Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
Napenda kufahamu ni upi muda sahihi/mzuri wa kupima afya zenu kwa wapenzi, je ni kabla ya mwanamke au mwanaume kumkubalia kwenye mahusiano, au ni baada ya kuwa kwenye mahusiano na sasa wanataka kupeana unyumba ?
Nimeuliza hivi kwasababu nimekumbuka kisa cha Mike Martin ambaye aligundua ni Mwathirika wa virusi vya ukimwi muda mrefu baada ya kuwa kwenye mahusiano na binti na alipomweleza binti waachane (walikua hawajawahi kukutana kimwili) binti alikataa katukatu na hata alijaribu kujiua kwasababu hisia za mapenzi zilikua juu sana baina yao!.
We unaonaje kupima ni kabla ya mtongozaji kusema ndio au ni pale mmeshakua kwenye mahusiano na mnataka kwenda kwenye step inayofuata ?
Kupima afya nazungumzia kupima Uwepo wa VVU mwilini.
.
.
.
.
vvm
Nimeuliza hivi kwasababu nimekumbuka kisa cha Mike Martin ambaye aligundua ni Mwathirika wa virusi vya ukimwi muda mrefu baada ya kuwa kwenye mahusiano na binti na alipomweleza binti waachane (walikua hawajawahi kukutana kimwili) binti alikataa katukatu na hata alijaribu kujiua kwasababu hisia za mapenzi zilikua juu sana baina yao!.
We unaonaje kupima ni kabla ya mtongozaji kusema ndio au ni pale mmeshakua kwenye mahusiano na mnataka kwenda kwenye step inayofuata ?
Kupima afya nazungumzia kupima Uwepo wa VVU mwilini.
.
.
.
.
vvm