Mie Apa, Na Hata Goblin Pia Na Nikipenzi Cha Wakorea Huyuborn: July 10, 1979
heri ya kuzaliwa iwe juu yako gong yoo
daebak, ametimiza miaka 39 siku ya jana
kuna yoyote aliyebahatika kuangalia movie inayoitwa train to busan?
Enyohaseyo*
Ambaye Hajaiona Hii Kitu Jamni Aitafute, Bonge La Drama, Best Production Ni Kitu Kizuri Sana Yaani,Ni Zaidi Ya Movie..Hahaha! TvN Ni Wanakuja Kwa Kasi Balaa, Hii Drama Ni Bora. Nimependa yule Mzungu Anaeongea Kikorea Yaani nikajikuta Namuona Chingu Damushin Nayeye Akialikwa Korea Na Jumo Atakuwa Anaongea Kama Ivyo.
mhhhhhhhhhhhhh nilichopanga kukifanya kimeenda kinyume na matarajio yangu, ngoja niendelee kupambana na hali yangu.Twende Wote kwenye hiyo likizo.
Robot Anamgeuka Mom Wake.
Heri, Karibu Tena.mhhhhhhhhhhhhh nilichopanga kukifanya kimeenda kinyume na matarajio yangu, ngoja niendelee kupambana na hali yangu.
likizo imebuma dakika za majeruhi kama uingereza na world cup
dongsaeng naomba unikumbushe ile nukuu ya juzi.
yap upo sahihi nam sin amebadilika sana kuanzia episode ya 10 na mabadiliko yake yamechangiwa zaidi na nguvu ya mwanadada so bong alipomtaka ajisimamie yeye mwenyewe bila ya kuendeshwa na kupangiwa cha kufanya.
mama yake anataka awe na nguvu za kuendelea kumpangia kila kitu kwa sababu yeye ndiye aliyemtengeneza.
halafu final epsode ya wiki hii anaonekana binadamu namsin anarudisha nguvu zake baada ya kuzimia kwa muda mrefu (coma).
daebak sijui kitatokezea kitu gani watakapokutana robot na binadamu.
bila ya kusahau nipo team robot na muda si mrefu so bong atakuja kwangu huku akisahau dharau na kejeli alizokuwa akizielekeza kwangu.
ameniita majina mengi sana nimevumilia kama vile
plastic man
slave
mdoli
hakuna maisha bila ya kuhisi njaa hivyo basi ngoja nijipange kama miaka 10 ili nipate kwenda jeju island.
naamini siku moja aliye juu ya kila kitu ataninyanyua na kufikia daraja la juu zaidi ambalo naliota kila siku
so hyang = you raise me up cover
kuna waimbaji ukipangiwa kushindana nao njia pekee ya kushinda ni kukimbia pambano.
hivi nilishawahi kukusifia huyu mwanamama?
So Bong Anamchanganya Robot Wetu Jamni...Pale Ambapo Anamsikiliza Mwanamke Zaid Ya Mzazi, Na Hii Ndo Uharisia Wa Binadam Anaeitwa Mwanaume Kwao Wanawake Wao Ndo kila Kitu Mbele Ya Mama Zao.mhhhhhhhhhhhhh nilichopanga kukifanya kimeenda kinyume na matarajio yangu, ngoja niendelee kupambana na hali yangu.
likizo imebuma dakika za majeruhi kama uingereza na world cup
dongsaeng naomba unikumbushe ile nukuu ya juzi.
yap upo sahihi nam sin amebadilika sana kuanzia episode ya 10 na mabadiliko yake yamechangiwa zaidi na nguvu ya mwanadada so bong alipomtaka ajisimamie yeye mwenyewe bila ya kuendeshwa na kupangiwa cha kufanya.
mama yake anataka awe na nguvu za kuendelea kumpangia kila kitu kwa sababu yeye ndiye aliyemtengeneza.
halafu final epsode ya wiki hii anaonekana binadamu namsin anarudisha nguvu zake baada ya kuzimia kwa muda mrefu (coma).
daebak sijui kitatokezea kitu gani watakapokutana robot na binadamu.
bila ya kusahau nipo team robot na muda si mrefu so bong atakuja kwangu huku akisahau dharau na kejeli alizokuwa akizielekeza kwangu.
ameniita majina mengi sana nimevumilia kama vile
plastic man
slave
mdoli
hakuna maisha bila ya kuhisi njaa hivyo basi ngoja nijipange kama miaka 10 ili nipate kwenda jeju island.
naamini siku moja aliye juu ya kila kitu ataninyanyua na kufikia daraja la juu zaidi ambalo naliota kila siku
so hyang = you raise me up cover
kuna waimbaji ukipangiwa kushindana nao njia pekee ya kushinda ni kukimbia pambano.
hivi nilishawahi kukusifia huyu mwanamama?
born: July 10, 1979
heri ya kuzaliwa iwe juu yako gong yoo
daebak, ametimiza miaka 39 siku ya jana
kuna yoyote aliyebahatika kuangalia movie inayoitwa train to busan?
πππgamsahamnidaππππ‘
- inaitwa kings dream au dream of emperor.
- ni drama inayozungumzia maisha ya kim chunchu na kim yusin ambao kwa pamoja walikuwa na malengo ya kuziunganisha kingdom tatu (goguryeo, baekje, silla).
- baadae kim chunchu anakuwa mfalme wa 29 wa taifa la silla na kuwa chanzo kikuu cha kuziunganisha kingdom tatu na alipewa jina la Taejong Muyeol.
- shangazi yake alikuwa ni queen seondeok ambaye alikuwa mtawala wa 27 wa silla.
- baadae kim chunchu alifanikiwa kumuoa mdogo wake general kim yushin ambaye aliitwa munee ila walianza mahusiano kisiri na hatimaye walifanikiwa kupata mtoto.
- mtoto wao ambaye baadae alikuwa ni mfalme Munmu ndiye aliyakamilisha mission ya kuziangusha tawala za goguryeo na baekje kwa msaada mkubwa wa jeshi la Tang.
- historia inamtaja kim chunchu kama ni mwanadamu hatari sana linapokuja suala la kutumia ulimi, aigooo unaweza ukajikuta umemuozesha binti yako huku mahari ukiwa umetoa wewe mwenye mtoto
utakapomaliza kuiangalia hii drama utabaki kujiuliza maswali :
- je kim chunchu ni shujaa au msaliti wa three kingdoms?
- je baada ya goguryeo na baekje kuanguka amani ya three kingdom ilikuwepo, yale maisha aliyokuwa akiyaota je wananchi wote waliyapata bila ya kubaguliwa wanapotoka?