Inaitwa RULER; master of the maskNasikia kuna drama kali inaitwa master ruler naona kaiona wakuu ili niianze maana nishamaliza six flying dragon leo nahitaji nyingine kali zaidi.
Sent From Heaven
SERIES ambazo zinaenda na Six FLYING DRAGONS ama zenye story zinazofanania au mwendelezo wake n hzNasikia kuna drama kali inaitwa master ruler naona kaiona wakuu ili niianze maana nishamaliza six flying dragon leo nahitaji nyingine kali zaidi.
Sent From Heaven
Nyngne kali ngoja kesho Ntaku2mia au ngoja wakubwa wengine wajeNasikia kuna drama kali inaitwa master ruler naona kaiona wakuu ili niianze maana nishamaliza six flying dragon leo nahitaji nyingine kali zaidi.
Sent From Heaven
We Jamaaa Sikuweza kukuwazia Ivi Daebak, You're Ma Sunbae kabisi hizi drama Sijawahi ziona ila zipo kwenye Kabati langu Siku nikipata time ntaanza kuzichekiSERIES ambazo zinaenda na Six FLYING DRAGONS ama zenye story zinazofanania au mwendelezo wake n hz
1.tree with deep root
2.jang young sip
3.the great King sejong
4.jeong do jeon
5.the great seer
Na nyinginezo nakumbuka hz
Hi Drama Kwangu Mimi Naona Kama Bado hivi Japo Nimeimaliza yte ni kama Sikuielewa Vizuri Labda Sababu ya Actors Zake au Sijuh nini, Ila ni Nzuri
Namuona mzee wa six flying dragons.KATIKA MAISHA YANGU YOTE NIMEANGALIA UTITIRI WA SERIES ZA KIKOREA SIJAWAHI KUONA MOVIE AU SERIES AMBAYO WAKOREA WANECHEZA USHENZI KAMA WAZUNGU TENA WANAKATIANA NJE NJE KAMA HII
Inaitwa THE TREACHEROUS
Hiii jaman Kali sasa
Unajua nilikua nmejiamnsha kuwa hawa jamaaa wanaaibu kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni nzuriNasikia kuna drama kali inaitwa master ruler naona kaiona wakuu ili niianze maana nishamaliza six flying dragon leo nahitaji nyingine kali zaidi.
Sent From Heaven
Mara Nyingi Huu uchafu Wao huwa wanafanya kwenye Movie,Kwenye Drama Nahisi Wanazuiliwa...KATIKA MAISHA YANGU YOTE NIMEANGALIA UTITIRI WA SERIES ZA KIKOREA SIJAWAHI KUONA MOVIE AU SERIES AMBAYO WAKOREA WANECHEZA USHENZI KAMA WAZUNGU TENA WANAKATIANA NJE NJE KAMA HII
Inaitwa THE TREACHEROUS
Hiii jaman Kali sasa
Unajua nilikua nmejiamnsha kuwa hawa jamaaa wanaaibu kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Watatu Wewe Naskia Kuhusu Hiii Drama...AMBAYE BADO HAJAANGALIA "TREE WITH DEEP ROOTS" NAMSHAULI AITAFUTE.....NI NZURI KUPITA NNAVOWEZA KUIELEZEA...SAIZI NAIRUDIA KWA MARA YA TATU MAANA HAICHOSHI KUANGALIA..THE BEST THING KTK HII MOVIE NI KWAMBA HUWEZ UKAPREDICT NINI KITATOKEA AMBALO LIMEKUA TATIZO LA SERIES NYINGI YAANI UKIANZA TU UNAJUA KABISA ITAISHA VIPI HAD INACHOSHA KUMALIZIA...ITAFUTE
We Jamaaa Sikuweza kukuwazia Ivi Daebak, You're Ma Sunbae kabisi hizi drama Sijawahi ziona ila zipo kwenye Kabati langu Siku nikipata time ntaanza kuzicheki
Ila Kuna website Moja nilishawahi Ipitia nikakutana na hizi Mambo Na Nilivyozisoma kule Dooh Sa Nimekuja kupata Uakika kwako Mkuuu, Lol!
Bado mmoja ili wafike watano alafu niifuatilie, mi kuna mmoja aliniambia huku kuwa ni nzuri ngoja nimsubili huyo mmojaWatatu Wewe Naskia Kuhusu Hiii Drama...
Mimi nilicho ipendea EPISODE Zina dakika chacheHi Drama Kwangu Mimi Naona Kama Bado hivi Japo Nimeimaliza yte ni kama Sikuielewa Vizuri Labda Sababu ya Actors Zake au Sijuh nini, Ila ni Nzuri
Ipo vizuri ila kuna king mshenzi sana yana jamaa kubwa zima linanyonya kwa mama yake jamaa limelipa kisasi vibaya sana kwa wale ambaye walim dethrone uQueen mama yake hadi wale waliobeba sumu yaniNamuona mzee wa six flying dragons.
Vp mkuu ikoje
Muda Mwengine Aya Maandishi yetu yanatufanya tuchukuliane Tofauti Sana,Bila Kujali Sisi Ni watu wa aina Gani! Unavyoviandikaga Huwa Vinanifanya Ni Smile Tuuh, Sijajua Kiuhalisia.....Bado mmoja ili wafike watano alafu niifuatilie, mi kuna mmoja aliniambia huku kuwa ni nzuri ngoja nimsubili huyo mmoja
Kwa Uzuri Ni Nzuri Ndomana Niliangalia Mpaka Mwisho Ila Uyo Wa Juuu Apo Naona Kama Aliact Utoto Sana Ni Analia Sana Banah Mpka Anazingua...Mimi nilicho ipendea EPISODE Zina dakika chache
Lakini hata baadhi ya ACTORS wake walishacheza drama zilizofanya vizuri
Kuna huyu dogo
Kama utakua umeangalia THE GREAT QUEEN SEONDEOK yule dogo mwenye futna ana2mia sana akili kungombansha wa2 kim chun-chu
Character yake 2meiona hata kwenye Gye-baek na king's dream
Nyingine alizocheza ni ile WARRIOR BAEK DONG SOO, na King and I
Kuna huyu mzee
Tulimuona kwenye WARRIOR BAEK DONG SOO yule mzee aliyekuwa mzembe mzembe aliyekatwaga mkono na sword saint akaja kujilipua mwishoni
Kuna huyu demu
Ndo yule soo yeon kwenye IRIS 2 na goblin pia kacheza
Aigooooo unajua yale ya kule naandikaga wanakwambia ishi kutokana na mazingira ndio maana nikifika hapa nakuwa pilton. Endelea kusmile maana hakuna namna eti.Muda Mwengine Aya Maandishi yetu yanatufanya tuchukuliane Tofauti Sana,Bila Kujali Sisi Ni watu wa aina Gani! Unavyoviandikaga Huwa Vinanifanya Ni Smile Tuuh, Sijajua Kiuhalisia.....
Ila Ua Guud Dear...
Uyo Mmoja Ni Mimi, Nenda kazitafute Izo Zote Alizozitaja Arthurtz na Nimekulipa Lile Deni Lako La Kuzitaka Historical Drama Zisizokuwa Na Mapenzi......Hahahahahahah....Subuhi Njema
We Unapenda NgumiAigooooo unajua yale ya kule naandikaga wanakwambia ishi kutokana na mazingira ndio maana nikifika hapa nakuwa pilton. Endelea kusmile maana hakuna namna eti.
Aigooooo ngoja niandae mpunga, Hahahahahahahahahaahah ww unapenda mapenz
Nenda kule ukajibu jumbe zanguWe Unapenda Ngumi