Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Mmh kweli mbona ya kawaida mkuu sema hukuipenda maana kwa uzoefu wangu wa kuangalia kdrama sijawahi kuona drama isiyo comedy kabisa
Mh!zipo sikumbuki ile 3 days kama ilikuwa na comedy,tatizo sio kuwepo comedy ila binafsi naona kwenye suspicious parter comedy yake kama ilizidi ikawa inaharibu,kuna sehemu hazikupaswa kuweka comedy.
 
Leo nataka niangalie Individualist,nani ameshaiona?

Sijatizama Kdrama kwa muda kidogo.
 
Mh!zipo sikumbuki ile 3 days kama ilikuwa na comedy,tatizo sio kuwepo comedy ila binafsi naona kwenye suspicious parter comedy yake kama ilizidi ikawa inaharibu,kuna sehemu hazikupaswa kuweka comedy.
Mimi nimeipenda kwa kweli ukizingatia bwana shemela sijawahi kumuona ameigiza drama ya staili ile
 
Acha mambo yako wewe si ndo ulikuwa unashadadia Damushin alivyokuwa anasema atanipambanisha na mchina leo na wewe unataka makubwa haya
hahahaaaa anajifanya amesahau ya kwamba ulimtakia heri ya kuzaliwa song seung hun,anataka vita ya tatu ya dunia si umeona anavyojaribu makombora kwenye mipaka yako
 
hahahaaaa anajifanya amesahau ya kwamba ulimtakia heri ya kuzaliwa song seung hun,anataka vita ya tatu ya dunia si umeona anavyojaribu makombora kwenye mipaka yako
Hahaa anajifanya hajui eti...yaani huyu nitamnyang'anya Mr Lee hatoamini kilichotokea
 
Afadhali umekuja sunbae hebu sema nae huyo aminas kabla sijaapply black magic
bado siku 10 tu mtu wake arudi, lakini waswahili wanasema dawa ya moto ni moto kama akijaribu kujiingiza kwa song seung hun na wewe unapaswa uajiri dereva maalum wa kukupeleka market na nahisi kazi hiyo inamfaa mwanajeshi lee seung gi
 
bado siku 10 tu mtu wake arudi, lakini waswahili wanasema dawa ya moto ni moto kama akijaribu kujiingiza kwa song seung hun na wewe unapaswa uajiri dereva maalum wa kukupeleka market na nahisi kazi hiyo inamfaa mwanajeshi lee seung gi
Haswaa tena ndo kwanza damu bado inanichemka
 
  1. hivi jamani kuna mtu yoyote aliyoangalia korean drama ya mjini halafu ikawa watu hawali supu ya tambi(ramyeon)? kama ipo niambieni niitafute.
ramen-main.jpg
 
Damushin sunbae nisaidie kuunganisha dots kabla hunaondoka (while yo were sleeping)
1.Han woo Tak ni nani? Mbona uwepo wake siuelewi hata
2. Kuna siri gani kubwa inayomhusu? Nakumbuka yule rafiki yake alimwambia asipomuokoa na ile kesi atatoa siri
3. Yule kaka wa muuaji wa baba wa Hong Joo na mwenzie yuko wapi?
4. Yule mtuhumiwa wa mauaji ni nani mbona kama anafanana na yule mwanajeshi?
5. Mbona lawyer Lee anatumia nguvu kubwa kumkandamiza yule mtuhumiwa. Mimi nahisi yeye ndo anahusika kwa namna moja au nyingine na mauaji ya yule dada maana alipaniki sana aliposikia mtuhumiwa ameachiwa huru
 
Back
Top Bottom