Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Injo wa Joseon aliishi miaka 54 na alikuwa mfalme wa 16, Injo alikuwa ni mjukuu wa mfalme Seonjo (mtawala wa 14 wa Joseon). Injo alibeba madaraka ya ufalme kufuatia mapinduzi yaliomuondoa mfalme Gwanghae mnamo mwaka 1623.

Baada ya Joseon kujisalimisha dhidi ya Qing iliamuliwa crown prince soe hyun achukuliwe mateka na hatimaye akaweka makaazi yake eneo la Simyang ambapo huko aliishi kwa takribani miaka 8.

mwaka 1644, crown prince alihamia Beijing na huko ndipo alikutana na Jesuit missionary Johann Adam Schall von Bell. crown prince alifariki mwaka mmoja baadae baada ya kufanikiwa kurudi nyumbani kwao.

In 1627, mwana wa mfalme alimuoa binti wa bwana Gang Seok-gi (binti huyo ni uzao wa 17 wa kizazi cha General Gang Gam chan wa Goryeo). Sohyeon alikimbia pamoja na baba yake (Injo) kuelekea ngome za Namhan ila kwa pamoja waliamua kujisalimisha mbele ya mfalme Hong Taiji wa Later Jin baada ya kudhibitiwa kwa kisiwa cha Ganghwa na wanajeshi wa Later jin Dynasty.

ndipo hapo safari yake ya kuwa mateka ilipoanzia, Crown prince alitambulishwa rasmi katika ulimwengu wa kimagharibi pamoja na ukatoliki mara baada ya kukutana na Johann Adam Schall von Bell.

crown prince alirudi nyumbani kwao akiwa na mtazamo mpya juu ya dunia jambo lilomweka kwenye upinzani mkali dhidi ya baba yake aliyeamini mwanawe tayari ameshakunywa maji ya bendera ya Qing, ukatoliki na umagharibi.

siku chache baadae mwana wa mfalme aliyeonekana chumbani kwake akiwa amefariki huku akivuja damu, zipo nadharia zinadai ya kwamba mwana wa mfalme aliuliwa kwa njia ya sumu, huku wengine wakienda mbali zaidi kwa kudai mfalme Injo alimuuwa mwanawe kwa kumrushia usoni ink slab (kibao fulani hivi wanatumia kwa ajili ya kuchanganyia wino)

mfalme Injo alipunguza siku za maombolezo ya mwanawe, aliweka kizuizi kwa kila aliyejaribu kuchunguza kifo cha mwanawe, si hivyo tu inasemekana mfalme Injo hakuwahi kutembelea kaburi la mwanawe.

baadae Injo aliamuru wajukuu zake watatu (watoto wa mwana mfalme so hyun) waondoshwe (exile)ndani ya mji kuelekea kisiwa cha JEJU, ni mtoto mmoja tu kati ya hao aliyefanikiwa kurudi mainland kwani wengineo waliuliwa. Hata aliyekuwa mke wa crown prince naye aliuliwa kwa hoja ya uhaini.
1698410907886.png

=========
Kama umeangalia slave hunter utakuwa umeshavuta picha ya mkasa mzima wa kumgombania yule mtoto mdogo, yes alikuwa ni mtoto wa crown price sohyeon. Na yule bwana Song taeha alikuwa ni mlinzi wa crown prince Sohyeon hukoo Simyang, naye aliporudi Joseon pamoja na crown prince alijikuta anatengenezewa kesi ya kuiba chakula cha wanajeshi.
1698411248095.png

==========
turudi kwenye my Dearest drama, unadhani ni kipi kitamkuta lee jang hyun pindi atakaporudi Joseon kutoka Simyang?
Unakumbuka episode 1 ilianzaje, kwenye ukanda wa bahari wanajeshi wa Joseon walikuwa wamemzunguka Lee Jang Hyun huku akiwa anavuja damu.
unadhani sababu ilikuwa ni nini?

1698410969420.png

===========
kuna historical movie inaitwa the night owl ya mwaka 2022 ndio naiangalia, inazungumzia hadithi ya mfalme Injo na mwanawe crown prince sohyeon pamoja na daktari mwenye uhafifu wa kuona (blindness) aliyeshuhudia mauaji ya mwana wa mfalme

jioni njema
1698411137694.png
 
Injo wa Joseon aliishi miaka 54 na alikuwa mfalme wa 16, Injo alikuwa ni mjukuu wa mfalme Seonjo (mtawala wa 14 wa Joseon). Injo alibeba madaraka ya ufalme kufuatia mapinduzi yaliomuondoa mfalme Gwanghae mnamo mwaka 1623.

Baada ya Joseon kujisalimisha dhidi ya Qing iliamuliwa crown prince soe hyun achukuliwe mateka na hatimaye akaweka makaazi yake eneo la Simyang ambapo huko aliishi kwa takribani miaka 8.

mwaka 1644, crown prince alihamia Beijing na huko ndipo alikutana na Jesuit missionary Johann Adam Schall von Bell. crown prince alifariki mwaka mmoja baadae baada ya kufanikiwa kurudi nyumbani kwao.

In 1627, mwana wa mfalme alimuoa binti wa bwana Gang Seok-gi (binti huyo ni uzao wa 17 wa kizazi cha General Gang Gam chan wa Goryeo). Sohyeon alikimbia pamoja na baba yake (Injo) kuelekea ngome za Namhan ila kwa pamoja waliamua kujisalimisha mbele ya mfalme Hong Taiji wa Later Jin baada ya kudhibitiwa kwa kisiwa cha Ganghwa na wanajeshi wa Later jin Dynasty.

ndipo hapo safari yake ya kuwa mateka ilipoanzia, Crown prince alitambulishwa rasmi katika ulimwengu wa kimagharibi pamoja na ukatoliki mara baada ya kukutana na Johann Adam Schall von Bell.

crown prince alirudi nyumbani kwao akiwa na mtazamo mpya juu ya dunia jambo lilomweka kwenye upinzani mkali dhidi ya baba yake aliyeamini mwanawe tayari ameshakunywa maji ya bendera ya Qing, ukatoliki na umagharibi.

siku chache baadae mwana wa mfalme aliyeonekana chumbani kwake akiwa amefariki huku akivuja damu, zipo nadharia zinadai ya kwamba mwana wa mfalme aliuliwa kwa njia ya sumu, huku wengine wakienda mbali zaidi kwa kudai mfalme Injo alimuuwa mwanawe kwa kumrushia usoni ink slab (kibao fulani hivi wanatumia kwa ajili ya kuchanganyia wino)

mfalme Injo alipunguza siku za maombolezo ya mwanawe, aliweka kizuizi kwa kila aliyejaribu kuchunguza kifo cha mwanawe, si hivyo tu inasemekana mfalme Injo hakuwahi kutembelea kaburi la mwanawe.

baadae Injo aliamuru wajukuu zake watatu (watoto wa mwana mfalme so hyun) waondoshwe (exile)ndani ya mji kuelekea kisiwa cha JEJU, ni mtoto mmoja tu kati ya hao aliyefanikiwa kurudi mainland kwani wengineo waliuliwa. Hata aliyekuwa mke wa crown prince naye aliuliwa kwa hoja ya uhaini.

=========
Kama umeangalia slave hunter utakuwa umeshavuta picha ya mkasa mzima wa kumgombania yule mtoto mdogo, yes alikuwa ni mtoto wa crown price sohyeon. Na yule bwana Song taeha alikuwa ni mlinzi wa crown prince Sohyeon hukoo Simyang, naye aliporudi Joseon pamoja na crown prince alijikuta anatengenezewa kesi ya kuiba chakula cha wanajeshi.
View attachment 2794730
==========
turudi kwenye my Dearest drama, unadhani ni kipi kitamkuta lee jang hyun pindi atakaporudi Joseon kutoka Simyang?
Unakumbuka episode 1 ilianzaje, kwenye ukanda wa bahari wanajeshi wa Joseon walikuwa wamemzunguka Lee Jang Hyun huku akiwa anavuja damu.
unadhani sababu ilikuwa ni nini?

View attachment 2794717
===========
kuna historical movie inaitwa the night owl ya mwaka 2022 ndio naiangalia, inazungumzia hadithi ya mfalme Injo na mwanawe crown prince sohyeon pamoja na daktari mwenye uhafifu wa kuona (blindness) aliyeshuhudia mauaji ya mwana wa mfalme

jioni njema
View attachment 2794729
Pamoja na uangalizi wao mzuri kwenye kila sector, treatment nzuri , na kutokuhusika kwenye kazi ngumu, inakuwaje WAFALME wakawa wanaishi miaka michache sana.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Nunca te olvidaré - Enrique Iglesia

feliz domingo
 
Kuna wakati taste ya mtu inabadilika lakini drama zinazopendwa na wengi zinanishinda hizi ni baadhi..
Goblin
Six flying dragon
Just btn lovers
Vincenzo
Song of bandits
DP
Mr sunshine
Itaweon class

Mpaka wakati mwingine labda taste itabadilikika nitazirudia....

Kwasasa niangalie ongoing
My dearest
Sparkling watermelon
Hyo shim independent life

Completed; Gaus Electronics
Six flying dragon ni series ambayo nimeangalia episode nyingi mfulilizo kuliko zote ,sio series yangu bora hapana ila ukiiisha kipande kimoja kinakushawishi kuendelea kutokana na mchaka mchaka wa episode iliyopita ghafla unapata Alosto kali ya kuendelea na next episode mpaka kuna siku nikalala night kali kabisa.

Hii episode za mwanzo sikuielewa nikatamani kuifuta ila picha rasmi ilianza episode ile ambayo Lee Bang alipomua yule kiongozi wa Serikali huku Le Bang Won akishuhudia mchezo.

Nyingine ambayo amsha amsha zake ilifanya niende episode nyingi kwa siku ni Emperor of the Sea, Dae Jo Young bado naendelea nayo lakini hainipi mzuka wa kuendanazo mfulilizo japo kali.
 
Injo wa Joseon aliishi miaka 54 na alikuwa mfalme wa 16, Injo alikuwa ni mjukuu wa mfalme Seonjo (mtawala wa 14 wa Joseon). Injo alibeba madaraka ya ufalme kufuatia mapinduzi yaliomuondoa mfalme Gwanghae mnamo mwaka 1623.

Baada ya Joseon kujisalimisha dhidi ya Qing iliamuliwa crown prince soe hyun achukuliwe mateka na hatimaye akaweka makaazi yake eneo la Simyang ambapo huko aliishi kwa takribani miaka 8.

mwaka 1644, crown prince alihamia Beijing na huko ndipo alikutana na Jesuit missionary Johann Adam Schall von Bell. crown prince alifariki mwaka mmoja baadae baada ya kufanikiwa kurudi nyumbani kwao.

In 1627, mwana wa mfalme alimuoa binti wa bwana Gang Seok-gi (binti huyo ni uzao wa 17 wa kizazi cha General Gang Gam chan wa Goryeo). Sohyeon alikimbia pamoja na baba yake (Injo) kuelekea ngome za Namhan ila kwa pamoja waliamua kujisalimisha mbele ya mfalme Hong Taiji wa Later Jin baada ya kudhibitiwa kwa kisiwa cha Ganghwa na wanajeshi wa Later jin Dynasty.

ndipo hapo safari yake ya kuwa mateka ilipoanzia, Crown prince alitambulishwa rasmi katika ulimwengu wa kimagharibi pamoja na ukatoliki mara baada ya kukutana na Johann Adam Schall von Bell.

crown prince alirudi nyumbani kwao akiwa na mtazamo mpya juu ya dunia jambo lilomweka kwenye upinzani mkali dhidi ya baba yake aliyeamini mwanawe tayari ameshakunywa maji ya bendera ya Qing, ukatoliki na umagharibi.

siku chache baadae mwana wa mfalme aliyeonekana chumbani kwake akiwa amefariki huku akivuja damu, zipo nadharia zinadai ya kwamba mwana wa mfalme aliuliwa kwa njia ya sumu, huku wengine wakienda mbali zaidi kwa kudai mfalme Injo alimuuwa mwanawe kwa kumrushia usoni ink slab (kibao fulani hivi wanatumia kwa ajili ya kuchanganyia wino)

mfalme Injo alipunguza siku za maombolezo ya mwanawe, aliweka kizuizi kwa kila aliyejaribu kuchunguza kifo cha mwanawe, si hivyo tu inasemekana mfalme Injo hakuwahi kutembelea kaburi la mwanawe.

baadae Injo aliamuru wajukuu zake watatu (watoto wa mwana mfalme so hyun) waondoshwe (exile)ndani ya mji kuelekea kisiwa cha JEJU, ni mtoto mmoja tu kati ya hao aliyefanikiwa kurudi mainland kwani wengineo waliuliwa. Hata aliyekuwa mke wa crown prince naye aliuliwa kwa hoja ya uhaini.

=========
Kama umeangalia slave hunter utakuwa umeshavuta picha ya mkasa mzima wa kumgombania yule mtoto mdogo, yes alikuwa ni mtoto wa crown price sohyeon. Na yule bwana Song taeha alikuwa ni mlinzi wa crown prince Sohyeon hukoo Simyang, naye aliporudi Joseon pamoja na crown prince alijikuta anatengenezewa kesi ya kuiba chakula cha wanajeshi.
View attachment 2794730
==========
turudi kwenye my Dearest drama, unadhani ni kipi kitamkuta lee jang hyun pindi atakaporudi Joseon kutoka Simyang?
Unakumbuka episode 1 ilianzaje, kwenye ukanda wa bahari wanajeshi wa Joseon walikuwa wamemzunguka Lee Jang Hyun huku akiwa anavuja damu.
unadhani sababu ilikuwa ni nini?

View attachment 2794717
===========
kuna historical movie inaitwa the night owl ya mwaka 2022 ndio naiangalia, inazungumzia hadithi ya mfalme Injo na mwanawe crown prince sohyeon pamoja na daktari mwenye uhafifu wa kuona (blindness) aliyeshuhudia mauaji ya mwana wa mfalme

jioni njema
View attachment 2794729
Vipi slave hunter ni kali ? nimewekewea hapa Library ya mtaani iliyotafsiriwa na MaDJ na nimeanza kuicheki episode za mwanzo ila bado sijaona amsha amsha wala msisimko mzuri wa stori na matukio.
 
Katika historical drama za kivita nyingi lazima kihusishwe kipande cha Liaodong Peninsula ,unakuta mara kipo chini ya utawala wa wakorea mara nyingine China .Ila sasa eneo hilo ni mali ya china ramani ya zamani Liaodong ilikuwa ndani ya Guegreyo.
IMG_20231029_171629.jpg


Ramani ya sasa ipo ndani ya China ,wakina Jumong ,Damdeok ,Yang Manchun walilinda sana hilo eneo Wakorea wamesalimu amri sasa.
IMG_20231029_172042.jpg


Mpaka ungekuwa Liao river badala ya Amnok (Yalu river ) eneo lingekuwa chini ya North Korea.
images (17).jpeg
 
Kwenye My Dearest, huyu dogo mbona anakuwa na wivu sana juu ya Namgoong Min.? Yani anaonekana kumpenda jamaa kiasi ambacho kinaanza kubadili maudhui hasa ukizingatia yeye ni wa kiume.


Okay, ngoja tuone..!
 
Naombeni link ya kucheki drama ya flower of evil angalizo isiwe na episodes zenye mb kubwa
 
wakina Jumong ,Damdeok ,Yang Manchun walilinda sana hilo eneo Wakorea wamesalimu amri sasa.
Hhhah, umelisahau jina la mtu mmoja mzito sana hapo Gogryeo.
Eulji Mundoek ni moja ya top three ya mashujaa wa Gogryeo, aliwafanyia ukatili Sui Dynasty . Mpaka leo hii ukisoma mashujaa ambao wanahusudiwa katika jeshi la Korea Basi Mundoek.
Goryeo pia walikuwa na Eulji Mundoek wao aitwae Gang Gam Chan Khitan wanamfaham vema.

Yang Man Chun was nameless hero. Hilo jina walimpa watu wa Tang baada ya kumpiga vibaya Emperor Taezong wa Tang.
Joseon walikuwa very weak kijeshi, but wali advance technologically. Hii pia ilipelekea kuonewa sana.
 
kuna series flan hv naitafutaga sana na sijawah ipata inaitwa Korea Secret Agent nadhani ni ya 2011 picha inaanza kuna mzee aliachaga kazi yuko porini anafuga ng'ombe kuna mtu alitumwa na Helkopter kumfuata, mwanzoni walianza kuwatraini vijana baadae walianza kupewa mission nakumbuka jina moja la kijana kwenye mission alikuwa anaitwa Parachute alikuwa muhuni tu wa mtaa ila akachaguliwa kujiunga na hiyo team, anaeifaham au alie itambua anisaidie link pa kuipata#shukrani
 
  • Thanks
Reactions: Lax
kuna series flan hv naitafutaga sana na sijawah ipata inaitwa Korea Secret Agent nadhani ni ya 2011 picha inaanza kuna mzee aliachaga kazi yuko porini anafuga ng'ombe kuna mtu alitumwa na Helkopter kumfuata, mwanzoni walianza kuwatraini vijana baadae walianza kupewa mission nakumbuka jina moja la kijana kwenye mission alikuwa anaitwa Parachute alikuwa muhuni tu wa mtaa ila akachaguliwa kujiunga na hiyo team, anaeifaham au alie itambua anisaidie link pa kuipata#shukrani
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Katika historical drama za kivita nyingi lazima kihusishwe kipande cha Liaodong Peninsula ,unakuta mara kipo chini ya utawala wa wakorea mara nyingine China .Ila sasa eneo hilo ni mali ya china ramani ya zamani Liaodong ilikuwa ndani ya Guegreyo.View attachment 2796990

Ramani ya sasa ipo ndani ya China ,wakina Jumong ,Damdeok ,Yang Manchun walilinda sana hilo eneo Wakorea wamesalimu amri sasa.View attachment 2797003

Mpaka ungekuwa Liao river badala ya Amnok (Yalu river ) eneo lingekuwa chini ya North Korea.View attachment 2797005
Liadong ingekua ngumu kuiziwia isichukuliwe ukiangalia kwenye ramani hapo unaona ipo mdomoni mwa China.

Nakumbuka vita ya Koguryeo kuilinda Liadong dhidi ya Han kwenye "Jumong" ilibidi mpaka mzee baba Daeso aungane na Jumong ili waweze kumpiga Han.
 
Injo wa Joseon aliishi miaka 54 na alikuwa mfalme wa 16, Injo alikuwa ni mjukuu wa mfalme Seonjo (mtawala wa 14 wa Joseon). Injo alibeba madaraka ya ufalme kufuatia mapinduzi yaliomuondoa mfalme Gwanghae mnamo mwaka 1623.

Baada ya Joseon kujisalimisha dhidi ya Qing iliamuliwa crown prince soe hyun achukuliwe mateka na hatimaye akaweka makaazi yake eneo la Simyang ambapo huko aliishi kwa takribani miaka 8.

mwaka 1644, crown prince alihamia Beijing na huko ndipo alikutana na Jesuit missionary Johann Adam Schall von Bell. crown prince alifariki mwaka mmoja baadae baada ya kufanikiwa kurudi nyumbani kwao.

In 1627, mwana wa mfalme alimuoa binti wa bwana Gang Seok-gi (binti huyo ni uzao wa 17 wa kizazi cha General Gang Gam chan wa Goryeo). Sohyeon alikimbia pamoja na baba yake (Injo) kuelekea ngome za Namhan ila kwa pamoja waliamua kujisalimisha mbele ya mfalme Hong Taiji wa Later Jin baada ya kudhibitiwa kwa kisiwa cha Ganghwa na wanajeshi wa Later jin Dynasty.

ndipo hapo safari yake ya kuwa mateka ilipoanzia, Crown prince alitambulishwa rasmi katika ulimwengu wa kimagharibi pamoja na ukatoliki mara baada ya kukutana na Johann Adam Schall von Bell.

crown prince alirudi nyumbani kwao akiwa na mtazamo mpya juu ya dunia jambo lilomweka kwenye upinzani mkali dhidi ya baba yake aliyeamini mwanawe tayari ameshakunywa maji ya bendera ya Qing, ukatoliki na umagharibi.

siku chache baadae mwana wa mfalme aliyeonekana chumbani kwake akiwa amefariki huku akivuja damu, zipo nadharia zinadai ya kwamba mwana wa mfalme aliuliwa kwa njia ya sumu, huku wengine wakienda mbali zaidi kwa kudai mfalme Injo alimuuwa mwanawe kwa kumrushia usoni ink slab (kibao fulani hivi wanatumia kwa ajili ya kuchanganyia wino)

mfalme Injo alipunguza siku za maombolezo ya mwanawe, aliweka kizuizi kwa kila aliyejaribu kuchunguza kifo cha mwanawe, si hivyo tu inasemekana mfalme Injo hakuwahi kutembelea kaburi la mwanawe.

baadae Injo aliamuru wajukuu zake watatu (watoto wa mwana mfalme so hyun) waondoshwe (exile)ndani ya mji kuelekea kisiwa cha JEJU, ni mtoto mmoja tu kati ya hao aliyefanikiwa kurudi mainland kwani wengineo waliuliwa. Hata aliyekuwa mke wa crown prince naye aliuliwa kwa hoja ya uhaini.

=========
Kama umeangalia slave hunter utakuwa umeshavuta picha ya mkasa mzima wa kumgombania yule mtoto mdogo, yes alikuwa ni mtoto wa crown price sohyeon. Na yule bwana Song taeha alikuwa ni mlinzi wa crown prince Sohyeon hukoo Simyang, naye aliporudi Joseon pamoja na crown prince alijikuta anatengenezewa kesi ya kuiba chakula cha wanajeshi.
View attachment 2794730
==========
turudi kwenye my Dearest drama, unadhani ni kipi kitamkuta lee jang hyun pindi atakaporudi Joseon kutoka Simyang?
Unakumbuka episode 1 ilianzaje, kwenye ukanda wa bahari wanajeshi wa Joseon walikuwa wamemzunguka Lee Jang Hyun huku akiwa anavuja damu.
unadhani sababu ilikuwa ni nini?

View attachment 2794717
===========
kuna historical movie inaitwa the night owl ya mwaka 2022 ndio naiangalia, inazungumzia hadithi ya mfalme Injo na mwanawe crown prince sohyeon pamoja na daktari mwenye uhafifu wa kuona (blindness) aliyeshuhudia mauaji ya mwana wa mfalme

jioni njema
View attachment 2794729
Bandiko tamu sana chukua maua yako. Nimependa jinsi ulvyounganisha matukio kutokea kwa "My dearest" mpaka "Chuno".

Kumbe yule dogo alikuwa anagombewa kwenye Slave Hunters ndiye mjukuu wa huyu Crown prince "mchele mchele" wa kwenye "My dearest"
 
Angalia hizi ni za mjini alafu ni kali mno kazi ni kwako

-Innocent defendant

-The last

-Big mouth

- Whisper

-The veil
Kuna muvi moja nahisi niya kikorea ya mjini sijui jina lake niliona kisehemu tu kilikuwa hivi mapolisi walikuwa wameenda kwenye kufanya mafunzo ya kuzuia wizi kwenye treni cha kushangaza wizi ukatokea wao ndiyo wakaibiwa hapo hapo ndani ya treni .....anaje jua hii muvi ni gani ?
 
Hawa jamaa umagharibi mwingi siku hizi
IMG_20231101_195605.jpg
IMG_20231101_195922.jpg
 

Attachments

  • IMG_20231101_195605.jpg
    IMG_20231101_195605.jpg
    16.2 KB · Views: 11
Kuna muvi moja nahisi niya kikorea ya mjini sijui jina lake niliona kisehemu tu kilikuwa hivi mapolisi walikuwa wameenda kwenye kufanya mafunzo ya kuzuia wizi kwenye treni cha kushangaza wizi ukatokea wao ndiyo wakaibiwa hapo hapo ndani ya treni .....anaje jua hii muvi ni gani ?
Ni movie au series?
 
Back
Top Bottom