daneyodry
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 350
- 227
Habarini wadau
Katika hospitali moja ya vichaa daktari anaehusika hapo alipokuwa katika mizunguko yake kuhudumia wodi za machizi, chizi mmoja alichomoka kutoka chumba kimoja ameshikilia kisu, daktari kuona hivyo akaona ndio mwisho wa maisha yake ikabidi akimbie ila kwa bahati mbaya alipokimbilia kulikuwa hakuna njia kuna ukuta hivyo ikabidi dokta apige magoti aombe dua ya mwisho
Ile chizi alipomfikia tu akasema 'haya shika kitu ni zamu yako kunifukuza'[emoji13] [emoji13] [emoji12]
Wehu hauachagi watu salama.
Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza sauti ya jenereta langu [emoji4] akidhani yuko club,
Namsikia akisema' aisee we ni DJ nomaaa! '
Baada ya kuzima jenereta akaniuliza' huo muziki kaimba nani?! '[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji28]
[emoji482] [emoji482] Pombe siyo chai
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika hospitali moja ya vichaa daktari anaehusika hapo alipokuwa katika mizunguko yake kuhudumia wodi za machizi, chizi mmoja alichomoka kutoka chumba kimoja ameshikilia kisu, daktari kuona hivyo akaona ndio mwisho wa maisha yake ikabidi akimbie ila kwa bahati mbaya alipokimbilia kulikuwa hakuna njia kuna ukuta hivyo ikabidi dokta apige magoti aombe dua ya mwisho
Ile chizi alipomfikia tu akasema 'haya shika kitu ni zamu yako kunifukuza'[emoji13] [emoji13] [emoji12]
Wehu hauachagi watu salama.
Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza sauti ya jenereta langu [emoji4] akidhani yuko club,
Namsikia akisema' aisee we ni DJ nomaaa! '
Baada ya kuzima jenereta akaniuliza' huo muziki kaimba nani?! '[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji28]
[emoji482] [emoji482] Pombe siyo chai
Sent using Jamii Forums mobile app