Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Nimependa tabasamu zao.

Mkuu,
Hilo vazi la Noona vipi? Au ndio msimu wa baridi?
Itakuwaa..
Mzee wa Moooooraa,Hahahahahah Uyu Binaadama Umu Ndani Kacheza Yaani..

Kwenyee Hii Scene Alikuwa Anaongee Na Awa Ma Reaper Wenzie Yuko Nao Busy Kweli Then Watu Pembeni Wanamshangaa Anavyoongee Mwenyewe! Tena Huku Hana Khabari...Boo, One Of Ma Boo....
 
hahahahaa umenifanya nicheke kama zuzu, tafadhali agiza bakuli la urojo nitalipa.
uyo gream reaper bishoo ananimaliza sana tabia zake.
mwolago?
 
hahahahaa umenifanya nicheke kama zuzu, tafadhali agiza bakuli la urojo nitalipa.
uyo gream reaper bishoo ananimaliza sana tabia zake.
mwolago?
Huyo jamaa ni noma, ule userious wake ndio unaniacha hoi mm. Yaani matendo yake Mi huwa nacheka tu kila sehemu napenda nimuone yy tu yuko very interested na anacho fanya Jamaniii huyu mtu.
 
Hapo Jamaa alinichekesha balaa alipokuwa akisema kila wakati Ni Joon
 
Sa-Sa-Sa (444) anapoelekea pabaya.

Kaanza kuwa na tabia za kibinaadamu na muda mwengine huwa anamuongelea Moo Gang kwa pronoun ya "I" / Naega!
 
ya zamani lakini mwanadada lee young ae urembo wake umebaki vile vile licha ya kuwa ana miaka 46. jewel in the palace itabaki kuwa ni drama bora kuonyeshwa na MBC
hii Drama hakika ni bora sana naipenda sana maana najifunza vingi kila nikiitazama, ndio drama yangu ya kwanza kuipenda kwa korea ukiacha zile za action Jumong.
 
ya zamani lakini mwanadada lee young ae urembo wake umebaki vile vile licha ya kuwa ana miaka 46. jewel in the palace itabaki kuwa ni drama bora kuonyeshwa na MBC
Hii Drama bado sijaiangalia. Umepita muda mwingi tangu mara ya mwisho nitembelee Joseon hivyo acha nikaisake.
 
ya zamani lakini mwanadada lee young ae urembo wake umebaki vile vile licha ya kuwa ana miaka 46. jewel in the palace itabaki kuwa ni drama bora kuonyeshwa na MBC
Mkuu wa hiz kazi nipe maelezo ya kutosha kuhusu hili goma
 
hii Drama hakika ni bora sana naipenda sana maana najifunza vingi kila nikiitazama, ndio drama yangu ya kwanza kuipenda kwa korea ukiacha zile za action Jumong.
na ndio drama iliofanya sanaa ya korea kutambulikana duniani.kutokana na mafanikio ya drama hii kituo cha MBC waliamua film location yao walioojenga kuipa jina la dae jang geum park.kinachovutia ni kwamba wenzetu wameifanya sanaa ni kama kitega uchumi kikubwa sana kwa nchi yao lakini kwetu sisi ni tofauti




 
Aisee chief unanifanya niende kuitafuta niicheki tena, mandhari yake yalinivutia sanaa
 
story yake inasikitisha na kutia moyo pia
 
hahahahaaaa zinavutia sana drama zenye kuzungumzia love triangle.
Dramas za Love Triangle nakuwa immersed nazo vibaya hadi nafikia kulia na kuumia mimi badala ya muhusika wa kwenye Drama. (I'm introverted and empathetic by nature)

Haki ya nani zinanipa stress na depression.
Kuna yeyote mwenye ku-relate na hii hali, Wakuu?
 
emperor of the sea iliniumiza sana kwa sababu lady jung hwa alimpenda sana jang bogo (choi soo jong) kuliko yeom mun (song il kook).angalia jinsi gani daeso alivyokuwa anampenda soseono lakini soseono alihiari aolewe na mfanya kazi wake kuliko kuolewa na prince daeso licha ya kuwa Go jumong alipotea
 
ni kweli uyo mwanadada amepelekea mapinduzi makubwa sana kwa wanawake wenziwe nchini korea, madaktari wote wa kike nchini korea wanapaswa wamshukuru sana dae jang geum kwa kuwapigania haki zao.
hivi ni mwaka gani hii ilitoka maana umesema ss hivi ana 45+ na kipindi kile alikuwa binti tu,

halafu aliact binti mpole mwenye upendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…