Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Hembu zitafute hz move za love story ,yellow boots, love and bad songs,scandal,Giant,East of eden.
Series hz za zaman huwez kujutia muda wako wa kuztazama.
 
Si unaona hadi Damushin sunbae hajui chochote kuhusu Hollywood ila kwenye KDrama & K-Pop anatisha! Sio bure. Hahhahaaha.
dongsaeng mbona hollywood nawafahamu baadhi ya waigizaji wao lakini wale wa zamani wa vibanda vya kuangalia movie kama van damme, dolph, rambo, steven seagal, arnold schwarzenegger.
lakini hawa wa miaka hii ndio siwafahamu kabisa kwa sababu nimeacha kufuatilia sanaa yao na hata muziki wao.
kiukweli
huwa napitia ile thread ya series na mimi nijifunze drama za hollywood na movies mbali mbali ila kiukweli kiwiliwili changu hollywood neuron wote wameshakufa.
labda inawezekana kwa kuwa sijui kiingereza kwa ufasaha ndio maana hollywood haipandi.
 
Ukimaliza kuangalia Black utaendelea kuwepo jukwaani?

Naona nawe wataka timua kama Damushin sunbae. Wiki hadi wiki ndio huwa anatia mguu humo.
hapana dongsaeng sijakimbia na huwa napita nikiwa nime log out account yangu.yaani zaidi ya mara mbili najiamulia kutokupita tena kwenye thread hii lakini nashindwa. kiukweli siwezi tena kuishi bila ya jamii forums na imeshaniathiri.
sababu kubwa ni kwamba kadri ninavyopitia thread hii ndio mzuka wa kuangalia korean drama ndio hunipanda zaidi kichwani.
 
Mimi ndio maana nimeamua kukaa kimya tu maana watu mitazamo tunatofautiana. Ninachoweza kusema ni kwamba wakorea wapo unique sana kwenye uigizaji wao aisee. Haijalishi stori ila Kdrama zina ladha fulani ambayo huwezi kuipata popote
daebak noona ndio maana mimi izo nchi nyengine wala sina habari nazo kabisa na nikiwaona watu wanaangalia nahisi kama wanapoteza muda.
 
My favorie actor/actress: wapo wengi mno
My favorite drama: jumong
My favorite ost: zipo nyingi mno
My favorite variety show was:SBS ROOMATES 1&2 and Running man

If i write everythin it ll take me foreva. Gu9t guyz
ni majukumu ya kimaisha tu ndio yanayopelekea mtu kuwa bize sana ila mimi na wenzangu tunaisubiri iyo siku utakayopata muda wa kuandika kuhusiana na korean entertainment naamini tutajifunza mengi sana kutoka kwako.
 

kitendo anachokifanya kang pil joo kwa mwanadada na mo hyun kinapaswa kulaaniwa na wanawake wote ila sijui kwa sababu gani baadhi ya wanawake wanafurahia.ni kweli unapotaka kufanikisha jambo lako uwe tayari kupoteza vitu muhimu lakini kang pil joo amepitiliza kwa sababu na mo hyun alikuwa ni mpenzi wake wa zamani na anafahamu vizuri sana ya kwamba mwanadada bado anampenda japo hamfahamu kama ndio yeye.atakapo gundua ya kwamba anatumiwa na wanaume wote wawili kwa ajili ya kufanikisha mipango yao sijui atajisikiaje, inaumiza sana.
fighting noona
 
Because This Is My First Life
EMPTY dongsaeng hii drama ilikuwa ni burudani mwanzo hadi mwisho yaani ilifika wakati natamani episode ziongezeke kutoka 16 hadi 100.

couple zote zilikuwa full burudani lakini kwangu mimi Ma sang goo na soo ji walikuwa na kitu chengine cha ziada ukilinganisha na couple nyengine.hahahaaaa ma sang goo anastahili offer nyingi zaidi za kuigiza.

ila na wewe ho ra ng kila wakati unawaza ndoa kuolewa tu maisha yenyewe ndio haya ya mzee wa chato.

wenzetu hawabanii watu wenye vipaji kama unaweza basi offer zitakuja wenyewe, kim min gyu amepata offer ya kuigiza kwenye drama ya Just Between Lovers, bwana mdogo tayari ameshakuwa maarufu nchini korea na muda si mrefu naamini atakuwa muigizaji mkuu wa drama.

huyu ahjumma kim sun young ni shidaaa yaani nafasi yoyote utakayomueka yeye anafanya vizuri,kiukweli uwezo wake wa kuigiza ni mkubwa sana ukilinganisha na waigizaji wengine.

wakorea waachwe kama walivyo na wasifananishwe na wapuuzi wengine kwenye kuandika stori za kuvutia.
full stop.
 
Ivi hii drama Kwa Nini Sikuitazama Etiii!??? Kila nakosoma Watu Wanaisifia Sana...

Ngoja Huu Mwisho Wa Mwaka INSHAALLAH Nitaitafuta Kwa Nguvu Niicheki...
 
Ni Mmojawapo Ninae Penda Ichi Anachofanya Pil Joo, Ndomana Ata kuwakutanisha Alitumia Njia ya Kumfanya Mo Hyun Ni Kujikuta Anampenda Boo Cheon Kwa Njia Yeyote

Nakumbuka Ata alishmwambia Baba Yake kuwa Atakaefanya Mipango yetu itimie Ni Mo Hyun Yeye ndo Atakaeamua Na Ni Baada ya Kumpenda Boo Cheon,Apo Sasa ni Chaguzi lake Mwenyewe Pil Joo Ahusiki na Maamuzi ya Nafsini Mwake

Japo Anampenda, Lakini Ana Vitu ndani ya kichwa chake Lazima Avitimize,Kufa kwa kaka Ake kukosa right ndani Ya Cheon Family, Nakupoteza Mama Pia Lazima Alipize kisasi Sasa Ukishayaamua Aya then Unahisi Una MTU Ambaye Atakulet Down For the Sake of Love,Lazima Ujifanye Chizi Tuuh Kama Ahuoni.
Na Mo Hyun Akijua kiukweli Itakuwa ishu...Ngoja Tuone Watakavyoenda Na Huku ndoa ya Nukia..
 
Hapo Mwishoni Ni La Moyoni Siyo!???
Hahahahahahhahahah Umemaliza Mpemba Sijuh Muunguja..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…