Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

aigooo,ila atakuwa anaonekana public akifanya majukumu yake ya kazi
Lee Min Ho [emoji813] 이민호 [emoji813] ィミンホ [emoji813] 李敏鎬
005tygfagy1ffxccdj4r7j30yi1pce81.jpg


VvLwvR2n7si5SthK.jpg

[HASHTAG]#goodbye[/HASHTAG]
Sasa kujifunga hivyo hata sitamfaidi walau angekuwa anaongea
 
안녕핫심니카? 올만니다. Nawasalimu wote wana jf wapenzi na wadau wa korean drama. Hivi team song il gook 송일국 na team choi soo jong 최소종 mpooo??
Tupooooo
Team Il Song Gook hapa [emoji4] [emoji123]
 
omo omo omo yaani team jang hyuk kumbe wapo wengi, basi nimeamua niwaunganishe na washabiki wenzenu wa jang hyuk duniani kote.kupitia fans thread hii utapata taarifa zote zinazomuhusu jang hyuk.
Jang Hyuk 장혁

pia hii ni zawadi kwa Khantwe najua miaka hii miwili itakuwa ni migumu kwake ila nimeamua nimkutanishe na washabiki wenziwe wa lee min ho ili wapate kuliwazana,pindi utakapojisikia jamiiforums imekuchosha usikose kutembelea fans thread ya lee min ho.
Lee Min Ho [emoji813] 이민호 [emoji813] ィミンホ [emoji813] 李敏鎬

niliwahi kusoma comment ya member anayeitwa princess ariana ambapo alisema yeye ni mpenzi mkubwa sana wa lee byung hun,pia nimeona nimuwekee link ya fans thread ya lee byung hyun,naamini itamsaidia kupata taarifa za kila siku zinazomhusu lee byung hyun pindi jamiiforums itakapokuwa imemchosha.
Lee Byung Hun 이병헌 Byunghun Lee

bado naamini pia bado Nifah ni mpenzi mkubwa sana wa song il kook,pindi utakapojisikia kuchoka kutembelea jamiiforums basi jaribu fans thread hii ya song il kook,utakutana na member ambao ni team song il kook kama yvonne allen.
Song Il Kook 송일국

kwa wale wapenzi wa song joong ki jaribu kutembelea fans thread hii
☆ Song Joong Ki ☆ 송중기
kama unatumia computer itakuwa vizuri zaidi kwa sababu itakuwa rahisi zaidi kuchagua page unayoitaka (next page)
[HASHTAG]#annyeong_goodbye[/HASHTAG]
Asante Oppa.
BTW hizi hashtags za goodbye zinaashiria nini? [emoji134]
 
fanya mpango utembelee Seoul ukifanya masihara utapinduliwa,umeona wapinzani wako wanavyompelekea zawadi.
[HASHTAG]#goodbye[/HASHTAG]
Walah nimeshaliwa sijui nibakie na sponsor wangu Jang hyuk tu[emoji85]
 
Ingia dramacool chagua unayotaka then endelea kushusha mzigo
 
Walah nimeshaliwa sijui nibakie na sponsor wangu Jang hyuk tu[emoji85]
sesang-e (oh my God) mbona unanivunja moyo,ni siku 14 tu tokea aache kukupigia simu ila umeshaanza kufikiria vibaya.Naamini hawezi kukusahau na hao wanaoigiza kumpelekea zawadi kumbe wana lao jambo wanajisumbua tu. jambo la msingi muandalie zawadi nzuri kwa ajili ya kutimiza miaka 30 mnamo mwezi june 22
[HASHTAG]#goodbye[/HASHTAG]
 
sesang-e (oh my God) mbona unanivunja moyo,ni siku 14 tu tokea aache kukupigia simu ila umeshaanza kufikiria vibaya.Naamini hawezi kukusahau na hao wanaoigiza kumpelekea zawadi kumbe wana lao jambo wanajisumbua tu. jambo la msingi muandalie zawadi nzuri kwa ajili ya kutimiza miaka 30 mnamo mwezi june 22
[HASHTAG]#goodbye[/HASHTAG]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] miaka miwili mingi sana bhana ngoja niendelee kujiliwaza na sponsor tutaelewa siku atakayorudi
 
Asante Oppa.
BTW hizi hashtags za goodbye zinaashiria nini? [emoji134]
Hahahahahaaaaa Hata mimi sijui namaanisha nini ila ninachokumbuka ujumbe wangu wa kwanza kuandika hapa jamiiforums ilikuwa ni kwenye thread hii. Naweza kusema hii ndio sehemu niliyoitembelea mara nyingi zaidi na kutoa mawazo yangu kuliko thread au jukwaa lolote lile kwa asilimia 85%.

Kwa sasa muda mwingi nipo online ila sifahamu kitakachotokezea siku chache zijazo na sababu kubwa ni computer (laptop)yangu nategemea kumpa mdogo wangu na pia nitakosa huduma ya Wi-fi na hata modem yangu natarajia kumpa mdogo wangu . Ili nitumie internet itanibidi niende Internet café jambo ambalo ni gumu kulifanya kila siku kwa sababu ya gharama za kila siku, kwa utumiaji wangu wa internet kwa siku natumia wastani wa GB 5 na internet service nchini kwetu ni gharama sana labda ujiunge na vifurushi vya siku mpya (saa 6 usiku).
kwa hivyo itakuwa ni vigumu kutembelea jamiiforums
 
Hahahahahaaaaa Hata mimi sijui namaanisha nini ila ninachokumbuka ujumbe wangu wa kwanza kuandika hapa jamiiforums ilikuwa ni kwenye thread hii. Naweza kusema hii ndio sehemu niliyoitembelea mara nyingi zaidi na kutoa mawazo yangu kuliko thread au jukwaa lolote lile kwa asilimia 85%. Muda mwengine huwa najaribu kutokuitembelea thread hii japo kwa siku tatu lakini najikuta nashindwa.

Mara nyingi huwa natembelea jamii intelligence na kupata kujifunza mambo mbali mbali yanayoihusu dunia, huwa navutiwa zaidi na maandishi ya member ambaye ni mtu wako wa karibu sana kwa jinsi inavyoonekana, juzi moja niliamua kuandika ujumbe kwenye ile thread ya kifo cha rais wa marekani na nakumbuka niliquote mistari kama minne tu kwenye ile thread na kwa kuwa natumia computer basi nina uhakika na nilichokifanya ila nilikutana na reply ambazo nyengine hazina maadili ya kitanzania ila niliamua kukaa kimya na sababu kubwa nimeambiwa nimequote thread nzima, ndio maana huwa napenda kutembelea thread hii kutokana na wachangiaji wa hapa wengi wao ni wastaarabu.

Kwa sasa muda mwingi nipo online ila sifahamu kitakachotokezea siku chache zijazo na sababu kubwa ni computer (laptop)yangu nategemea kumpa mdogo wangu na pia nitakosa huduma ya Wi-fi na hata modem yangu natarajia kumpa mdogo wangu . Ili nitumie internet itanibidi niende Internet café jambo ambalo ni gumu kulifanya kila siku kwa sababu ya gharama za kila siku, kwa utumiaji wangu wa internet kwa siku natumia wastani wa GB 5 na internet service nchini kwetu ni gharama sana labda ujiunge na vifurushi vya siku mpya (saa 6 usiku).
kwa hivyo itakuwa ni vigumu kutembelea jamiiforums ila natumai ujumbe wangu wa mwisho kwa kipindi hiki utakuwa ni kwenye thread hii ila sijui itakuwa ni lini.
[HASHTAG]#annyeong_goodbye[/HASHTAG]
What? Sasa oppa mi sijaelewa...comments zilizokukwaza ndo zimekufanya umpe mdogo wako laptop au..? [emoji24] [emoji24] usitufanyie hivyo bwana tutaishije hapa bila wewe?
 
Back
Top Bottom