Randy Savage...dah jamaa alikuwa hatari ila aligombana na Vince McMahon and Hulk Hogan jamaa alichelewa sana kuwa inductee kwenye wwe Hall fame mpaka stone cold Steve Austin alimaindi sana Vince ndo jamaa akawa inductee. R.I.P Macho Man "Randy Savage".Tatanka
Macho man
Sina uhakika ,Mkuu hivi huyo Cane anaundugu wowote na undertaker?
Pamoja sana mkuu umesomeka vizuriYaah nimekuelewa mkuu nilikua naongezea nyama ...
Ndo mana nikasema "ni ndugu" iyo ndugu nimeiquote kuonesha kua sio ndugu kabisa bali ni "ndugu" wakiwa kwenye WWE
Daah me napenda sana spear yani .....nataman kumpiga mtu sema bac tu .....ila choke slam inabidi uwe na nguvu ya mkono mana c unaona ata wanaotumia hiyo akina Kane taker big show yamepanda hewani kono ni kono kwelChokeslam by kane, undertaker and big show.
Go to sleep by cm punk.
619, swing by antonio cessaro, rock bottom by the great one, nimeisahau jina ila ni ya wytt family, zipo nyng nimesahau tu ila nayoipenda zaidi ni chokeslam hadi niliifanyia mazoezi nikaijua.
Ni kweli chokeslam lazima uwe umeenda hewani kidogo na uwe na nguvu.Daah me napenda sana spear yani .....nataman kumpiga mtu sema bac tu .....ila choke slam inabidi uwe na nguvu ya mkono mana c unaona ata wanaotumia hiyo akina Kane taker big show yamepanda hewani kono ni kono kwel
Batista bomb- BatistaUtotoni Mchezo wa mieleka unapendwa sana, tupia kumbukumbu yako ya styles mbalimbali ulizozipenda kutoka kwa wanamieleka mbalimbali, Mimi naanza na;
1. Tombstone Piledriver - The Under Taker (Amestaafu rasmi Jumapili iliyopita)
2. The Queen's Crossbow - Cody Rhode
3. Six One Nine (619) - Ray Mysterio
5. Spear - Edge ( Hii ilikua tamu kuliko zote)
6. The People's Elbow - The Rock
7. Stunner Cold- Stone Cold
8. Attitude Adjustment - John Cena
9. Atomic Leg Drop - Hulk Hogan
10. RKO - Randy Orton (Viper)
Wengine wapenda WWE tuendelee
Haha Macho Man alikua anajifanyaga mbabe ila alipigwa na Ultimate Warrior kama mtoto yaniRandy Savage...dah jamaa alikuwa hatari ila aligombana na Vince McMahon and Hulk Hogan jamaa alichelewa sana kuwa inductee kwenye wwe Hall fame mpaka stone cold Steve Austin alimaindi sana Vince ndo jamaa akawa inductee. R.I.P Macho Man "Randy Savage".
Acha story za vijiwe vya kahawa ndugu, watu wanavunjana mifupa, wapo wanaofia ulingoni wewe unasema maigizo ?They are professional trained performers.
Moves zote wanazofanya wanasaidiana ili ionekane ni kweli kitu kinafanyika kwa nguvu sana, ule ulingo si mgumu kama unavyodhani pamoja na kwamba huwa sometimes wanaumia sana lakini wanajua namna gani ya kupigana na watu waone ni kweli jambo linafanyika na kuumizana.
Kwa mfano:
Mtu akirusha ngumi anatakiwa akunje sura ile kuwashilia kuwa anatumia nguvu kuirusha... vile vile anaepigwa anatakiwa aoneshe kuwa nguvu imetumia hivyo kwa pamoja akipigwa ngumi nae anajiangusha au anarudi nyuma kwa kupepesuka kuonesha uhalisia wa jambo.
Pia mtu anaepiga ngumi huwa anapiga miguu chini ili ionekane ni ngumi inatoa kishindo kikubwa kumbe ni miguu ila hii inafanyika kwa pamoja hivyo mtu si rahisi kugundua.
Ulingo umefungwa microphone ambazo zimeunganishwa kwa speaker hivyo mtu akianguka kishindo kinakuwa kikubwa kuonesha impact kubwa ku prove hili ni kwamba hata waangaliaji wote ndani ya ukumbi wakishangilia sauti ya kishindo kutoka ulingoni husikika.
Mshindi anakuwa amepangwa na refarii ndo mwongozaji kuhakikisha hilo linafanyika tena kwa usahihi na muda uliopangwa. N:B huwa mapambano yanapangiwa muda wa kuisha kama dakika 5 , 10 n.k.
Its real intertainment kwamba kinachotokea kinakuwa kimepangwa na jambo linafanyika na watu wakiona.
Wanasaidiana kuhakikisha mtu anaepigwa haumii au akipata maumivu ni kidogo.
Tombstone/ msumari ya undertaker kichwa cha anaepigwa hakibamizwi chini kama unavyoona, mtu anaepiga tombstone anatakiwa ahakikishe kichwa cha anae pigwa kiko juu kidogo ya magoti na anamshikilia kwa nguvu na anae pigwa anamshikilia mgongoni kwa nguvu zote ili asiteleze au kupigizwa chini kweli, kile kishindo kinachotokea kinatokana na magoti ya undertaker kupiga chini kwenye ulingo na si kichwa. Baada ya kupiga tombstone anamuachia kwa kumpeleka mbele ili aangukie mgongo ndo tombstone inakuwa imekamilika.
Chokeslam/ kumnyanyua mtu kwa mkono mmoja na kumpigiza chini ...
Anaenyanyuluwa anajinyanyua ili iweze kufanyika na kumfanya anaenyanyua aonekane ana nguvu nyingi kweli za kumnyanyua mtu kwenda juy kiasi hicho kwa mkono mmoja. Kinachofanyika ni anaenyanyua anamvuta kwa chini kidogo anaenyanyuliwa ili kumuashiria ajianze kujirusha ili wafanye kwa pamoja kunyanyuliwa na yeye kujinyanyua .
Wanamieleka ni wananguvu kweli ila mengine yanafanyika kwa kusaidiana na kurahisishiana.
Mkuu kama ukicheki royal rumble ya mwaka huu ulingoni walikuwa wengi akina Goldberg taker Brock lesnar lakin wote walitoka caca wakabaki wawili tu roman reigns na rand ...Daah roman alimvizia ili ampige spear bana weeh rand mjanja sana alimpokea na bonge LA RKO na kushinda .....ila kiboko ya rand aligongwa adi uruma kwny summer slam na Brock lesnar adi mechi ikahirishwa I think last year au earlier this year .....Shane McMahon akaingilia akapigwa suplex city babake.....kwa sasa hakuna anayempiga Brock lesnar .....RKO hapo ndo kiboko sijawah kua shabiki la randy ila anapokua ulingoni na mtu nnae mkubali huwa nahofia sana hii style
Hata wacheza movie huwa wanaumia na kuvunjika wakati mwingine hata kupiteza maisha wakiwa maigizoni.Acha story za vijiwe vya kahawa ndugu, watu wanavunjana mifupa, wapo wanaofia ulingoni wewe unasema maigizo ?
1. Ulishawahi angalia stil cage match
2.TLC -tables,ladders and chairs
3.,.....
4.......
Acha utani
Ni mda gani wanaonesha mkuu huwa naibahatisha nilikuwa nilidhani wana chanel special ambayo wanaonesha kwa kila siku kama ilivyo kwenye cable kuna chanel ya ten sport wako poa hadi najuta kwanini sijaweka cableCheck channel e tv channel 250
Sasa hivi naona channel e wanaonyesha marudio ya wrestlemania XXXIIINi mda gani wanaonesha mkuu huwa naibahatisha nilikuwa nilidhani wana chanel special ambayo wanaonesha kwa kila siku kama ilivyo kwenye cable kuna chanel ya ten sport wako poa hadi najuta kwanini sijaweka cable