hahahahaaaaa nahisi umenipa heshima kubwa mno. natamani wairejee tena iyo drama.Aisee chief unanifanya niende kuitafuta niicheki tena, mandhari yake yalinivutia sanaa
September 15, 2003 hadi March 23, 2004hivi ni mwaka gani hii ilitoka maana umesema ss hivi ana 45+ na kipindi kile alikuwa binti tu,
halafu aliact binti mpole mwenye upendo.
jaribu kuitafuta na temperature of love.Dramas za Love Triangle nakuwa immersed nazo vibaya hadi nafikia kulia na kuumia mimi badala ya muhusika wa kwenye Drama. (I'm introverted and empathetic by nature)
Haki ya nani zinanipa stress na depression.
Kuna yeyote mwenye ku-relate na hii hali, Wakuu?
Mimi mgeni hapa ila Thank you wanajamvi napendaga sana hizi series has ikiwa ya kijiji mjini sina habari nayo.....king gwagwaeto tayari naombeni link ya Empress Ki
- umefanya kosa kubwa sana na malaika ameshakuandikia dhambi kwa kitendo chako cha kumwita king gwaggaeto na ili dhambi yako ifutwe unapswa ukasujudie ukuta wa gwaggaeto stele. ulipaswa uanze na The great king gwaggaeto a.k.a taewang gwaggaeto, a.k.a go damdeok, a.k.a Broad Expander of Domain, a.k.a peace maker,mwanadamu aliyerudisha heshima ya goguryeo kwa kuwafunza adabu mataifa kama baekje, shilla, japan,khitan,china na maeneo ya urusi na bahati mbaya sana alikufa akiwa na pungufu ya miaka miwili kufikia miaka 40 na laiti kama angeliishi miaka 20 zaidi naamini kwa kutumia jambia lake angelifika hadi nyanda za juu kusini alikotokea babu yake Khantwe.
- ni wafalme wawili tu ndio waliopewa heshima ya the great katika eneo la korea na mwengine ni the great king sejong ambaye alikuwa ni mfalme wa nne wa joseon. mnamo mwaka 396 mfalme gwaggaeto aliuteka mji mkuu wa taifa la baekje ambao uliitwa Wiryeseong ambapo kwa sasa ndio panaitwa Seoul ambao ndio mji mkuu wa korea kusini. wakati anaipiga baekje alikuwa na miaka 25 tu.
- mnamo mwaka 399 aliongoza kikosi cha wanajeshi 50000 na kuelekea taifa la Silla na aliwasambaratisha wajapan waliokuwa wanaleta fujo nchini shilla, baada ya hapo wajapan na shilla wakaamua kujisalimisha kwa goguryeo.
- baadae akawatwanga wachina wa Xianbei na akarudisha eneo la liaodong ambalo kabla ya kuanzishwa kwa goguryeo ilikuwa ni eneo la gojoseon kabla taifa hili halijaangamiza na china (han dynasty)
- mnamo mwaka 371 ambapo ilikuwa ni miaka 3 kabla hajazaliwa go damdeok taifa la goguryeo lilipoteza nguvu yake ya kiutawala kwa ndugu zao ambao ni baekje chini ya mfalme wao aliyejulikana kwa jina la geunchogo ambaye ndiye mwanadamu aliyeifanya baekje kuwa ni taifa tishio.mfalme geunchogo alimuua mfalme gogukwon wa goguryeo na kuuteka mji wa pyongyang ambao kwa sasa ndio mji mkuu wa korea kaskazini. mfalme gogukwon ndie mfalme pekee kwenye nchi ya goguryeo kufia vitani na alirithiwa na mwanawe aliyeitwa go gubu (king sosurim).
- mfalme sosurim alikufa bila ya kuwa na mtoto ndipo akatawala mdogo wake aliyeitwa go iryeon ambaye ndiye baba wa go damdeok (gwaggaeto)
- muigizaji Lee tae gon ndiye aliyeigiza nafasi ya damdeok kwenye drama ya king gwaggaeto lakini umenikera mjr95 uliposema jamaa anamzidi song il kook. Ili amzidi song il kook anapaswa kwanza amzidi choi soo jong na jang hyuk
- link ya king geunchogo drama https://ondramanice.io/drama/king-geunchogo-detail
Iwe kwetu sotena wewe ubarikiwe na mungu akuzidishie neema na azidi kukupa kipato cha halali kinachotokana na jacho lako
Bado nasubiria maelezo yakeSeptember 15, 2003 hadi March 23, 2004
aisee kumbe ya kitambo!September 15, 2003 hadi March 23, 2004
Hiyo Temperature of Love ni noma aiseejaribu kuitafuta na temperature of love.
Damushin sunbaenim,Mimi mgeni hapa ila Thank you wanajamvi napendaga sana hizi series has ikiwa ya kijiji mjini sina habari nayo.....king gwagwaeto tayari naombeni link ya Empress Ki
Aaah! Mkuu,Bado nasubiria maelezo yake
dae jang geum alikuwa ni msichana aliyetokea katika tabaka la chini wakati wa utawala wa joseon na alikutana na changamoto nyingi sana ikiwemo unyanyasaji wa kijinsia (mfumo dum) lakini alipambana mpaka kufikia kuingia ikulu na kufanya kazi za upishi na hadi kuwa daktari wa kwanza wa kike wa mfalme katika historia ya joseon.Mkuu wa hiz kazi nipe maelezo ya kutosha kuhusu hili goma
karibu joseon ya tanzania na huduma za vyakula na vinywaji kama makgeoli, kimchi, soju, dumpling,bibimpap (mixed rice ),bulgogi,haemul pajeon vyote vinapatikana.Mimi mgeni hapa ila Thank you wanajamvi napendaga sana hizi series has ikiwa ya kijiji mjini sina habari nayo.....king gwagwaeto tayari naombeni link ya Empress Ki
Shikamoo baba Damushin hahahaha what a post hapa niko na stick naangalia buffering only 2 hrs remaining hahahah asante Sana na ubarikiwe kaka nimekuja Joseon naomba Kimchiikaribu joseon ya tanzania na huduma za vyakula na vinywaji kama makgeoli, kimchi, soju, dumpling,bibimpap (mixed rice ),bulgogi,haemul pajeon vyote vinapatikana.
http://kissasian.ch/Drama/Empress-Ki
hapana dongsaeng ananibebesha gunia la misumariDoohhh! Ndivyo Alivyo Kumbee
ni miaka 13 imeshapitaaisee kumbe ya kitambo!
nakuomba uongezee na because this is my first life.Mimi when you were sleeping na Black zitakuwa za mwisho sasa nataka nipumzike tafadhali msianze kunitamanisha
Sitaki sunbae usinirudishe nyumanakuomba uongezee na because this is my first life.
Unajua kupika hii kitu? Naomba unielekeze pleasekaribu joseon ya tanzania na huduma za vyakula na vinywaji kama makgeoli, kimchi, soju, dumpling,bibimpap (mixed rice ),bulgogi,haemul pajeon vyote vinapatikana.
http://kissasian.ch/Drama/Empress-Ki