Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia YouTube kuna maelezo ya kutoshaDuuuh Huu Undezi Mi Maelezo Yako Yananipa Nyota Zaidi!
Ona Ninaenda Mpka Pale Kwenye Alama Ya + kwa Chini Pembeni Pale Inakuja Iyo Sehemu ya Editor Zinakuja Mistari Miwili Moja Ya Link Nyengine Ya Name Nafanya Kama Ulivyoniambia Naanza Na + Then Nina Paste Ile Url nakuja Kwenye Name Nafanya Ivyo Then Nikienda kwenye Start Inaniletee Aya Maneno (ADM.Unsupported Protocal (http;//) ndo Naishia Apo.Yani ukifungua tu ADM unagusa alama ya + then unapaste file la url kwenye link automatic hapo chini itakuletea start.. hata kama hlo file ulilocopy lilikuwa halijaanza kudownload ila file lake limekuja pind ulipoclick download ina kubali
Jaribu hivi kabla ya kupaste hapo kwenye editor kuna vidot 3 click then shuka chini utakutana na kitu user agent then select android stock afu jaribu tena
tokea nianze kufuatilia korean drama nimebahatika kuangalia drama moja tu yenye mandhari ya kifamilia ambayo ni my fairy lady (oh my geum bi)
leo nimeanza kuangalia family drama nyengine inayoitwa my father is strange na ina jumla ya episode 50.
kupitia drama hii muigizaji veterani kim young chul alifanikiwa kushinda tunzo ya kbs daesang 2017,
daebak ni miezi minne imepita tokea nizidownload episode 5 za mwanzo lakini ndio naanza kuiangalia siku ya leo.
![]()
Chingu,Ona Ninaenda Mpka Pale Kwenye Alama Ya + kwa Chini Pembeni Pale Inakuja Iyo Sehemu ya Editor Zinakuja Mistari Miwili Moja Ya Link Nyengine Ya Name Nafanya Kama Ulivyoniambia Naanza Na + Then Nina Paste Ile Url nakuja Kwenye Name Nafanya Ivyo Then Nikienda kwenye Start Inaniletee Aya Maneno (ADM.Unsupported Protocal (http;//) ndo Naishia Apo.
aigooooo ni maneno ya mwanaphilosophia wa kichina anayeitwa lao tzu ambaye amefariki 533 BC.Nimeipenda Signature Yako.
Nimerudia rudia kuisoma hiyo sentensi lakini bado sijang'amua kitu.Leo Rojas mwanadamu mwenye asili ya nchi ya ecuador jinsi anavyotumia panflute amenifanya muda huu nijitafakari mimi binafsi je nina kipaji gani?
hivi kweli kila mwanadamu ana kipaji au tunadanganyana?
inawezekana mimi Damushin kipaji changu ni kufuga wadudu aina ya kunguni lakini sijifahamu.
Aaah ok kwenye link na name, kwenye name inabidi usibadili chochoteOna Ninaenda Mpka Pale Kwenye Alama Ya + kwa Chini Pembeni Pale Inakuja Iyo Sehemu ya Editor Zinakuja Mistari Miwili Moja Ya Link Nyengine Ya Name Nafanya Kama Ulivyoniambia Naanza Na + Then Nina Paste Ile Url nakuja Kwenye Name Nafanya Ivyo Then Nikienda kwenye Start Inaniletee Aya Maneno (ADM.Unsupported Protocal (http;//) ndo Naishia Apo.
Jaman hi series ni kwikwi,ndo naicheki now....hz mtu ni full kudendeka had aibu![]()
Hii Drama Lol!!
Mi sijazoea ona historical drama za makiss ya live live ivi ujue mkuu.EMPTpost: 26593299 said:
Wala Ina Kiss Za Kawaida Tuuh Wala Aina Mambo Ya Kiivyo, Labda Pale Jin Yang au Lee Kang Alipokuwa Anamtokea Yule Gisaeng Kuna Kitu Walifanya Pale Lakini Si Chakutishaa Kivilee.
Inaitwaje niisakeWala Ina Kiss Za Kawaida Tuuh Wala Aina Mambo Ya Kiivyo, Labda Pale Jin Yang au Lee Kang Alipokuwa Anamtokea Yule Gisaeng Kuna Kitu Walifanya Pale Lakini Si Chakutishaa Kivilee.
Ila Tuuh Sababu Siku izi Hizi Historical Wanazifanya Kisasa Zaidi.
Inaitwa GRAND PRINCEInaitwaje niisake
Asante naisakaInaitwa GRAND PRINCE
Isake Iko Poa.Asante naisaka