Nimeangalia Cross ep ya 1 mara paaap! Ishafika mwisho.Iangalie Kabisaa. iko poa
Aigooooo.Nimeangalia Cross ep ya 1 mara paaap! Ishafika mwisho.
Sasa nikabaki kujiiuliza hii ep ya 1 mbona kama imemaliza fasta ndani ya dakika 5 tu.Hihihi!
Hapa sibanduki hadi kieleweke.
ahsante sana kwa maelezo yako yalioshiba, nimelazimika muda huu niitafute hadi episode ya 10 lakini sijui nitaanza kuiangalia muda gani, nina viporo mpaka vyengine kwa uchoyo wangu nimeamua kuvichimbia shimo haliyakuwa paka, kuku na bata wote wapo wanahitaji chakula.Damushin Siisifiii Ila Ina Iyo Sifa Kipindi Kile Inaonyeshwa Niiliipaga Kisogo Japo ilikuwa Inafanya Vizuri Sana Sana Nazani Ni Drama Ilokuwa Inaongoza Kwa Rating Kwa Wakati Ule.
Niliiweka Kiporo Nikasema Kuwa Lazima Niitazame Nimeanza Jana Mpaka Sa Ivi Nipo Episode Ya 12 Ina Episode 16.
Nimecheka Damushin Mpaka Mbavu Zauuma Now Ndo Naelewa Kwa Nini Ilipendwa Vile Kwa Nini Mashabiki Bado Wanatamni Hii Couple ya ParkPark Iendeleee Mpaka Leo.
Ni Bonge Moja La Drama Ina Kila Kitu Mule Ndani Kila Kitu Yaani..Itakufanya Siku Zisonge Kwa Amani Kidogo Kwa Kipindi Utakachokuwa Unaangalia..Ni Kucheka Mwazo Mwisho Yaani..
Imeifanya Siku Iende Poa Kiukweli Ndani na Nje Ya Nafsi.
Itafute Damushin Puleeeez Iangalie Then Uje Apa Puliiiiiz Chingu.
Komawao,ahsante sana kwa maelezo yako yalioshiba, nimelazimika muda huu niitafute hadi episode ya 10 lakini sijui nitaanza kuiangalia muda gani, nina viporo mpaka vyengine kwa uchoyo wangu nimeamua kuvichimbia shimo haliyakuwa paka, kuku na bata wote wapo wanahitaji chakula.
uchoyo ni adui mkubwa sana wa maendeleo kuliko ujinga.
aigooooo noona umenikumbusha mbali sana, kumbe bado mwenye duka ananidai deni la hwarang kuanzia episode ya 18, kweli kukopa harusi lakini kulipa matanga.Komawao,
Nalazimika Kuiangalia Hwarang Coz Ya Huyu BinaAdam Hyung Coz Nayo nilikuwa Naikimbia Tuuh.
Ulisema ulishawahi Sema Article kuhusu hii Drama IPI iyo.!?
starring hauwawi, hicho kisu kitatoka wenyewe kama kilivyotoka kwa soo hoo alipochomwa na sharon. hahahhahahahaaaaaaaa bae wako hawezi kufa ondoa khofu.Naona Vipande Vya MF Hyuk Kachomwa Kisu
Ottokee
Waeee!?? Hukuwa Umeielewa!???aigooooo noona umenikumbusha mbali sana, kumbe bado mwenye duka ananidai deni la hwarang kuanzia episode ya 18, kweli kukopa harusi lakini kulipa matanga.
eottokkeee.
niliwahi kusoma article kuhusiana na strong woman dobong soon kwenye official thread ya soompi tokea mwazoni mwa 2017, nakumbuka niliwahi kuidownload hadi episode ya 3 lakini baadae nikazifuta bila ya kuiangalia.
Iko na Sub!??leo ni mwendo wa movies, the battlership island ni movie inayozungumzia tukio lililotokezea wakati wa ukoloni wa wajapani nchini korea ambapo zaidi ya wakorea 400 walilazimishwa kufanya kazi za uchimbaji wa makaa ya mawe kwenye kisiwa cha hashima jambo lilipelekea waamue kutoroka kwenye kisiwa hicho.
je wataweza kutoroka wote mbele ya wanajeshi wakorofi kutoka japan?
aigooo mimi sijui kwa sababu ndio kwanza naihifadhi kwenye kimeo changu muda huu.
song joong ki
so ji sub
lee jung hyun
http://kissasian.ch/Drama/Battleship-Island/Movie?id=34689
ndio japo kuwa walioiangalia wanasema subtitle yake haipo vizuriIko na Sub!??
Sunbae kumbe upowatanzania ambao nafsi zetu zipo joseon leo tuongeze vocabulary kwenye bongo zetu, si unajua tumeambiwa tutafute elimu japo kuwa mashariki ya mbali.
aigoooo
eottokkee
omo omo omo
gwenchanah
mian hae
n.k
maneno yote hayo yameshakaa kwenye bongo zetu.
Aigooooo vitu vyangu hivyo.kwa wale wapenzi wa korean movies ingizo jipya la historical movies inaitwa The age of blood. sijaiangalia lakini kwa mujibu wa comment za wachangiaji wa mtandao wa kiss assian inaonekana ipo vizuri.hii itakuwa ni movie yangu ya pili ya korea kuiangalia mwaka huu baada ya fabricated city ya ji chang wook
http://kissasian.ch/Drama/The-Age-of-Blood/Movie?id=35866
Jung Hae-In - Kim-Ho
Kim Ji-Hoon - Lee In-Jwa
Jo Jae-Yun - Do Min-Chul
Lee Won-Jong - Man-Suk
Ryu Tae-Joon - King Yeongjo
Waeee!?? Hukuwa Umeielewa!???
Hii movie niliwahi ona katika website flani ikipigiwa promo. Ngoja nayo nitaishusha usiku wa mananeleo ni mwendo wa movies, the battlership island ni movie inayozungumzia tukio lililotokezea wakati wa ukoloni wa wajapani nchini korea ambapo zaidi ya wakorea 400 walilazimishwa kufanya kazi za uchimbaji wa makaa ya mawe kwenye kisiwa cha hashima jambo lilipelekea waamue kutoroka kwenye kisiwa hicho.
je wataweza kutoroka wote mbele ya wanajeshi wakorofi kutoka japan?
aigooo mimi sijui kwa sababu ndio kwanza naihifadhi kwenye kimeo changu muda huu.
song joong ki
so ji sub
lee jung hyun
http://kissasian.ch/Drama/Battleship-Island/Movie?id=34689
Anhaaa Okay.
- mimi mpaka muigizaji anivutie mnooo ndio niangalie drama
- au mtu anisifie ili niwe na ari ya kwenda kuitafuta, kwa kuwa umeshanisifia basi nakuahidi nitaiangalia strong woman dobong soon.
bibi yangu mzalia bibi ameniambia humu ndani kuna mtu ananichawia ndio maana likizo yangu naisogeza mbele kila siku, lakini nikimjua huyo mtu adhabu yake ........................................Sunbae kumbe upo
aigooo usahihi wake inakuwaje?Anhaaa Okay.
Ivi hili neno la "Nisifie" ni Una Likosea Ama!???