Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Ulivyoangalia hiyo Fabricated city subtitle yake ilikuwa iko fresh? maana mie naona haikuwa official ile subtitles wakati naangalia.
 
bibi yangu mzalia bibi ameniambia humu ndani kuna mtu ananichawia ndio maana likizo yangu naisogeza mbele kila siku, lakini nikimjua huyo mtu adhabu yake ........................................
Nabora Aendelee kukuchawia Tuuh!
 
Hii nilikuwa naisubiri kwa muda mrefu ila ajabu ilivyotoka nimekuwa mvivu kuangalia movie.
 
noona huko kwenu munalima danggeun,gam ja, yang pa.
leo munivumilie bangi niliovuta ni kali sana kuliko stimu za mbwa kichaa.
 
bibi yangu mzalia bibi ameniambia humu ndani kuna mtu ananichawia ndio maana likizo yangu naisogeza mbele kila siku, lakini nikimjua huyo mtu adhabu yake ........................................
Adhabu yake anilipie mimi ticket ya kwenda na kurudi S. Korea
 
Nimepata shida kudownload monkeyflower, nlikua natumia drama fire na dramanice...msaada site nyingine
 
King Gwangaeto.
Humo kuna Goguryeo, Houyan, Baekje ile nchi ya sosouno aliyekuwa mke wa Jumong, kuna wazee wa pori Mohee, Shila na nchi zingine.
Sterling aitwa Prince Damdeok.
Unakutana na Ko Un aliyeigiza Taeso kwenye Jumong.
Hiyo kitu ni ya kijijini huko. Humo ni full Mapanga, mishale.
Hii kitu unasahau hadi kula.
 
Ndugu acha kunikumbusha kabisa. Hii kitu ilinifanya baadhi ya milo ikanipita bila ya kula kabisa. Mfano baadhi ya siku katika milo ya usiku ilinipita kabisa yaani sikuweza kula kipindi niko na hii Drama. Ilikuwa ni bora ni sile lakin drama hii niitizame kwakwel ubora wake ule ingekuwa na zaidi ya episodes 1000 kabisa.! Ukitoa drama ya Jumong basi The Great King Gwanggaeto ndio drama iliyo nifanya nichelewe kulala siku nyingine kuto kulala kabisa yaani nakesha nayo kabisa. Ukitaka ufaidi na Kufurahia drama hizi za Historical inakupasa unashusha episodes kama 50 hivi kisha unaanza kuangalia mdogo mdogo, sio unadownload episodes 3 alafu unatulia kama wiki kisha ndio uendelee hapo utaichoka mapema.

The Great King Gwanggaeto drama yangu bora kwa mda wote baada ya Jumong. Prince Damdeok alikuwa mwanaume kabisa aliwaonyesha mataifa kadhaa kwamba taifa la Goguryeo jinsi lilivyo na nguvu katika jeshi na kidipromasia. Kundi la Mohe likiongozwa na Chief wao Kim Kyu Chul liliona moto wake mpaka wakasurrender. Shila, Houyan, Baekje wote walitambua kazi ya Damdeok ilivyo kuwa.
 
Now it's a big way to take a bath in the bathtub and don't fight in the bathtub, but it's a good time to take a bath between them.! Song il Kook 2014. Duh! Mda mrefu sana aisee
 
We are already dead Chosan Garrison has been annihilated.! The enemy is strong. Their army is incomparable in size, and they are armed with fast steed and long spears. But we have neither sufficient troops nor sufficient weapons. And above all, there are no backup forces. But that is not the cause for our annihilation. The main cause of our destruction is fear that lives in our hearts. No one forced us to sacrifice our lives. We decided ourselves to stay here and protect this place.! It's not too late. Those with fear, those without will to fight, leave this island now. Remember. Those who fear for their lives will die, and those willing to die for victory will live. Yi Soon Shin.

Maneno hayo aliyatamka mwaka 1587 kipindi akiwa Captain katika Kisiwa cha Nok-dune. Ilitokea baada ya wanajeshi wake kuingiwa na uoga juu ya Barbarians walio kuwa wengi na wenye nguvu kijeshi. Ilipelekea mpaka mwanajeshi mmoja kuota ndoto akiwa amevamiwa na hao Barbarians hali hiyo ilizua taflani katika kambi. Basi ndio akawahusia ujumbe huo. Ikumbukwe kuwa wanajeshi walio kuwa wakilinda kisiwa cha Nok-dune wakiongozwa na Captain Yi Soon Shin walikuwa wachache mno hivyo kupelekea kuwa na woga pamoja na wasi wasi. Kuhusu akili Mashaallha Yi Soon Shin alijaliwa kwa kweli, aisee huyu mtu alikuwa na akili kwa kweli. Tafuta Drama ya The Immortal Yi Soon Shin ndio Utaelewa kuwa mzee alikuwa na akili sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…