Ni kweli hakuna drama mbaya, ni taste ya mtu tuChief kim ni mwehu,
Chief ni mjinga,
Chief kim ni madenge mwenye elimu,
Chief kim ni chepe mwenye elimu,
Chief kim ni mwanadamu mwenye maudhi,
Chief ni kibilisi makero,
Chief ana roho nzuri,
Chief na ulipaji kisasi usio umiza.
Hii drama nakumbuka mwaka jana nilishusha episode zote 20, nikaingalia kwa dakika 20 then ni mwendo wa delete.
Nimepatwa na arosto ya kumuangaliaa namgoong min.
Nimeishusha tena, najishangaa hii drama nakwenda nayo kwa speed ya kinzhal missile.
Hakuna drama mbaya duniani,
Ishu ni timing na mudi yako mwenyewe.
Vipi ulirudi tena? Mimi pia niliangalia episode mbili za mwenzo nikaifuta...niliporudi tena nilienda nayo kwa speed ya rocket. Chief Kim nayo huwenda nikairudia japo sina uhakika sanaNilibahatika kuiangalia kwa episode 8, episodes zake hazikushiba sana ikanibidi niiweke pending.
Love triangle ilikuwa inakwenda vyema,
Nilipenda upinzani wa jadi waliokuwa nao wale anchors wawili ma ahjumma.
Wote walikuwa wanagombea ulezi wa binti oohhh nimeshamsahau jina lake mpaka niende google (moon ga young)
Ikitokezea siku wamevaa sare basi ofisini inakuwa ni vita,
Walivyokuwa wanajibebisha kwa bwana mpishi wa mgahawani
Waooooww!!!
Walikuwa ni vichaa
View attachment 2653068
Yule mwehu na binti siku waliokutana wodini, aigooo
Mvulana yule alipokwenda kutibiwa kensa ya titi ilikuwa kitahanani wodini na ofisini.
Huu wimbo ndio ulinifikisha kwenye hiyo drama
Ile ya kim mi ho PANCHIKO Unaweza kusema taste tu au series yenyewe ni mbaya?Ni kweli hakuna drama mbaya, ni taste ya mtu tu
Una drama yoyote ya Korea ambayo sio maarufu sana, lakini ni nzuri kwa jinsi ulivyotazama wewe?Ile ya kim mi ho PANCHIKO Unaweza kusema taste tu au series yenyewe ni mbaya?
-Incarnation of moneyUna drama yoyote ya Korea ambayo sio maarufu sana, lakini ni nzuri kwa jinsi ulivyotazama wewe?
Usitaje maarufu maana nyingi zitakuwa ni ambazo nimeziona.
Huwezi kusema mbaya wakati kuna watu wameipendaIle ya kim mi ho PANCHIKO Unaweza kusema taste tu au series yenyewe ni mbaya?
Za kizungu kuna movies numeziona mpaka nikajiuloza ndio haw Wana akili mpaka kututengezea madawa kweli ? stori mbovu kila kitu kibovu.Umeona ee
Maana zote ni watu walikaa wakatunga wakaigiza sasa inakuaje mbaya... Labda zile za underground
Taja unapenda category zipi , za kifalme , kijasusi ,shuleni ,love story ,family nk ili iwe rahisi watu kukupa list.Jaman mtu anifanyie recommendation ya must watch Korean movies plz...
Ishu sio watu kuipenda au kutoipenda hata Adolf hilter pamoja ya kuwa ni kuongozi dictator lakini still alikuwa na watu wanaomkubali pamoja na kuwa na wafuasi but haiondoi kuwa ni kuongozi mmbaya.Huwezi kusema mbaya wakati kuna watu wameipenda
Kijasusi kifalmeTaja unapenda category zipi , za kifalme , kijasusi ,shuleni ,love story ,family nk ili iwe rahisi watu kukupa list.
We nae...unapenda ligi! Mambo ya uongozi yapo na standards zake ambazo ni lazima mtu azitimize sasa kwenye drama kila mtu ana kitu chake anachokitafuta, akikipata hicho atasema drama nzuri and vice versa. Usipende kulazimisha mambo watu hatufananiIshu sio watu kuipenda au kutoipenda hata Adolf hilter pamoja ya kuwa ni kuongozi dictator lakini still alikuwa na watu wanaomkubali pamoja na kuwa na wafuasi but haiondoi kuwa ni kuongozi mmbaya.
Single movie?Jaman mtu anifanyie recommendation ya must watch Korean movies plz...
Japokuwa sijaulizwa:-Una drama yoyote ya Korea ambayo sio maarufu sana, lakini ni nzuri kwa jinsi ulivyotazama wewe?
Usitaje maarufu maana nyingi zitakuwa ni ambazo nimeziona.
Hapa nimetazama drama 2 tu kati ya hizo saba ulizotaja, asante kwa kusaidia licha ya kwamba sikuwa nimekuuliza moja kwa moja.Japokuwa sijaulizwa:-
- Signal - criminal, time travelling
- Marry me - family
- Jing bi rok - historical
- Because this is my first life - rom com
- My mister
- Tunnel - criminal, time travelling
- My lawyer, mr joe season 1
Single movie?
Ipo io inaitwa Phantom 2023 ni yakishushushu nzuri sana
Wamenifanya nimekosa mzuka kabisa wa movies za kizungu now naona kama katuni tu kama sio Korea napotezea mazima.adriz
Wale wengine sio wazungu wa us
Na wengi ni underground, movie wana igiza kihuni afu wanaweka jina zuri na posta inayo vutia uki download una kutana nacho
*A man called GodKijasusi kifalme