Siwezi kufuatilia messages zote dm so kwa anayetaka kitonga apakue ha tunnel plus then anicheki telegram kwa @Oppa1997
Alchemy of souls ni nzuri sana kama wewe ni mpenzi wa fantasyHii alchemy of soul ni nzuri au napotez mda
Nataka niangalie hii au celebrity
IpiDaah watu mna siri jamani....hii drama kumbe ni tamu hivi na mmefanya siri sio vizuri hivyoView attachment 2696358
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Daah watu mna siri jamani....hii drama kumbe ni tamu hivi na mmefanya siri sio vizuri hivyoView attachment 2696358
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
The world of the marriedNi ip hao jun yeong wanakuaga wengi wengii
Daah watu mna siri jamani....hii drama kumbe ni tamu hivi na mmefanya siri sio vizuri hivyoView attachment 2696358
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Inaleta mamotoooo very interesting dramaDaah watu mna siri jamani....hii drama kumbe ni tamu hivi na mmefanya siri sio vizuri hivyoView attachment 2696358
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16] nitaanza kuwasalimieni jamani msinifanyie hivyo. Ila Han so hee ni mrembo jamani au macho yangu? I mean..look at herHahaha
Sio siri tatizo husalimii[emoji1787][emoji1787]
Humo ndo nilianza kumpenda han so hee
Mchepuko kiboko kabisa
Kila nikitaka kuitazama nilikuwa naona uvivu... nilivyoanza sasa [emoji16]Inaleta mamotoooo very interesting drama
Hii kitu ni ya moto kizazi kipya kimejitahidi. Kama kuna nyingine ya mahudhui haya mwenye kuijua atupie hapa. Maana za zamani zote nimeishaangalia.Ngoja niwajaribu vijana wa sasa tuone.
Ndio kwanza naelekea sehemu ya pili. Siwezi kutoa maoni yoyote mpaka muda huu. Kazi inaitwa "THE RIVERS WHERE MOON RISES" hii ni kazi ya mwaka 2021. Ina episodes 20 ni kazi kutoka kwetu Gogryeo.
Halafu hizi title za hizi series zinakuwa na maana juu ya matukio ya ndani ya kazi husika.
kwa uungwana kabisa, kama mmepata kuku nami naomba mnirushie paja.
View attachment 2695696
[emoji16][emoji16] nitaanza kuwasalimieni jamani msinifanyie hivyo. Ila Han so hee ni mrembo jamani au macho yangu? I mean..look at her
View attachment 2696484
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Yah ana unywele haswa vitu nipendavyoMrembo mno
Napenda ana manywele mengi
Ila saiv kajikondesha sana
Mi chaebol zilizotikisa hiyo na sky castle siwazi kuzirudiaga
Hivi kakonda eeh? Umemuona kwenye video ya Junkook?Mrembo mno
Napenda ana manywele mengi
Ila saiv kajikondesha sana
Mi chaebol zilizotikisa hiyo na sky castle siwazi kuzirudiaga
Wewe tena [emoji16][emoji16] nina wasiwasi una mpango wa kuoa mkoreaYah ana unywele haswa vitu nipendavyo
Hivi kakonda eeh? Umemuona kwenye video ya Junkook?
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app