Huwa naona nikianza season 1 nitalazimika na kuangalia inayoendelea wakati nina msururu wa drama zinaningoja (kama nalipwa kwa kuangalia drama nyingi [emoji16])
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Jonathan na Patricia ndio nani tena [emoji16]. Kuna mdada nilimuona insta aisee anaongea kabisa mweusi kama mimi hapa. Sema mimi hata kwenye kdrama nikiona mtu mweusi huwa naona kama anafanya lip syncing siamini kama wanaongea kweliIfike wakat watulipee[emoji1787][emoji1787]
Kuna wale wa nigeria hadi wanaongea kikorea
Sema vile wana variety nying inaweza kua fursa kama jonathan na patricia
Hahaha unajeuri sana wewe,Hii kitu ni ya moto kizazi kipya kimejitahidi. Kama kuna nyingine ya mahudhui haya mwenye kuijua atupie hapa. Maana za zamani zote nimeishaangalia.
Jonathan na Patricia ndio nani tena [emoji16]. Kuna mdada nilimuona insta aisee anaongea kabisa mweusi kama mimi hapa. Sema mimi hata kwenye kdrama nikiona mtu mweusi huwa naona kama anafanya lip syncing siamini kama wanaongea kweli
Jonathan na Patricia ndio nani tena [emoji16]. Kuna mdada nilimuona insta aisee anaongea kabisa mweusi kama mimi hapa. Sema mimi hata kwenye kdrama nikiona mtu mweusi huwa naona kama anafanya lip syncing siamini kama wanaongea kweli
Hao wameishi Korea miaka mingi Jonathan alikuwa bado mdogo so kwa muda wote huo zaidi ya miaka 15 lazima Kikorea kijae wakiongea ni pure KoreanJonathan na Patricia ndio nani tena [emoji16]. Kuna mdada nilimuona insta aisee anaongea kabisa mweusi kama mimi hapa. Sema mimi hata kwenye kdrama nikiona mtu mweusi huwa naona kama anafanya lip syncing siamini kama wanaongea kweli
Waooh nitawatafuta[emoji1787][emoji1787] lip syncing
Jaman unaona hafananii na lugha ndo maana huamin
Watu wapo serious
Patricia na jonathan mtu na kakaake ni wacongoman ila wamekulia korea
Jonathan ana variety yake wasanii wengi huwa wanaenda, ana zile humour za kikorea kabisa, yani utapenda interview zake
Mkuu nipe chimbo la kupakua hiyo dramaHahaha unajeuri sana wewe,
Kuna kazi nilitazama mwaka 2020 inatwa TEARS OF THE DRAGON iliandaliwa na KBS1. Ilitoka mwaka 1996 ina episodes 159. Mie nilitazama mpaka episode ya 53 maana hapo ndio kissasian walipoishia kuweka Subtitles. Habari njema ni kuwa sasa hivi episodes zote zina Subtitles na tayari kazi inapatikana pia Netflix soon nitaendelea nayo. Na nina kazi kibao kwenye playlist na bundle hili Malkia wa Jeju Island tutafika, enzi zile unakuta nadownload mpaka episode 100 kwa siku moja kisha kazi inabaki wewe na muda wako tu, hizi nishasahau kabisa kudownload naangalia online. GB 1 T.sh 3000/= nacheki episode 3-5 . Lakini pamoja na hayo haininyimi kumalizia hii kazi ya TEARS OF THE DRAGON View attachment 2697684
Hii kazi ya mwana dada Ha ji won inaitwa HWANG JINI Ilitoka mwaka 2006 ipo kwenye playlist yangu pia. Sina mashaka nae nilimwona kwa mara ya kwanza kwenye EMPRESS KI, DAMO, The King 2 Hearts na Tears of the dragon
Ukweli ni kuwa nilitegemea kuwa vijana wa sasa watakua the best maana wamekuzwa na watu ambao ni wajuzi kweli kweli, lakini imekuwa tofauti sana na matarajio yangu.juzi tena nilipokuwa natazama Documentary yangu pendwa toka Al Jazeera English iitwayo EAST 101 walikuwa wanaeleza kuwa wazee wengi wa South Korea hawa- enjoy tena Nchi yao wanadai Korea hii sio ile waliokuwa wanaijua maana imekuwa na umarekani mwingi tamaduni zao kwa sehemu kubwa zimefifishwa na Tamaduni za magharibi. Wanadai kuwa North Korea ndio Korea halisi ilobaki. Na hata Lugha yao sasa kwa sehemu kubwa inatohoa maneno kutoka kwenye Lugha ya kingereza.
Na hili limeonekana wazi kabisa kwenye drama nyingi za siku hizi hazikugusi kama zile za zamani. Anyway acha niendelee kuimba mapambio labda nami nitapata uteuzi.
View attachment 2697715
Soon nitakupa list ya drama .
Jamaa unatuonyesha vitonga alafu hutaki kutupa maujanjaTuwajadili maex ama
Jamaa unatuonyesha vitonga alafu hutaki kutupa maujanja
Link ya telegram iko wapi au anatumia jina ganiMfate telegram
Kwakweli mimi natumia hiyo unlimited hadi nahis naota
Link ya telegram iko wapi au anatumia jina gani
[emoji4][emoji4][emoji4] sasa hivi mchawi netiweki tu...na chajiMfate telegram
Kwakweli mimi natumia hiyo unlimited hadi nahis naota
Umemtaja Ha Ji Won, bila shaka utapokea pongezi nyingi sana kutoka kwa INNO.Hahaha unajeuri sana wewe,
Kuna kazi nilitazama mwaka 2020 inatwa TEARS OF THE DRAGON iliandaliwa na KBS1. Ilitoka mwaka 1996 ina episodes 159. Mie nilitazama mpaka episode ya 53 maana hapo ndio kissasian walipoishia kuweka Subtitles. Habari njema ni kuwa sasa hivi episodes zote zina Subtitles na tayari kazi inapatikana pia Netflix soon nitaendelea nayo. Na nina kazi kibao kwenye playlist na bundle hili Malkia wa Jeju Island tutafika, enzi zile unakuta nadownload mpaka episode 100 kwa siku moja kisha kazi inabaki wewe na muda wako tu, hizi nishasahau kabisa kudownload naangalia online. GB 1 T.sh 3000/= nacheki episode 3-5 . Lakini pamoja na hayo haininyimi kumalizia hii kazi ya TEARS OF THE DRAGON View attachment 2697684
Hii kazi ya mwana dada Ha ji won inaitwa HWANG JINI Ilitoka mwaka 2006 ipo kwenye playlist yangu pia. Sina mashaka nae nilimwona kwa mara ya kwanza kwenye EMPRESS KI, DAMO, The King 2 Hearts na Tears of the dragon
Ukweli ni kuwa nilitegemea kuwa vijana wa sasa watakua the best maana wamekuzwa na watu ambao ni wajuzi kweli kweli, lakini imekuwa tofauti sana na matarajio yangu.juzi tena nilipokuwa natazama Documentary yangu pendwa toka Al Jazeera English iitwayo EAST 101 walikuwa wanaeleza kuwa wazee wengi wa South Korea hawa- enjoy tena Nchi yao wanadai Korea hii sio ile waliokuwa wanaijua maana imekuwa na umarekani mwingi tamaduni zao kwa sehemu kubwa zimefifishwa na Tamaduni za magharibi. Wanadai kuwa North Korea ndio Korea halisi ilobaki. Na hata Lugha yao sasa kwa sehemu kubwa inatohoa maneno kutoka kwenye Lugha ya kingereza.
Na hili limeonekana wazi kabisa kwenye drama nyingi za siku hizi hazikugusi kama zile za zamani. Anyway acha niendelee kuimba mapambio labda nami nitapata uteuzi.
View attachment 2697715
Soon nitakupa list ya drama .
hivi, korean drama ndio kitu gani, siku zote naona mnaandika hapa ila sijui ni nini? ujinga gani huo ati.Kama wewe ni mpenzi wa Korean Dramas, karibu katika thread hii tupate ku share kuhusu kazi hizo hatari za mkorea.
Tuambiane;
-Nini kinakuvutia sana katika hiyo Drama?
- Ipi ni drama yako bora ya kila wakati kwako?
- Ni ya aina gani? (Wengi tumezoea kusema za 'mjini' na 'vijijini')
Pia:
- Nani ni Msanii wako Bora wa kiume na wa kike na baadhi ya drama alizoigiza?
- Nani ni sexiest Actor au Actress kwa maoni yako?
- Ipi ilikua Drama yako ya kwanza ya kikorea kuiona?
- Ni Drama gani ya kikorea unaitafuta sana na unapata wakati mgumu kuipata? (Unaweza ukasaidiwa kuipata na mashabiki wengine)
*Pia tumia thread hii kufahamishana kuhusu drama mpya zilizotoka au unayohisi ni nzuri ila haijapata umaarufu sana!!
Karibu tujumuike! Saraghae! Kumooyo!!
=========
Baadhi ya Links za Dramas mbali mbali za Korea...;
Be Strong Geum Soon
Princess Ja Myung Go
THREE DAYS (2014)
Swallow the Sun
Jumong
King Guenchoggo
=====
Links za ku-download drama za Kikorea;
- Watch Drama Online | Korean Drama | Japanese Drama | Taiwanese Drama | Hong Kong Drama | Chinese Drama
- GoodDrama.Net
======
Updated: Kwa mjadala na kubadilishana uzoefu kuhusu series za jumla za movies mbalimbali, za zamani na mpya, Unaweza pia kufuatilia UZI HUU hapa Series (Special thread) ..
Kazi kwako.. Enjoy!
[emoji4][emoji4][emoji4] sasa hivi mchawi netiweki tu...na chaji
Na vpn zinavyopukutisha chajiImagine
Nilishasahu kutembea na usb
Ila sasaiv weeh