Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aigooooo! Hahahaha 2K.Hahahhahaahhha!! Hii soju Ya Leo Kweli imepanda.
Tuliozaliwa miaka ya 2K tulikosa hivi vionjo.
Mi naskiliza Sana izi Yaani Sijuh Sababu Nimechanganyika Na Uko.daebak noona, mimi nilifikiri taarab asilia watu wa upande wa pili hamufuatilii.
ni yupi muimbaji wako bora alikuwa kwa hawa legendary.
nakwambia mwenye bar ameamua kunifukuza kisa nammalizia soju zake lakini cha kushangaza nimemlipa tena niHahahhahaahhha!! Hii soju Ya Leo Kweli imepanda.
Tuliozaliwa miaka ya 2K tulikosa hivi vionjo.
Hahahahahahaha!!! Mbavu Zangu.kama wewe upendwe nini ?
siwa umbo si wa nywele si waghuyuni,
mbele zero nyuma hakujulikani baraka ya wanja, kujipakaza machoni
kwenye visura wewe huko hisabuni.
Hivyo unadhani kwa yakini watakiwa,
hujui fulani kama anakuzuzuwa,
jaa marogi marogi number one,
amewachwa mitaani kwani nifungu la kurehemiwa.
sibasi tu sibasi tu sibasi tu.
hahahaaaaa EMPTY dongsaeng baadhi ya wakati unapaswa urudi nyuma tulikotokea,
unakwenda holini kuangalia show ya taarab asilia na wazee wako unakuta waheshimiwa wamekaa mbele yaani ni full ustaarabu. ukiamua kuinuka basi ni kucheza au unakwenda kumtunza muimbaji.
aigoooo ngoja niongeze chupa nyengine ya sojuuu nahisi bado sijalewa vizuri.
samahanini wajoseon wenzangu hapa nilipo nasikiliza taarab asilia, ndio muziki wetu wa asili watu wa pwani.
sibasi tu = abdalla issa.
uyo mwanahawa tokea mama yangu ni kigori anaimba mpaka leo hii ana mtoto anakaribia robo karne bado anaimbaKuna Sabah,Mwanahawa Na Yule Ambaye Anaendana na Sabah Yule mama jina limenitoka.
Hahhhahhhhaa!! Agiza kreti 1 ya soju ntakuja kulipa mie.hapana sina simu ya android, bado natumia nokia ya tochi.
zizuie zisije zikavunjika na bima ya afya yenyewe asilimia 80 hatunaHahahahahahaha!!! Mbavu Zangu.
Ndio ilivyo hivyo chingu usicheke!Aigooooo! Hahahaha 2K.
Sawa 2K.Ndio ilivyo hivyo chingu usicheke!
Mwezangu.zizuie zisije zikavunjika na bima ya afya yenyewe asilimia 80 hatuna
WIMBO: NENDA UKALIWE PESA.
MUIMBAJI: SABAH SALUM KIKUNDI
DUMBAK MUSIC MASTER
message sent.
App yetu vipi au ndio ushasamehe?JAL JA YO Guys.
Mola awatangulie.
WIMBO: NENDA UKALIWE PESA.
MUIMBAJI: SABAH SALUM KIKUNDI
DUMBAK MUSIC MASTER
message sent.
nawashwa washwa kwa kauli ya mzee wa i am fulu frustresheniiiUna nini kwani Leo!???