Mie ile good doctor alikua ananiuzi alivyoigiza.Nimetamani ningeipenda kama ulivyoipenda. Staring wake akiigiza sekta ya udokta anavaa uhusika vizuri
yeah kabisaaIla staring akiigiza udokta yupo vizuri
bona movie kali kabsa ileBridal mask nimejilazimisha mara nying kuipenda na kuiangalia nimeshindwa
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Aiseee ni nzuri jamani numbisaq
Mie ile good doctor alikua ananiuzi alivyoigiza.
Saiv naangalia Suspicious Partner nataka niianze na my sassy girl. Umeziona?
bona movie kali kabsa ile
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
uko sahihi
Pinocchio nliangalia muda.Hahaha mwanzon nilichukia uigizaj ule ila baadae nikapenda hasa alivyoigiza genious. Kuna yong pal kaigiza vizuri kweli
Bado sijaziona.shukran kwa kuniongezea list ntazitafuta
Nilikua nairudia rudia descendant of the sun kisha nipo na beautiful gong shim na nyingine inaitwa Pinocchio
Hakamatwi mpaka inaisha. Mwenzio nikiwa na mashaka hivyo napelekega mbele halafu narudisha nilipokuwa [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmh aiseee labda kwa vile naogopa atakamatwa vibaya mbelen ntajaribu siku nyingine
hahahahMmh aiseee labda kwa vile naogopa atakamatwa vibaya mbelen ntajaribu siku nyingine
Afadhali maana nilipopeleka mbele ndo nikachanganya mafile nikaitupilia huko. Ntaitafuta tena niiangaliePinocchio nliangalia muda.
Wakorea kila siku wanatoa vitu vipya yaani mpaka una changanyikiwa
Hakamatwi mpaka inaisha. Mwenzio nikiwa na mashaka hivyo napelekega mbele halafu narudisha nilipokuwa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahahah
halaf ile movie nilikuwa napenda sana jamaa akamatwe yaan o was cravin for t
Sung Dong-il namkubali sana huyu mzee hajawahi kosea kwny uigizaji wke kwny Chuno The Slave hunter ndo kaua zaidi Cheon Jihoooo
Yupo na kwenye legend of the blue sea. Kaigiza mjini na kijijini na meno yake kama hajawahi kuswaki [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sung Dong-il namkubali sana huyu mzee hajawahi kosea kwny uigizaji wke kwny Chuno The Slave hunter ndo kaua zaidi Cheon Jihoooo
hahahahaJaman sio vizuri hivyo nilikua namwonea huruma kweli siku wakimdaka
Daah mimi huu mtindo siupendi [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa unabaki unaangalia nini wakati mwisho unaujua? Yaani mimi hata ikitokea mtu akaniambia hii movie mwishoni itaisha hivi....baaas keshanivuruga na hamu ya kuangalia yote inanitokaHakamatwi mpaka inaisha. Mwenzio nikiwa na mashaka hivyo napelekega mbele halafu narudisha nilipokuwa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahahaha
ile ni moja ya seriea ambazo sikuwa namkubali star kabsa
Daah mimi huu mtindo siupendi [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa unabaki unaangalia nini wakati mwisho unaujua? Yaani mimi hata ikitokea mtu akaniambia hii movie mwishoni itaisha hivi....baaas keshanivuruga na hamu ya kuangalia yote inanitoka
kwa kweli mie saa ingine huenda tofaut na moviesHahaha nikianza angalia movie na nisimpende staring basi hio movie haiangaliwi tena. Staring kupendwa kwanza mengine baadae