DAEMUSHIN
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,428
- 120,464
kama hujakaza msuli kwenye sarufi mbona utakimbia darasa hahahahahaaaa.Hahahaha, kusoma hangul character ni rahisi sana, yaani ukidhamilia kujifunza ndani ya siku moja au mbili utakuwa fundi wa kuzisoma, shida itakuja kwenye grama (sarufi) zao tu