Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
My, nigusie unazokumbuka Unni
Uwiiiii! Ni nyingi mno Unni hadi naona uvivu kuziandika.
Sasa hivi naangalia personal taste ya Lee Min Ho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My, nigusie unazokumbuka Unni
Iljimae
Hi series in nzuri kwangu. Huwa si ichoki kuingalia.
Tangia naanza kuangalia K-dramaz hizi ndizo nimebahatka kuzioma...
-JUMONG
-EMPEROR OF THE SEA
-THE LAND OF WIND
-THE SLAVE HUNTERS
-EMPRESS KI
-GU FAMILY BOOK
-JOSEON GUNMAN
-KIM SOO ROO
-SWALLOW THE SUN
-GIANT
-49 DAYS
-INSPIRING GENERATION
-BRIDAL MASK
-GHOST
-GOLDEN CROSS
-TEMPTATION OF AN ANGEL
-HEARTLESS CITY
-BOYS OVER FLOWER
-PERSONAL TEST
-FAITH
-TRIANGLE
-ARROW ON THE BOW STRING
-A MAN CALLED GOD
-PAINTER OF WIND
-CITY HUNTER
-..........
nyingine nimezisahau.....
Na sasa naangalia The night Watchman....
Em taja ulizoziona na ww....
Uwiiiii! Ni nyingi mno Unni hadi naona uvivu kuziandika.
Sasa hivi naangalia personal taste ya Lee Min Ho.[/QUOTE. Aigooooo aigooo uniiiii pesonal taste niliipend ilivyoanz mwamzo daah ile harus
Uwiiiii! Ni nyingi mno Unni hadi naona uvivu kuziandika.
Sasa hivi naangalia personal taste ya Lee Min Ho.
Aigoooooo uniiiii yaan pesonal taste niliipend mwanzo balaa
Ni nzuri kiukweli.Lee Min Ho hakosei huyu jamaa na kale kadada kachizi!
Sijui kwanini sijaipendaga gumiho kabisa!
Labda sababu napenda vitu reality sio vya kufikirika.
Umeiona 49 days duuuh ile ni nzur pia saaan saan saan
Ngoja nikimaliza Personal taste na hii Kim So Roo nitaitafuta.
Wewe hunizidi mimi tena naona wewe bado mwanafunzi kwangu.
Mimi hizi drama/Korean movies nimeanza kuziangalia serious since 2010 na hadi leo hii nimeshaangalia zaidi ya 100!
Kama juzikati nimemaliza Hotel King, My loveable girl,na Hong Gil Dong.Ni juzi tu hata wiki 2 hazijaisha.
Duuuuh bas we ni mtata mi nmeanz 2012 yaan ila ni nzur af za kizung cfatlii ckuiz ila wanawez wale ni shiid saa.
Ni shiiidah wakorea wamenikamata haswa.Siko interested na hao wazungu sijui wahindi...
Mimi na wakorea tu.Nawakubali sana.
Ni shiiidah wakorea wamenikamata haswa.Siko interested na hao wazungu sijui wahindi...
Mimi na wakorea tu.Nawakubali sana.
Asa mi ad chakul naig ni mwendo wa past na kimchi naiv ndo nafanana nao uwiiii ntahamia jeju
Hahahahaaa mimi nitahamia Seoul, chezea Korea wewe? Mimi tambi napenda acha tu.
Uwiiiiii! Umenikumbusha mdogo wangu ananipikiaga tamu hizo balaa! Sasa hivi hayupo .........😕😕