When I Saw Youu!! Wiki yangu nahisi itaanza kwenda sawiya kabisa. Hahahaaaha.
Mimi nimependa sauti. Wewe Je?Yaani Iyo When I saw you then linkuja beat apo la Huu uuu uuuuuuu then Always behind of you Doooh!!!
aigoooo umenipa heshima kubwa sana,
Vyote Sauti,Vyombo Au Beat na RhythmMimi nimependa sauti. Wewe Je?
Ndio sunbae.aigoooo umenipa heshima kubwa sana,
fundi wa kpop?
Aigooooo! Fundi Stahiki.aigoooo umenipa heshima kubwa sana,
fundi wa kpop?
TayariWhen I Saw Youu!! Wiki yangu nahisi itaanza kwenda sawiya kabisa. Hahahaaaha.
Hii OST nimeikubali kwa asilimia mia.
Wenye kutaka kuipakua hii OST waende hapo.
범키 (Bumkey) – When I Saw You Lyrics [Han/Rom/Eng] [Hwayugi/ A Korean Odyssey] OST Part 2
Shukrani sana, sunbae!
Hihihihihi! Nina application hapa ya kupakua K-Pop.Tayari
Una Madini Lakini Hutaki kunipa!!!Hihihihihi! Nina application hapa ya kupakua K-Pop.
Unaihitaji?
Tena kama Utakuwa Nazo za Black KnightHihihihihi! Nina application hapa ya kupakua K-Pop.
Unaihitaji?
Tatizo nikianzaga kutoa steps huwa unakimbia. HIHIHIhii!!Una Madini Lakini Hutaki kunipa!!!
Nipe.
noona unachochea moto ukija kuwaka mzimaji nani?Aigooooo! Fundi Stahiki.
Aigooooo!!!noona unachochea moto ukija kuwaka mzimaji nani?
shauri yako (natania tu)
aigoooo nimekumbuka wimbo wa njoo mpenzi wangu njoo., sijui kikundi gani cha taarab asilia waliimba huu wimbo.
sijui ni culture au nadi ikhwan safaaa.
samahanini wajoseon wenzangu hii soju ya leo imepanda
Kuzifata Izo Step Chingu Ni Shida Yaani ni Shida.Tatizo nikianzaga kutoa steps huwa unakimbia. HIHIHIhii!!
daebak noona, mimi nilifikiri taarab asilia watu wa upande wa pili hamufuatilii.Aigooooo!!!
Music Banah.
Kumbe Nawe Hii Huwa Wasikiliza!???
Mbona Mahara Pake Apa Ila Siku izi Nimeacha kidogo Kuisikiliza Ila Msikilizaji Mzuri MTU.
Dah Umenifanya Nismile.
Hahahhahaahhha!! Hii soju Ya Leo Kweli imepanda.noona unachochea moto ukija kuwaka mzimaji nani?
shauri yako (natania tu)
aigoooo nimekumbuka wimbo wa njoo mpenzi wangu njoo., sijui kikundi gani cha taarab asilia waliimba huu wimbo.
sijui ni culture au nadi ikhwan safaaa.
samahanini wajoseon wenzangu hii soju ya leo imepanda
Kuna Sabah,Mwanahawa Na Yule Ambaye Anaendana na Sabah Yule mama jina limenitoka.daebak noona, mimi nilifikiri taarab asilia watu wa upande wa pili hamufuatilii.
ni yupi muimbaji wako bora alikuwa kwa hawa legendary.