Rahabu
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 5,526
- 3,341
Ntaenjoy nikicheki maana hua napenda unaangalia kitu kinachokufanya utafute ep inaofutana bila kuwqzia mb zinaendajeKaribu, pitia na Meloholic na My secret Romance
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntaenjoy nikicheki maana hua napenda unaangalia kitu kinachokufanya utafute ep inaofutana bila kuwqzia mb zinaendajeKaribu, pitia na Meloholic na My secret Romance
Basi itafute Meloholic alafu uje unipe mrejesho nakwambia huto jutia. Tena nenda kaipakue Saizi iko epsd ya 6 sasa na mb zake ni chache Kule kwa kawaida yetu.Ntaenjoy nikicheki maana hua napenda unaangalia kitu kinachokufanya utafute ep inaofutana bila kuwqzia mb zinaendaje
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] kizuri kula na mwenziiBasi itafute Meloholic alafu uje unipe mrejesho nakwambia huto jutia. Tena nenda kaipakue Saizi iko epsd ya 6 sasa na mb zake ni chache Kule kwa kawaida yetu.
Jin Go? Aigoo aigoo mbona mnanifanya nivunje ahadi niliyojiwekea
Pitia hiyo link. Nimejaribu kueleza kwa urefu jinsi ya kuzidownload hizo subtitles.Wapi una download sub zake? maana mie huwa nachelewa kuzidownload kwa sababu huwa wanachelewa kuweka subs hadi baada ya masaa kadhaa.
Rudi hapa[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] kizuri kula na mwenzii
Nawahi siteni kupakua vitu Nina gb10 zinanisumbua hapaRudi hapa
Pole Pole, mkuu!Nawahi siteni kupakua vitu Nina gb10 zinanisumbua hapa
Hahahahaaaa angalia visiki lakin. Nasubiria mrejesho wako kwa ham kwelNawahi siteni kupakua vitu Nina gb10 zinanisumbua hapa
Usijali kabisa utarwjeshewa hapaHahahahaaaa angalia visiki lakin. Nasubiria mrejesho wako kwa ham kwel
Kwenye Money Flower Apo Yule Babu Ndo Nini Kuwatesa Wenziee Ata Kadondoka Kwa Kujitakia Akaja Juu Etii Watoto Wake Awajamsubilie Mpaka Amke Wakati Walin'gatwa Na Mbu Apo Apo...Damushin sunbae-nim,
- black drama : Nipo ep 12.
- because this is my first life : Nasubiria ep 15 & 16.
- judge vs judge : Kwa jinsi mkuu aminas alivyoisifia, naenda kuishusha sasa hivi.
- goblin : Kitambo nishaimaliza.
- empress ki : Ki-commando nilikomaa nayo hadi mwisho. Ule mchozi ulionitoka hapa, mmmh!
- kings dream : Aigoo! Mimi na Joseon ni kama pete na kidole. Naenda kuisaka niitazame.
- meloholic : Nipo ep 6 na sibanduki hadi kieleweke.
- joseon gunman : Siku nyingi natamani kuitazama ila bado sijafanya hivyo.
- the great king sejong : Nikimaliza kuitazama "Dae Jang Geum" nitashusha ep 2 tatu niipime.
- mad dog : Inatia uvivu vibaya. Nimeishia ep 4.
- money flower : Kaka mkubwa ananifunza mengi humu. Ingewezekana basi na mimi ningeingia kwenye hiyo drama nimsaidie kufanikisha malengo! (Usishangae!)
- secret garden : Naiweka kwenye watchlist.
- legend of the blue sea : I only kept watching it because of Jun Ji-hyun Noona. Hyeong kazingua ile mbaya!
Itabidi hiyo disk unipe mie 'sabubu naona umejaza viporo tele. Hahahhaaha!
Hahahhahaha! Mzee alijifanya Anold akataka kuigeuza meza juu chini. Alivyoshindwa sasa ndio ikawa kimbembe. Bhahaahhaa!Kwenye Money Flower Apo Yule Babu Ndo Nini Kuwatesa Wenziee Ata Kadondoka Kwa Kujitakia Akaja Juu Etii Watoto Wake Awajamsubilie Mpaka Amke Wakati Walin'gatwa Na Mbu Apo Apo...
Hahahahhahahahaha Daaah!! Yaani Mzee Mtata Sana Yule Na Ule Utata Ndo Kalisi Pil Joo Sema Tuuh Bado Ajauona..Hahahhahaha! Mzee alijifanya Anold akataka kuigeuza meza juu chini. Alivyoshindwa sasa ndio ikawa kimbembe. Bhahaahhaa!
Alivyokuwa anapiga push-ups huku kambeba Ms. Han ndio kabisaa kaniacha hoi.
HAHAHahaa! Naona una maswali mengi zaidi ya majibu.Hahahahhahahahaha Daaah!! Yaani Mzee Mtata Sana Yule Na Ule Utata Ndo Kalisi Pil Joo Sema Tuuh Bado Ajauona..
Money Flower Tamu Sana, Inakoendea Naskia Kuwa Mo Hyun Nae Atakuja Zaa na Boo Cheon Sijuhi Itakuwa Kweli Na Yule Mama Wa Boo Cheon Naye Sijuh Kashajua Kuwa Hyuk Ni Mtoto wa Mume Wake..
Money Flower (Korea)Mbona money flower dramabus haipo? Site zingine sio rafiki kwa hiki kimeo changu
We acha tu ndugu yangu ni kimeo cha hatari
Tamu sana iyo kitu, nilikuwa nayo tu ila nilikuwa sijaanza itizama sababu ya majukumu. Ila jana nilipata nafasi nikashusha mzigo aisee iko vizuri sana.Kwenye Money Flower Apo Yule Babu Ndo Nini Kuwatesa Wenziee Ata Kadondoka Kwa Kujitakia Akaja Juu Etii Watoto Wake Awajamsubilie Mpaka Amke Wakati Walin'gatwa Na Mbu Apo Apo...
Ila Akili Ya Hyuk Umu ndani ni Nomaa Lalala! Yaani Nimempenda Bure, Na Amenifunza Kuwa Kutaka Kufika Mahala Unapopahitaji Ianbidi Ujitoe Na Urisk Vingi Sana..Kwa Ela Walizonazo Familia Ya Cheon lakini Anawaendesha Atakavyo Babu Na Jeuri Zake Zote Pamoja Na Rules Zake Pale Kagoma..