Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Song Hye Kyo And Park Bo Gum Confirmed To Star Together In New Drama
july 9, production company inayojulikana kwa jina la Bon Factory wamethibitisha ya kwamba waigizaji hao watashiriki kwenye drama ianyoitwa boyfriend.
ni stori itakayozungumzia maisha ya mwanadada cha soo hyun ambaye kwenye maisha yake hakuwahi kuwa na uhuru wa kufanya jambo analolihitaji kulifanya kutokana na shinikizo la wazazi wake ambao ni wanasiasa wenye ushawishi mkubwa sana, mwisho wa siku analazimishwa kufunga ndoa na mwanamme amabaye anatazamiwa kuwa mrithi wa makampuni yenye kuendeshwa kwa mfumo wa conglomerate (chaebol) na baadae wanaamua kuachana.
Song-Hye-Kyo-Park-Bo-Gum1.jpg

Cha Soo Hyun maisha yake yanabadilika baada ya kukutana na mwanaume wa seoul anayeitwa Kim Jin Hyuk na ukaribu wao wanajikuta wakiwa ni wapenzi.
Bon Factory ndio kampuni inayoisimamia drama ya whats wrong with secretary kim na kwa sasa wapo kwenye mazungumzo ili kutafuta uwezekano wa drama hiyo kuonyeshwa na kituo cha tvN.
song hye kyo anamzidi park bo gum kwa miaka 12.
song joong ki na park bo gum ni marafiki wa karibu sana.​
project ya mwisho kwa mwanadada song hye kyo ni descendent of the sun na kwa upande wa park bo gum ni love in the moonlight.
Mtu Na Shemeji Yake!

Kwaiyo Umu Kama Kuna Scene Za Kiss Watakiss Kweli?? Nauliza
 
park hyo shin = the day
mr sunshine drama ost 1

kwa msaada wa professor google
The spring was beautiful even in the cruel sunshine.
The petals bloom red on the bloody field
It is always green to cover me on an endless long night.
A broken dream will leave again​
Every wind stops
The day that longing will be allowed
Without roughness
I will call you.

At the end of this life
Maybe I will not come
Asleep
I will call you.​
My difference is you and me.
I will close my eyes to the fate of each other.
Every wind stops
The day that longing will be allowed
Without roughness
I will call you.

At the end of this life
Maybe I will not come
Asleep
I will call you.​
On my dry sea
The Red Sun
A faraway dream
I will not forget

At the end of this life
The day that eventually becomes one
I have pain in my splendor.
They will call it green.​

Mi Natamni Kweli Kumshuhudia Kwa Macho Uyu BinAdamu
 
Mtu Na Shemeji Yake!

Kwaiyo Umu Kama Kuna Scene Za Kiss Watakiss Kweli?? Nauliza
siku hizi mpaka historical drama zina kiss scene licha ya kuwa wanavaa mapazia.
tena itapendeza zaidi wote watatu waangalie drama wakiwa pamoja licha ya kuwa hizi drama zinaonyeshwa saa 4 usiku.
song hye kyo : bo gum kumbe wewe ni mshamba kweli mpaka leo hii hujui ku kiss.
park bo gum : nilikuwa namuogopa shemegi asije akavunja ndoa na urafiki wetu
song joong ki: gwenchanah gwenchanh na mimi nitatatufa project yenye romantic scene nyingi
song-hye-kyo-song-joong-ki-park-bo-gum.jpg
 
Seo Ji Hye Confirms Lead Role For Upcoming Medical Drama
ndiye atakayekuwa muigizaji mkuu wa kike kwenye SBS’s new drama, ‘Thoracic Surgery’.
ataigiza uhusika wa Yoon Soo Yeon ambaye ni thoracic surgical assistant kwenye hospitali ya Taesan.
beautiful sharon aliyejaa wivu wa mapenzi kwenye black knight drama.
1512453035586_2_142943.jpg
 
niwe mkweli sijabahatika kuziangalia lakini waliobahatika kuiangalia wameisifia sana.
nimejaribu kunukuu na comment kutoka kwa baadhi ya wachangiaji.
Lee-Byung-Hun-Kim-Tae-Ri.jpg

  1. [+1213, -423] If you want to use Lee Byung Hun you should have raised the age of the actress or if you wanted Kim Tae Ri you should have lowered the age of the actor, do just one of it
  2. [+692, -29] Some scenes are as good as a movie and some scenes are like 'Mystic TV: Surprise' which it's an extreme ㅋㅋㅋ
  3. [+515, -89] Am I the only one who finds it fun...The immersion is the best and Kim Tae Ri's beauty ㅜㅜ she is so pretty ㅜㅜ
  4. [+512, -196] Honestly, I think there are a lot of people watching it because of Lee Byung Hun than the ones who are not watching it because of him...The feeling of Lee Byung Hun saving this drama is so strong
  5. .[+294, -4] Someone said it's The descendants of Mr. Goblin ㅋㅋ
  6. .[+516, -50] Lee Byung Hun and Kim Tae Ri's vocalizations and visuals and the immersion is the best, Yoo Yeon Seok had a little screen time today ㅜㅜ My heart is already aching just by the thought of how sad it's going to be
  7. [+204, -22] There is nothing to be surprised about Lee Byung Hun's acting because I already knew it was good...but I was surprised with Kim Tae Ri, from her voice tone to her acting
  8. .[+621, -185] Lee Byung Hun and Kim Tae Ri's acting gave me goosebumps. I thought they won't suit each other but their chemistry is daebak
  9. [+106, -23] No matter what, Lee Byung Hun fits well as Eugene. You said he is older but he is a US Marine captain. Do you think you can become that in your 20s?
  10. [+237, -23] It looks more like a movie, the drama is really daebak...It was much more fun than yesterday, how will episode 3 be?.
Iyo Comment Ya Kwanza Duuh!
Mi nimeangalia Episode 1 Japo Bado Sijaimaliza, Ila Ni Kweli Ipo Kama Movie.
 
Dunia hii usipokuwa na pesa kitu pekee unachoweza kukifanya ni kulala kama maiti, huwezi kutimiza ndoto yoyote hata kama upo usingizini.(woo soo ji)

Hahahaha!!!
 
siku hizi mpaka historical drama zina kiss scene licha ya kuwa wanavaa mapazia.
tena itapendeza zaidi wote watatu waangalie drama wakiwa pamoja licha ya kuwa hizi drama zinaonyeshwa saa 4 usiku.
song hye kyo : bo gum kumbe wewe ni mshamba kweli mpaka leo hii hujui ku kiss.
park bo gum : nilikuwa namuogopa shemegi asije akavunja ndoa na urafiki wetu
song joong ki: gwenchanah gwenchanh na mimi nitatatufa project yenye romantic scene nyingi
song-hye-kyo-song-joong-ki-park-bo-gum.jpg
Hmmhh! Sema Wataoneana Aibu Sana, Ye Akitoka Apo Anamchek Broo Wake Anamwambia Nini Kuhusu Scene Za Leo LOL!
 
hahahahahahahaaaa we mwanamke utanimalizia bando langu la kutabasamu.
unadhani nimeamkia wapi?
Unaonekana Tuuh Leo Ujaamkia Nyumbani.

Labda Ulieenda Pokea Ndege, Ukapitiliza Mpkaa Seoul! Naskia Kutakuwa Na Safari Za Uko!
 
Dah! hii quote ya sunbae imenifanya nicheke kama mwehu.
Hahhahhhaaahhhha!!
 
20180627.jpg


Ambaye Hajaiona Hii Kitu Jamni Aitafute, Bonge La Drama, Best Production Ni Kitu Kizuri Sana Yaani,Ni Zaidi Ya Movie..Hahaha! TvN Ni Wanakuja Kwa Kasi Balaa, Hii Drama Ni Bora. Nimependa yule Mzungu Anaeongea Kikorea Yaani nikajikuta Namuona Chingu Damushin Nayeye Akialikwa Korea Na Jumo Atakuwa Anaongea Kama Ivyo.

ms153.jpg
 
15989441.jpg

Mwanzoni Nilijua Chakike Kumbe Chakiume,
Kimecheza Kikubwa Umu Japo Kidonyo..Eugene Mdogo
 
Seo Kang-Joon & Esom cast in JTBC drama "The Third Charm"
Seo-Kang-Joon-Esom.jpg
  • ni love story kati ya On Joon-Young na lee young jae.
  • on yoo jang ni mwanafunzi wa chuo ambaye havutiwi kabisa na maisha ya uwanamitindo, ni mwanafunzi ambaye hajalia amevaa kivazi gani au amevaa kiatu cha kampuni gani.
  • young jae ni binti ambaye ndoto yake kubwa ni siku moja awe ni mtu tajiri sana ambaye amekulia maisha yake bila ya wazazi.ni msichana ambaye aliamua kujishughulkisha zaidi na kazi kuliko kwenda chuo kikuu.
  • siku moja rafiki yake akamkutanisha na mwanafunzi wa chuo ambaye alikuwa ni joon young ili wawe wachumba (blind date) ila bahati mbaya walipokutana siku hiyo hakuvutiwa na muonekano wa joon young kwa sababu jamaa si unajua hana muda hata wa kunyoosha shati lake pasi japokuwa anaishi dunia ya ukweli.
 
2 BIC : 2 be continue
hqdefault.jpg
nilianza kuwafahamu hawa jamaa kwa msaada wa mwanadada anayeitwa Nifah kupitia ost inayoitwa im in love ambayo wameimba kwenye drama ya good doctor.
huku kwetu tanzania kuna jamaa ana mwili unaofanana na watu hawa wawili lakini mwili wake anautumia zaidi kwenye ishu za umbeya.
wiki iliopita kupitia drama ya are you human too wamerelease wimbo unaoitwa heart ambao ni ost 4.
hawa jamaa kwa unene walionao laiti wangelikuwepo zenji nahisi kifungua kinywa chao ni mwendo wa bakuli tatu za urojo kila siku.
aminas hivi huko kwenu maroboti wa kike hawauzwi?
wa kiume simuhitaji kwa sababu nahofia atakuja kunipindua.

marafiki nimedhamiria kuchukua likizo takribani ya wiki 3, utakapoona sijibu notifications usije ukadhani nimekupuuza kuanzia siku ya kesho.
korean drama forever
 
2 BIC : 2 be continue
hqdefault.jpg
nilianza kuwafahamu hawa jamaa kwa msaada wa mwanadada anayeitwa Nifah kupitia ost inayoitwa im in love ambayo wameimba kwenye drama ya good doctor.
huku kwetu tanzania kuna jamaa ana mwili unaofanana na watu hawa wawili lakini mwili wake anautumia zaidi kwenye ishu za umbeya.
wiki iliopita kupitia drama ya are you human too wamerelease wimbo unaoitwa heart ambao ni ost 4.
hawa jamaa kwa unene walionao laiti wangelikuwepo zenji nahisi kifungua kinywa chao ni mwendo wa bakuli tatu za urojo kila siku.
aminas hivi huko kwenu maroboti wa kike hawauzwi?
wa kiume simuhitaji kwa sababu nahofia atakuja kunipindua.

marafiki nimedhamiria kuchukua likizo takribani ya wiki 3, utakapoona sijibu notifications usije ukadhani nimekupuuza kuanzia siku ya kesho.
korean drama forever

Twende Wote kwenye hiyo likizo.

Robot Anamgeuka Mom Wake.
 
Back
Top Bottom