Park Hyoshin Unampata??Hivi untouchable unaiangalia?
Nilijua unaingalia maana mie niliangalia episode moja ndiyo nataka nimalizie episodes zilizobaki.Nope Sijaiangalia.
HapanaPark Hyoshin Unampata??
Jaribu Kissasian.Dramafire Jamani Imeenda Wapi MyAsian Inaninyima Raha Yaani.
Ngoja NijaribuJaribu Kissasian.
PoaNgoja Nijaribu
Vijana nipeni idea maana sa hivi nashindwa kudownload drama kwa Uhuru vifurushi vimebana sana natumia airtel mwanzo nilikuwa na tumia 10gb kwa 600 ila sa HV vocha hazipo so buku GB 1 ambayo ni episode 3 tu.kwa Hali hii drama kudownload kumepungua kasi
Matokeo yanatoka lini & washindi huwa wanapatikana vipi, Mkuu?MBC AWARDS TONIGHT, Damushin UHURU JR EMPTY mjr95 na Wote Mnaofatilia KDRAMA Na KPOP Leo Ndo ule Usiku wa Actors,Actress Ma PD,Directors na Wale wote wanaohusika kutengeneza kazi Izi na Kuleta Furaha Majumbani,na Kwenye Familia ya Baadhi za Watu, Kuvuna Au Kufulaia Matunda Ya Kazi Zao.
Zile kazi Nzuri zote Zitatunukiwa Usiku wa leo Uko kwao, Ni Usiku Wa Kdrama.,
Nae Salang shukrani sana kwa Taarifa.MBC AWARDS TONIGHT, Damushin UHURU JR EMPTY mjr95 na Wote Mnaofatilia KDRAMA Na KPOP Leo Ndo ule Usiku wa Actors,Actress Ma PD,Directors na Wale wote wanaohusika kutengeneza kazi Izi na Kuleta Furaha Majumbani,na Kwenye Familia ya Baadhi za Watu, Kuvuna Au Kufulaia Matunda Ya Kazi Zao.
Zile kazi Nzuri zote Zitatunukiwa Usiku wa leo Uko kwao, Ni Usiku Wa Kdrama.,
OK, shukrani ni vp namna ya kujiunga sasa?Voda night bundle 1500 kuanzia saa tano usiku hadi saa kumi na moja asubuh 4gb siku mbili
Halotel 1500 gb 10 siku moja anzia saa sita usiku.
Hii ni kwa wale wanaolalamika vyuma vimekaza.
Natabiri Choi Min-soo kuchukua hiyo tuzo.[LiPo @ Issue] Kim Sang Joong vs Choi Minsoo vs Jang Hyuk ... 'MBC Acting Grand Prize' Hot Triple Exhibition
Ni muda huu Tunzo ZishaanzaMatokeo yanatoka lini & washindi huwa wanapatikana vipi, Mkuu?
Jang Hyuk Achukue Bana Mi sijuhi Kwa Nini Nimemkubari Sana Humu Ila Watu wengi wanatabiri AtashindaNatabiri Choi Min-soo kuchukua hiyo tuzo.
Kwenye "Man Who Dies to Live" alikuwa ananikosha ile mbaya.
Jang Hyuk naona mwaka huu kaamua kuuchuna kwa sana tu. Kwa kweli kanikera hivyo kura yangu sitoi.
OK, shukrani ni vp namna ya kujiunga sasa?
Sawa ngoja tuone kama ni kweli. Matokeo saa ngapi?Jang Hyuk Achukue Bana Mi sijuhi Kwa Nini Nimemkubari Sana Humu Ila Watu wengi wanatabiri Atashinda
Unataka tuwe popo, Mkuu? Hihihhi!Voda menu yao kama kawaida *149*01# kisha chagua namba 4 Internet kisha namba moja kisha vifurushi vya usiku.
Halotel *148*66# kisha namba 7 internet kisha chagua usiku pack.
Kama huiamin halotel kasi yake anza kujiunga kwa usiku pack 500 gb 1 ukishazoea na kuona kipo poa unajitupia cha gb 10
Unajiunga muda wowote iwe mchana asubuh au usiku ila muda wa kutumia ni ule utakaoonyeshwa kwenye ujumbe utakaokujulisha umejiunga na kifurushi.(i mean voda saa tano,halotel saa sita)
Unataka tuwe popo, Mkuu? Hihihhi!