Hmmmm!!!! Unataka Angalia Drama Za Aina Gani!?????Kati ya hizo zote basi nimeipenda 'Hwayugi' na 'Money Flower'.
Black Knight kiroho safi naamua kuishia ep ya 10.
I am Not A Robot kila nikilazimisha macho kuamini lakini moyo unakataa.
Nothing 2 Lose huyo villan hana jipya nishamzoea.
Hmmmm!!!!! Duuh Kweli Kila Mtu Anataste Yake.Huko magharibi nako ndio hivyo hivyo.
Kuna baadhi ya my favourites lakini pia nazo zinaniangusha ile mbaya!
Hah! Naamua kuchukua break.Hmmmm!!!! Unataka Anagalia Drama Za Aina Gani!?????
Sunbae,
Unaonaje ukiwa unazidownload hizo episodes kisha unazisahau kabisa?
Kisha utaziangalia tu pindi ukiwa free na una mzuka wa kufanya hivyo?
Halafu kama ikitokea drama fulani hujaipenda basi ni kuiacha tu kwenye disk au hata kuifutilia mbali?
Na Mkimaliza Break Mtutaarifu.Hah! Naamua kuchukua break.
Break yangu ni kustopisha kuangalia drama za Seoul kwa muda.Na Mkimaliza Break Mtutaarifu.
hahahaaaaa unarudi kwa wazeee wa kutembea na fimbo hata wakati wa kulaBreak yangu ni kustopisha kuangalia drama za Seoul kwa muda.
Ni muda muafaka sasa kurudi zangu Joseon. Umenisoma mwaya?
Anhaaa!!! Nishakuelewa.Break yangu ni kustopisha kuangalia drama za Seoul kwa muda.
Ni muda muafaka sasa kurudi zangu joseon. Umenisoma mwaya?
Sunbae drama zote ulizozitaja hapo ukiachia hiyo ya mwanzo ni kutoka Seoul.naogopa nitakufanya uwe mpweke, unajua kunywa ulevi peke yako haipendezi
joseon, goryeo, balhae, shilla, gaya, baekje, goguryeo.Sunbae drama zote ulizozitaja hapo ukiachia hiyo ya mwanzo ni kutoka Seoul.
Unaonaje tukarudi asilia yetu, Joseon?
Ivi uko Seriously Kabisaaa !???joseon, goryeo, balhae, shilla, gaya, baekje, goguryeo.
si wazo baya kwa sababu zipo drama nyingi sana sijaziangalia ila ngoja nilifikirie zaidi wazo lako.
Bado hatujaamua... tunalifikiria zaidi. Hihihiiii!!Ivi uko Seriously Kabisaaa !???
ni kweli nahitaji mapumziko na nafahamu ni vigumu sana kwa sababu kuangalia drama imekuwa ni kama sehemu ya maisha yangu.Ivi uko Seriously Kabisaaa !???
Poleni sana wakuu wa faida kabisa. Nimeona vile mnapata tabu sana na hiz kitu