Itakuwa ni series sijui ila naona itakuwa ni series ya kikorea niliona Trailer tena ilikuwa imetafsiliwa ...mapolisi walikuwa na mabosi wao wanakwenda kwenye treni kufanya mafunza jinsi ya kuzuia wezi kuibia abiria mara hao mapolisi mabosi wenye kutoa mafunzo wakashangaa wamesha ibiwa hapo kwa hapo bila ya kujua hata wameibiwa namna gani wala kumuona mwizi wakati wanaibiwa ndani ya treni .Ni movie au series?
Hii drama mnaipendea nini? mimi nimeishia episode 1 nimeona story ni zile zile za kitoto eti mwanamke anamtafuta mwanaume ambaye anamuona kwenye ndoto, la pili ni main characters wamecheza kama comedy fulani hivi Hawapo serious hii pia imechangia kutoendelea kuifuatilia labda kama uko mbele kuna mabadilikoMy Dearest sehemu ya 17 haijaenda hewani leo.? Nimeiangalia site zote mpaka sasa haijawekwa.
Hii drama inakupa furaha na majonzi kwa wakati mmoja mana kuna love story,uvamizi wa ming huko joseon yaan maswala ya political na mengineyo,hakuna utoto kivilee..anyway nasubiri part 2 imalizike yote kisha niiangalie..mana wana mpango wa kuirefusha kidogo...Hii drama mnaipendea nini? mimi nimeishia episode 1 nimeona story ni zile zile za kitoto eti mwanamke anamtafuta mwanaume ambaye anamuona kwenye ndoto, la pili ni main characters wamecheza kama comedy fulani hivi Hawapo serious hii pia imechangia kutoendelea kuifuatilia labda kama uko mbele kuna mabadiliko
Hii drama mnaipendea nini? mimi nimeishia episode 1 nimeona story ni zile zile za kitoto eti mwanamke anamtafuta mwanaume ambaye anamuona kwenye ndoto, la pili ni main characters wamecheza kama comedy fulani hivi Hawapo serious hii pia imechangia kutoendelea kuifuatilia labda kama uko mbele kuna mabadiliko
Hii drama inakupa furaha na majonzi kwa wakati mmoja mana kuna love story,uvamizi wa ming huko joseon yaan maswala ya political na mengineyo,hakuna utoto kivilee..anyway nasubiri part 2 imalizike yote kisha niiangalie..mana wana mpango wa kuirefusha kidogo...
Tatizo ni haraka haraka, episode moja tayari umekuja kufanya analysis na kisema drama sio nzuri? Komaa nayo walau mpaka ep ya 4 au 5.Hii drama mnaipendea nini? mimi nimeishia episode 1 nimeona story ni zile zile za kitoto eti mwanamke anamtafuta mwanaume ambaye anamuona kwenye ndoto, la pili ni main characters wamecheza kama comedy fulani hivi Hawapo serious hii pia imechangia kutoendelea kuifuatilia labda kama uko mbele kuna mabadiliko
Kali sana,Vipi slave hunter ni kali ? nimewekewea hapa Library ya mtaani iliyotafsiriwa na MaDJ na nimeanza kuicheki episode za mwanzo ila bado sijaona amsha amsha wala msisimko mzuri wa stori na matukio.
Halafu mpka General Mugol alikufa katika vita hiyo ya kuitwaa Liaondong ..Liadong ingekua ngumu kuiziwia isichukuliwe ukiangalia kwenye ramani hapo unaona ipo mdomoni mwa China.
Nakumbuka vita ya Koguryeo kuilinda Liadong dhidi ya Han kwenye "Jumong" ilibidi mpaka mzee baba Daeso aungane na Jumong ili waweze kumpiga Han.
Hamna nikiwa sina MB naenda kwa dogo kibandi huwa ananiwekea bure mimi nachagua yeyote naisongesha mpka . Japo wanaongopa ila wananogesha picha sana.Kali sana,
Hao madj watu bado mnacheki kazi zao🤣
BAndo limekua mtihani hata mm nimekaa pembeni kwanza nazisave recommendations tuHamna nikiwa sina MB naenda kwa dogo kibandi huwa ananiwekea bure mimi nachagua yeyote naisongesha mpka . Japo wanaongopa ila wananogesha picha sana.
Asante sana
Mpaka leo hujaijua nkiri?Naombeni link ya kucheki drama ya flower of evil angalizo isiwe na episodes zenye mb kubwa
Nimechungulia hapa nimwkuta, usisahau feedback niongeze kwenye list nikitoka za maporiniAsante sana
Kuna movie inaitwa worst of evil...umeiona?
Ni kali sana ni ya undercoverAsante sana
Kuna movie inaitwa worst of evil...umeiona?