Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

hahahahaaaaaa noona unanichukulia poa?
ili niache kuangalia korean drama pia itanibidi nisisikilize wala kufuatilia korean ost na suala hili nalo gumu sana ila ngoja nijaribu.
ila korean drama ni za kipekee.
Au Kama Utaweza Iset Mind Yako Vizuri Ni Utafanikiwa Na Kama Utapata Ulevi Mwengine.
 
Au Kama Utaweza Iset Mind Yako Vizuri Ni Utafanikiwa Na Kama Utapata Ulevi Mwengine.
kutafuta ulevi mwengine ndio tatizo
wahindi siwapedi
wazungu hivyo hivyo
ukiondoa mpira wa miguu starehe nyengine zote hazinivutii.
 
duh unataka kuziangalia zilizokupita kama hospital ship
 
kiukweli nimedhamiria.
hahahahaaaa nasubiria comment za dongsaeng
Hhaahaahaa! Sunbae wewe unataka kuacha ila mwenzako ndio kwanza natafuta ulevi mkali zaidi 'sababu siku hizi kila ulevi ninao uonja haupandi kabisa kichawani.

Hapa nilipo najihisi pweke kabisa sio kama zamani.
Hizi soju za Korea zinazoingia sasa kwangu ni very dilluted.
 
Hah! Mwaya mbona nimekusoma vizuri tu wala hujanikwaza. Hihihiii.
 
unajua hizi pombe mpya nazo zimechangia kunifanya niwe na mawazo ya kuacha ulevi huu pendwa wa korean drama. Zamani kabla sijawa na uwezo wa kumiliki PC nilikuwa siangalii recent drama hivyo basi nilikuwa nashindwa kufahamu drama ninayoangalia ni toleo la mwezi gani hivyo basi nilipokuwa nakwenda library nilikuwa nachagua drama yoyote tu.
lakini sahivi napata tabu sana kuangalia drama zilizopita kwa sababu naziona ni za kizamani sana na hizi recent drama nazo zinanifanya niwe mvivu kuzifatilia kila wiki utafikiri ni dozi ya mgonjwa wa kisukari.
 
Hahaha! Wa kisukari
 
Wewe Tuuh Na Tasteless Zako.Mbona nyingi Nzuri Tuuh.
 
Sunbae,
Unaonaje ukiwa unazidownload hizo episodes kisha unazisahau kabisa?

Kisha utaziangalia tu pindi ukiwa free na una mzuka wa kufanya hivyo?
Halafu kama ikitokea drama fulani hujaipenda basi ni kuiacha tu kwenye disk au hata kuifutilia mbali?
 
Sunbae,
Unaonaje ukiwa unazidownload hizo episodes kisha unazisahau kabisa?

Kisha utaziangalia tu pindi ukiwa free na una mzuka wa kufanya hivyo?
Halafu kama ikitokea drama fulani hujaipenda basi ni kuiacha tu kwenye disk au hata kuifutilia mbali?
Hahahahaha!
Ndo Njia yako Hii!
 
Hahahahaha!
Ndo Njia yako Hii!
Sijisifu lakini ndio ilivyo! Huwezi amini yaani kuna dramas hata dakika 10 za ep ya 1 hazijaisha basi tayari nisha-delete.

Kuna nyengine huwa naamua kuruka ruka / skip / seek forward hivyo unakuta episode yenye saa moja niangalia ndani ya dakika 10 tu.
 
Unaangalia Zile Za Magharibi Ama!??
Uangaliaji Wako Ni Wa Kiwango Cha Reli Mpya Ya Umeme.
 
Black Knight
I M Not a Robot
Money Flower
Hwayugi
Nothing to lose
Kati ya hizo zote basi nimeipenda 'Hwayugi' na 'Money Flower'.

Black Knight kiroho safi naamua kuishia ep ya 10.

I am Not A Robot kila nikilazimisha macho kuamini lakini moyo unakataa.

Nothing 2 Lose huyo villan hana jipya nishamzoea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…