Nilichokikubali pia kwenye Hii drama ni Uigizaji wao yaani, Mi King Young kama sijakosea jina lake Yupo poa sana yaaniwedding scene kulikuwa na mvua wakati wa shooting
nimeamua kukuwekea fans thread ya drama hii utapata daily informationDuuuuh!!! hii drama ni balaa, ivyo vipande vitakuwa ni episode ya badaee leo??? Nimetokea kumpenda sna male lead japo cjawah ona kazi yake nyengine .....Mi Park min young tuh laah, Namkubali sna uyu dada ajuh kununa yaani Muda wote ni kucheka tuh,ata ukiangalia behind the scene za Drama alizocheza Unamuona ni Kutabasamu tuh
hahahhaaaa ni kweli hata wiki iliyopita walipo kutwa kwenye mji wa Bali walijaribu kukanushaAta abari za kuwa wanadate walikanusha pia ila mwisho wa siku wanatangaza ndoa....Nachopendea agency zao ni kuwa huwa wanaheshimu mawazo Yao...awatangazi mpaka wenyewe wawe tayari...
Thanks,Ubarikiwenimeamua kukuwekea fans thread ya drama hii utapata daily information
[Current KBS Drama 2017] ♚ Seven day Queen 7일의 왕비 ♚ - Weds & Thurs @ 22:00 KST
wakorea hawafuatilii sana historical drama nilichogundua labda waigizaji wawe maarufu kama lee min ho,song joong ki,kim so hyun halafu kama ulivyosema ushindani ni mkubwa sanaIla pia wanadai Aina Ratings Nzuri pia ...Lbada kutokana na izi Drama Ambazo zinaonyeshwa mudaa sawaa na hiyo ambzo zina ratings nzuri
Na hii drama ndo inayowakosesha Viewers, Sababu hii inachuana na Suspicious Partner yaani, ila mi naona kati ya ruler na queen mi naona queen ndo ipo vizuri,...halafu bado drama ya ruler master of the mask inaendelea kwenye MBC tv na iko mwishoni na zote time moja na siku moja
[Current Drama 2017] The Ruler: Master of the Mask /The Emperor: Owner of the Mask 군주:가면의 주인 - Wednesdays and Thursdays @ 22:00 KST
Na Apa MBC Ndio Mama lao????wakorea hawafuatilii sana historical drama nilichogundua labda waigizaji wawe maarufu kama lee min ho,song joong ki,kim so hyun halafu kama ulivyosema ushindani ni mkubwa sana kwa sababu kadr siku zinavyosogea vyombo vya habari vinavyokuwa na haki ya umiliki wa hizi kazi vinaongezeka.
kbs tv
tvn
mbc
sbs tv
ocn
jtbc
n.k
mimi team KBS TVNa Apa MBC Ndio Mama lao????
Nicemimi team KBS TV
Dooh kijana hacheleweshiNa walijaribu kuficha sana huu uhusianon wao,Na kitu kimojawapo nachowapendea mastar wa korea,wanajaribu sana kutofautisha kazi na maisha yao binafsi safi sana yaani, Nimeikubali sana Relationship yao,Japo wengi wansema kuwa Song hye Kyo anaweza kuwa Mjamzito...
Yaani hata kabinti bhana...hivi sijui kwa nini aliachana na Min Ho oppawedding scene kulikuwa na mvua wakati wa shooting
Mimi sijaiona bado ila nimeangalia cast huyo kaka amecheza movie moja inaitwa when a man falls in love japo sio lead pia kwenye my love from another star aneonekana kakipande kadoogoDuuuuh!!! hii drama ni balaa, ivyo vipande vitakuwa ni episode ya badaee leo??? Nimetokea kumpenda sna male lead japo cjawah ona kazi yake nyengine .....Mi Park min young tuh laah, Namkubali sna uyu dada ajuh kununa yaani Muda wote ni kucheka tuh,ata ukiangalia behind the scene za Drama alizocheza Unamuona ni Kutabasamu tuh
Huyu mzee anaitwa "Ahn Suk-hwan"
Namuelewa saana...Yan katka K-dramas...huyu ndo bonge la Comedian wangu....kiasi kwamba aki'act part ya kuwa'serious naonaga haimnogei....alaf anapga shoo muvi nying sana...mm nimemkuta katka...
-BRIDAL MASK
-THE SLAVE HUNTERS
-BOYS OVER FLOWER
-PERSONAL TASTE
-JOSEON GUNMAN...
Kama umekutana nae katka muv ambayo kaigiza kama comedian lazma umpende yan....hahah...big up sana mzee Ahn Suk-hwan!!
kumkuta mwanaume ametoga saa zingine ni ushoga wote wanatazama hizi drama huwa wanaliwa k***ga
Mweee jamaniwewe utapata wapi mda wa kuziangalia ilihali every time basha wako yupo nyuma huko anakutawanya mavi? Shenzi taipu!!!!
Fursa na Kuna Movie Mpya iyo inakuja So lazima watumiee mianyaa,japo Amekanusha kuwa hizi taarifa aziingiliani na Ujio wa iyo Movie...Dooh kijana hacheleweshi
Nime download ep 2 tu bado sijaanza kuitizama naimalizia man to man kwanza,ila lazima niitizame namkubali sana yule dem mule mi namwita Kim nana..jina lake la kwenye city hunter.Yaani naomba uangalie iyo Queen of Seven days ni Nomaaa yaani utaichoka inasisimua balaa,Na ina Ost nzuri sana kam ni mpenzi wa zile nyimbo