Daebak!Noma sana hii kitu
Naam!Daebak!
Hahaa tunakuiga wewe au...?aigooo oppaa ulinisahau kuniita.......mi ndo fan wake nambari 1 wengine wanaiga.hahahaaaa lile cheko ni halisi ama igizo tu
af metazama drama zake hizi tu kuna nyingine may be cjaziona Damushin?
slave hunter
tree with deep root
shine or go crazy
fated to love you
tazza
beautiful mind
the voice
Hahahaaaa we acha tu.......nampenda mpk Shemeji yako akimuonaga ananuna au ananizimia umeme kwny main switchKhanta cha post: 23263356 said:
Jamani hiz series za kikorea znaanza kunitia nyongo sasa,ndo nini tory inaisha vbaya hadi mtu unajiskia vbaya.......Queen for seven days mbona imeisha vibaya hivi.moyo unaniuma
Naombenni link yake basi jamaninimeanza jana kuiangalia ila huu uhusika wa mfalme sijaupenda anaonekana ni kama puppet king
Nilijihisi kama naambiwa mimi maneno hayo
Nilipenda Apa Alivyomsihi..''I am asking to a man as another Man to Bring the Woman I love"
Kama Unataka Kustream Live au Kudownload Tembelea Izi Website MyAsiantv.se, Dramafire.com,Dramanice, Izi Ninazozifahamu Miye..Naombenni link yake basi jamani
Yah True Iyo....Ila Ni Kweli Ulikuwa Unamaanisha Hili??Aigoooooo yaani ni kama unahisi njaa halafu anatokezea mtu anakwambia umtafutie chakula na anajua kama wewe una njaa
Hapana stori ya wang won na wang lin haina uhusiano wowote na maisha yanguYah True Iyo....Ila Ni Kweli Ulikuwa Unamaanisha Hili??