ndipo wakajitokeza wanaharakati kama dae joyoung kupigania uhuru wa goguryeo dhidi ya taifa la wachina la TANG na baada ya miaka 30 ndipo likaanzishwa taifa la Balhae kama ni warithi wa kwanza wa goguryeoAisee, vp likazuka upya au
swali gumu sana umeniulizaKwann haipo kwenye tovuti
Yah nzuri sana mkuu ukiipata iangalie ile kitu wapenzi wa Mistuni hii ndio kiboko.Nadhan baada ya jumong na mwendelezo wake ndiyo ilifuata hii kwa action za kutosha na akili nyingi.Vp mkuu ni nzuri sana?
daebakNadhani anasema its okay
Najaribu tu
Sawa mkuuswali gumu sana umeniuliza
Poa mkuu ngoja nitaitafuta, kijijini ndio zanguYah nzuri sana mkuu ukiipata iangalie ile kitu wapenzi wa Mistuni hii ndio kiboko.Nadhan baada ya jumong na mwendelezo wake ndiyo ilifuata hii kwa action za kutosha na akili nyingi.
Sent using Iphone 7+
Hiyo series ya hao wanaharakati ni ipindipo wakajitokeza wanaharakati kama dae joyoung kupigania uhuru wa goguryeo dhidi ya taifa la wachina la TANG na baada ya miaka 30 ndipo likaanzishwa taifa la Balhae kama ni warithi wa kwanza wa goguryeo
Aya Ndo Maswali Yake Magumu Magumu Tuuhh, Muone KwanzaSawa mkuu
Kitakachokufanya Ulie Labda Ni Nini??Kama unafanya hiyo kitu acha kabisa, utanifanya nilie
Nimeangalia you tube nimegundua kuwa kuna washiriki wengi mno walio act kwenye king gwangaaetounajua jumong alikuwa ndiye mfalme wa kwanza sasa huyu daejo young alikuwepo kwenye utawala wa mfalme wa 28 na wa mwisho wa taifa la goguryeo ambaye ni king bojang ambaye alikuwa ni mfalme baada ya general yeon gae somun kumuua mfalme yeongnyu mwaka 642
Potezea usilete ligi huku.Kitakachokufanya Ulie Labda Ni Nini??
Yule Baba Yake Jumong Alomlea akuwa Mfalme?unajua jumong alikuwa ndiye mfalme wa kwanza sasa huyu daejo young alikuwepo kwenye utawala wa mfalme wa 28 na wa mwisho wa taifa la goguryeo ambaye ni king bojang ambaye alikuwa ni mfalme baada ya general yeon gae somun kumuua mfalme yeongnyu mwaka 642
Hahahaha Ligi Nipeleke Wapi?Potezea usilete ligi huku.
Nisha kwambia Lakin umekataa kwenda hukoHahahaha Ligi Nipeleke Wapi?
Hahahahahahaha, Hmmmmm!! Hatari...AyaNisha kwambia Lakin umekataa kwenda huko
Nimekutumia txtHahahahahahaha, Hmmmmm!! Hatari...Aya
Unakumbuka hadi miaka uko vizuri mkuu.Sema wenzetu wako makini sana wanajaribu kuendana na ukweli na uhalisia ndio maana series za vile now zimepungua hawataki kuludia story nadhani hii ndio sababu wanazidi kuuza zaidi.unajua jumong alikuwa ndiye mfalme wa kwanza sasa huyu daejo young alikuwepo kwenye utawala wa mfalme wa 28 na wa mwisho wa taifa la goguryeo ambaye ni king bojang ambaye alikuwa ni mfalme baada ya general yeon gae somun kumuua mfalme yeongnyu mwaka 642
Lile taifa la jumong si ndio koreaUnakumbuka hadi miaka uko vizuri mkuu.Sema wenzetu wako makini sana wanajaribu kuendana na ukweli na uhalisia ndio maana series za vile now zimepungua hawataki kuludia story nadhani hii ndio sababu wanazidi kuuza zaidi.
Sent using Iphone 7+
Kuna Hii Drama Nayoangalia Now Ya Rebel, Inasemekana Ni Drama Ambayo Imeuza Sana Sana kwa Huu Mwaka Kwa Kipindi Kile Inaonyeshwa...Unakumbuka hadi miaka uko vizuri mkuu.Sema wenzetu wako makini sana wanajaribu kuendana na ukweli na uhalisia ndio maana series za vile now zimepungua hawataki kuludia story nadhani hii ndio sababu wanazidi kuuza zaidi.
Sent using Iphone 7+