Mimi napenda Historical sana tu..kuna tofauti kati ya kumpenda mtu na kupenda movie zake. Mfano Chang wook napenda muvi zake ila yeye mwenyewe walaaa, ila ukimpenda mtu kama yeye na muvi zake lazima uzipendeana nyota[emoji23], halafu wengi hawapendagi historical na watu wagumu.
mimi napenda mapanga ndo mana nawapenda marshals
akina anold,rambo walishaniathiri kisaikolojia[emoji23][emoji23]
yes ni kweliMimi napenda Historical sana tu..kuna tofauti kati ya kumpenda mtu na kupenda movie zake. Mfano Chang wook napenda muvi zake ila yeye mwenyewe walaaa, ila ukimpenda mtu kama yeye na muvi zake lazima uzipende
Pole mimi nimeitafuta kwa watu wee nimeshindwa nikaamu nidownload tu
Hahahaaaaa ndio sawa na mimi na II Guk Sung (Jumong) enzi zile [emoji126] [emoji126] [emoji126][emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani mimi nlivyomgugo nikakuta ameoa daah nlichukia ila baadae nikaona hakuna namna maisha inabidi yaendelee
Mkuu hebu nipe utaratibu wa kudownload hizi kitu. Unatumia program gani?
Natumia Dramania mkuu hii app iko vizuri ingawa unashusha vipande vipandeMkuu hebu nipe utaratibu wa kudownload hizi kitu. Unatumia program gani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani nna bahati mbaya nnaowapenda wanakuwaga wameoa[emoji85] [emoji85]Hahahaaaaa ndio sawa na mimi na II Guk Sung (Jumong) enzi zile [emoji126] [emoji126] [emoji126]
mimi nimefungua hiyo link ya juu bado nashindwa kudownload naona tu list ya series nikichagua mojawapo inakuja na vipart part alafu inasema video brokenBofya hio link kui-download app ya [HASHTAG]#Dramania[/HASHTAG], Mkuu!
http://mobi24.net/apks/Dramania.apk
Wanazo pia appps nyengine za anime, cartoon, na manga!
Unaweza kuzicheki kupitia hiyo link!
site:mobi24.net - Google Search
______________
Downlod links nyengine zichukue kutoka hapa!
Anzisha uziVipi za ki Filipino
Nielekeze [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Anzisha uzi
Hata mimi sijui namna ya kuanzisha muulize aliyeanzisha huuNielekeze [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mimi nimejaribu app zingine hazieleweki ila Dramania pamoja na udhaifu huu huwa inanifaa sana...haipo complicated kabisaTatizo application ya dramania Ni vipandevipande nikipata apps za full episode mtanisaidia sana wadau
Natumia simu
Nimekupata chiefMimi nimejaribu app zingine hazieleweki ila Dramania pamoja na udhaifu huu huwa inanifaa sana...haipo complicated kabisa
Yaani nna majonzi si kidogo aisee miaka miwili mingi sana aisee...mke mwenza atakuwa anamtembelea kwani huko aliko haruhusiwi hata kutembelewa?aigoooo unaonekana una huzuni kubwa sana kwa kumkosa minoz kwa miaka 2 kuanzia sasa, sijui mke mwenza mtarajiwa Bae suzy nae ana huzuni kiasi gani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi lead nikiwa simuelewi naacha kuangalia[emoji23][emoji23][emoji23]
princess man bora yule princess ndo ange lead....
kings face mdada mmbaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nilianza kuangalia Ruler :master of the mask
nikadhani second lead ndo ana lead kidogo niache kuitazama ila bahati nzuri nikaona kuna huyo lead [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nataka ujinga mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hakuna demu mkali kama alieigiza shine or Go crazy na jang hyuk mdada mzuri sana.. kijiji kilimpendeza[emoji23]
halafu scarlet ryeo ikarudiwa ila story different kdg.
halafu kwenye scarlet nampenda sec lead kuliko main[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]