Kwa wanawake wote mliofunga PM

Kwa wanawake wote mliofunga PM

Kuna baadhi huwa wanakuwa wataalamu wa mambo fulani. Kuna wakati unamtafuta kuongeza kitu fulani kwenye fani husika.

Maana kuna mmoja alikosea kitu fulani nikataka kumpata maelezo zaidi juu ya hicho kitu.
Naingia pm nakutana na lock ikabidi nipige chini.


Ukirudi kwa upande wako hao wa Posta mwenge si ndio hawa hawa wa jf.
Duuu hivi kwa akili ya kawaida unaweza kumzimikia so called dada wa JF kwa kuangalia Avatar? Hivi ushawahi panda kwenye daladala za posta mwenge? Kama unataka demu pendelea kupanda magari hayo utaopoa wa ukweli achana na hawa wa kwenye avatar unaweza kukutana na POLYGON.
 
Ukiwa na uwezo wa ku-hide MAC address ya kifaa chako kuna uwezekano mkubwa sana wa kutokamatwa kama kuku, pia you need to act smart way na sio kuhide MAC address tu, mtu unatakiwa kujua unachokifanya hasa unapotenda kitu unachojua kinaweza kukuletea utata baadae.
Utaalamu huu Baba Mchungaji.

Sisi wa majukwaa yasiyo na madhara wala hatutaki kuijua hiyo MAC inapatikana wapi.
 
Kuna baadhi huwa wanakuwa wataalamu wa mambo fulani. Kuna wakati unamtafuta kuongeza kitu fulani kwenye fani husika.

Maana kuna mmoja alikosea kitu fulani nikataka kumpata maelezo zaidi juu ya hicho kitu.
Naingia pm nakutana na lock ikabidi nipige chini.


Ukirudi kwa upande wako hao wa Posta mwenge si ndio hawa hawa wa jf.
Wengi wanadhani wanawake wote wa jf ni wa kutoka BUZA
 
Back
Top Bottom