hide MAC address ya kifaa chako kuna uwezekano mkubwa sana wa kutokamatwa kama kuku, pia you need to act smart way na sio kuhide MAC address tu, mtu unatakiwa kujua unachokifanya hasa unapotenda kitu unachojua kinaweza kukuletea utata baadae.
Ni wewe Mtani japo bado kuna kazi ngumu huko mbeleni na si ajabu hiyo January tukakukalisha kwa Mkapa. 😜😜
Mkuu, ukiona humu mwanaume amefunga PM yake, basi amini kabisa kwamba huyo mwanaume pia anapaka poda na kujipodoa kama dada zake.
Yalio baki malizia mwenyewe kwa akili yako please.....
Karibu sana jamaniShikamoo na Mimi nakuja huko pm
Hebu ngoja niifuatilie kwa ukaribu Mtani japo itakavyokuwa ni hewala kwangu.Tayari Sports Arena imethibitisha.
Unansingizia banaUmefunga Aisee acha ongo
Hahahaaa. Tuombe uzima taimu wili teli Mtani.Ha ha ha, bado sana nyie kunikalisha. Tusubiri kuona.
Hujafanya vibaya kamwe mkuuNimefanya vibaya mkuu kusema hvo?
Ushaniogopesha asee.. mnisamehe kama nimeeleweka vibaya mkuuHujafanya vibaya kamwe mkuu
Sawa mkuu hiyo ni mitihani ya kawaida kwa mwanamkeWote waliokuja kwangu wamefanya hivyo. Ila niliowaanza mimi sio wote walionitongoza
Wengi wanadhani wanawake wote wa jf ni wa kutoka BUZAKuna baadhi huwa wanakuwa wataalamu wa mambo fulani. Kuna wakati unamtafuta kuongeza kitu fulani kwenye fani husika.
Maana kuna mmoja alikosea kitu fulani nikataka kumpata maelezo zaidi juu ya hicho kitu.
Naingia pm nakutana na lock ikabidi nipige chini.
Ukirudi kwa upande wako hao wa Posta mwenge si ndio hawa hawa wa jf.
Asante nitakuja kwa saplaz ya ajabu sio LeoKaribu sana jamani