Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Hivi hii Scholar who walks the night ni nzuri kweli??
Maana ishanikera episode 1 u vampire
 
Naona unalia lia sana kuhusu huyu jamaa kufariki kip kigeni hapo. Kifo ni lazima,
Hii Alert Sikuipata Mapema!!! Heee!!!! Najua Kama kufa ni Lazima Ila Unakufaje ndo kinachonifanya Nilie lie Ata wewe Ikikutokea Hii Nitalia Lia Pia.

Usijiskie Vibaya kweli! Kijana Mwenye Umri Mdogo kama Uo Tena Mwenye Kujitafutia Mwenyewe kujilisha yeye na Familia yake unaskia Amejiua Kisa Depression,Mawazo Aloshindwa kuyavumilia Unajua Ni Mangapi Yalokuwa yanamuumiza Mpaka Fikia Hatua ya kujiua Now Unasema Nalia lia Kuwa Na Moyo Basi Kama Binaadamu Lol!! Si Mpka Awe Ndugu yako Au Mtu unayemfahamu Ukiacha Usanii ni Binaadamu na Kijana Mdogo mwangaikaji Kama Wewe..Ndee We
 
Pole Mwaya Pole Sana Chingu Na Mola Akuongoze Siku Zote..
 
Mawazo kila mmoja anayo lakini hayo mawazo yasikupelekeshe mpaka kufikia hatua ya kujiua. Mi mwenyewe huwa nawaza pindi itakapo tokea kuwa mbali na mtu fulani, aisee itaniumiza sana ila sito fikia hatua ya kujiua. In Shaa Allah
 
Mawazo kila mmoja anayo lakini hayo mawazo yasikupelekeshe mpaka kufikia hatua ya kujiua. Mi mwenyewe huwa nawaza pindi itakapo tokea kuwa mbali na mtu fulani, aisee itaniumiza sana ila sito fikia hatua ya kujiua. In Shaa Allah
Kila Mtu ana Njia Yake Yakudeal Na Ivi Vitu.

Yeye Labda Alishindwa Kutokana Na Kuzungukwa Na Ayo Yalompa Depression,Labda Njia Rahisi Ilikuwa Ache Muziki Mojo kwa Moja Aache Entertainment Kwa Ujumla Aishi Maisha ya kawaida Na Ni Kitu kilichokuwa Kigumu kwake Pale Unapoamua Kuacha Kila Ulichopigania Ili tuuh Ukae Sawa...
Sababu Amekulia Kwenye Hiyo Industry..
Kuna Sehemu Alisema Kuwa Alikuwa Akijatahidi Kupigana Na Iyo Hali Mpaka Alipofikia Ila Ameona Kashindwa Anahisi Awezi Kuendelea,Akaona Njia Sahihi Kujiua Tuuh.
Mi Imeniuma Sana Yaani,Najiskia Vibaya Mpaka Sasa...Najihisi Napitia Aya, Lakini Namuona Kajizulumu Ajawatendee Haki Mama Na Dada yake,Aliona Ainusuru Nafsi yake Na Maumivu..

It's Hurt,Real Hurts Jamani.
 
Aya endelea kuumia, Ndee we.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…