Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Yoo In Na In Talks To Appear In Drama Directed By PD Behind “What’s Wrong With Secretary Kim”
On September 7, a source from her agency YG Entertainment stated, “She is currently positively in discussion [to appear in the drama].”
If Yoo In Na accepts the offer, she will be making her return to the small screen in one year and six months, as her last drama was tvN’s “Goblin.”
It Feels Sincere” is slated to air in the first half of next year, after upcoming drama “Boyfriend” starring Song Hye Kyo and Park Bo Gum, which will air this coming November.
4a71bcabfab04ebebf3e01153931d701.jpeg
 
The constitution states in Article 39, "All citizens shall have the duty of national defense under the conditions as prescribed by Act."
iyo sheria haijaweka kwa ajili ya celebrities peke yao ila ni kwa wanaume wote. Celebrities na wanamichezo wanapaswa kutumikia shughuli za kijeshi kabla hawajatimiza miaka 30 ila wengineo mpaka miaka 35 ndio mwisho.
Na si kwamba wote wanakwenda special force pia vipo vikosi vyengine kama polisi, marine cops, navy wengine wanachaguliwa kwenda huko.
kama una matatizo ya kiafya unaweza kufanya kazi za kijamii kwa mfano lee min ho.
Na kibaya zaidi hujui ni siku gani utatakiwa kutumikia shughuli hizo mpaka pale utakapotumiwa barua kutoka idara kuu ya ulinzi.
unaweza ukalala na asubuhi yake ukakuta amri imeshatoka mwezi ujao uwende jeshini.
na uzuri wa sheria yao haiangalii heshima ulionayo kwenye jamii.
changmin-donghae-siwon.png

Choi-Siwon-Changmin-XPN.jpg

super-junior-siwon-650x813.jpg

If athletes can dodge military service in South Korea, why can’t pop stars?
miongoni mwa mjadala unaoendelea kwa kasi sana kwenye media ni kuhusiana na sheria hii kuwapa faida wanamichezo pindi pale wanapoiletea heshima taifa wanapewa nafasi ya kutokutumikia jeshini na mfano mdogo tumeona juzi baada ya korea kuchukua medali za ASIAN GAMES wachezaji wamepewa heshima hiyo akiwemo son wa tottenham ambaye kama korea wasingelibeba ubingwa basi alitakiwa aende jeshini kwa miezi 21.

According to a law (link in Korean) enacted in 1973, men who have “raised the national image on a global stage and enriched the culture and sports sectors” are allowed to avoid military conscription.

baadhi ya wachangiaji wanahoji kwa nini nafasi hiyo wapewe wanamichezo tu na si wengineo?
kwa nini waimbaji wa kpop na wao wasipewe nafasi hii wakitolea mfano mafanikio ya BTS kwenye muziki ni makubwa sana kwenye dunia hii.

There are even online petitions (link in Korean) submitted to the presidential Blue House calling for K-pop group BTS—whose album recently topped the US Billboard chart—to be exempt.
BTS20.jpg

  1. South Korean government to review military exemption policies after Son Heung-Min’s Asian Games gold
  2. If athletes can dodge military service in South Korea, why can’t pop stars?
  3. BTS Returns to No. 1 on Billboard Artist 100 Chart
  4. Should K-pop go bang? South Korean stars BTS caught in conscription debate
nitakua was mwisho kusena we sio nanihiii
 
  1. hivi kwenye maisha yako imeshawahi kutokezea umechumbiwa na rafiki yako wa kiume ukamkatalia?
  2. kwenye maisha yako imeshawahi kutokezea umempenda rafiki wa kiume ila yeye akakukataa?
ikiwa moja kati ya haya mawili yaliwahi kukutokezea unaweza kuelezea hisia ulizokabiliana nazo japo kwa kutumia source code?

Jibu la lakwanza, Bado Sijachumbiwa Inshaallah Mpka Pale Mola Akinisogezea

La Pili Naweza Kusema Ndio au Sio! Kwani Nakumbuka Nilishawahi Kuwa Na Ukaribu Na Mshikaji Wa kawaida Ambao Ulitaka Kuelekea Uko Lakini Aukufika Iyo Hatua.Na Tupo Kiushakaji/Kirafiki Mpka Leo.

Hisia Nilizokabiliana nazo Ni Nilijaribu Kuuzuia Moyo Japo Ni kitu Kigumu Ila Nilijaribu Nikaweza Hasa kwa Kumueka Mola Wangu Kwenye Msaada Huu!
Baada Ya Apa Vingi Vilibadilika Hasa Kuweza Kuzizuia Hisia!

😚 Nimekujibu Sijuhi!!!?😉😝
 
MR SUSHINE DRAMA
wakati huu tunangojea subtitle ya episode ya 19 na next episode ya 20 hapo kesho ngoja tuondoe stress zinazotukabili kwenye maisha yetu ya kila siku, kuna wengine huondoa stress kwa kunywa pombe na akina sisi wengineo tunaondoa stress zetu za maisha kwa mapira na korean drama.
Na bahati mbaya wiki hii ulevi wangu mkuu wa manchester united haujaingia sokoni.

binadamu kumbe akili zetu zenye mihemuko ya kimwendo kasi tunazijuwa wenyewe, ngoja nijicheke mwenyewe kwanza kabla sijaandika sentensi niliyokusudia kuiandika.
hahahahaahhahahahaaaaaaaa​
kuna mashabiki wameanza kumlalamikia muandishi wa drama hii ambaye ni mwanamama kim eun sook pamoja na director Lee eung bok.
uvumilivu umeanza kuwashinda wafuatiliaji wa hii drama kwa sababu imeshafika episode ya 18 lakini hawajaona hata dalili ya kiss scene.
  • kuna wale wanaongojea kwa hamu kiss scene kati ya captain eugene choi (lee byung hun) na lady go ae sin (kim te ri), kundi hili la mashabiki ndio wapo wengi zaidi duniani na povu lao hata nguo za wafungwa wa gereza la keko au kiinua miguu lililopo zanzibar unaweza kufulia, bahati nzuri Kwenye kundi hili mimi sihusiki
  • kuna wale wanaongojea kwa hamu kiss scene kati ya mtemi aliyezaliwa na wazee wawili waliokuwa wakiuza butcher goo dong mae (yoo yeon seok) na mwanadada kudo hina (kim min jung) ambaye ameachika na mume wa kijapani na pia ndiye mtoto wa lee wan ik msaliti wa joseon, pia kwenye kundi hili mimi simo.wafuasi wa kundi hili wana hasira kali kuliko upanga wa Dong mae, unapaswa ukae nao mita 600.
  • kundi la tatu nipo peke yangu na sitaki mfuasi kwenye kundi hili,bado nasuburia kwa hamu kiss scene kati ya ahjumma Haman-daek na yule ahjussi ambaye pia ni mtumishi wa lady aesin na mzee go sa hong. Nitafurahi sana kama hawa wazee wawili watafunga ndoa na kuishi kwa amani na upendo na kuondokana na minyororo mizito ya utumwa,nasisitiza tena kwenye kundi hili sihitaji mfuasi.
aminas , talnam hivi nyinyi mupo team gani kwenye kiss scene?
hahahahahahhaaaaaaaa bangi za usiku ni mbaya sana zinaweza kukufanya ukayanunue makontena ya makonda.

huku kwetu serikali imebana, kule kwenye mpira manchester united wamebana na huku kwenye drama mwanamama kim eun sook ameendelea kubana.
huu mwaka kwa hali inavyokwenda sisi wengine tutakufa na tai shingoni.
2113770c-4938-4929-a3a3-080309976d9e.jpg
 
Jamani nisaidieni ni wapi nitaweza kudownload drama ya Master of the mask? maana kwenye Dramacool naona wanazingu.
 
MR SUNSHINE DRAMA ep 17
  • ukiachana na kiongozi mkuu wowote wa nchi au wa taasisi binafsi, mwanadada go Ae sin ndiye anayeshikilia rekodi ya kuwa na ulinzi mkubwa sana kuliko mtu yoyote duniani. kwenye maisha yake amezungukwa na mashujaa zaidi ya 500 ila wanaojitokeza hadharani kumlinda kwa nyakati tofauti ni eugene choi, goo dong mae, kim huiseong, mwalim Jang Seung-Goo na wafuasi wengineo wa righteous army walioanza kumlinda tokea alipozaliwa na kumuepusha na shambulio la kifo. mhhhhhhhhhh bahati alionayo akiilalia mlango wazi nitamuibia. Nina wasiwasi huyu bidada huenda akawa anatumia ndumba kama za wale bongo celebrities uchwara.
“I chose to not kill because unlike our parents, we have the ability to choose.”
kupitia hii nukuu utagundua tofauti nyengine kubwa kati ya goo dong mae na choi eugene.
  • dong mae aliporudi korea jambo la kwanza alilolifanya kwenye ardhi ya korea ni kuwaua wale wote walisababisha mateso kwa familia yake huku upande wa pili eugne alipotoka marekani licha ya mateso na huzuni kubwa inayoendelea kumuandama kila siku kwa kuuawa wazazi wake wawili bado ameendelea kuzuia hasira dhidi ya maadui wa familia yake. Na ana uwezo wa kulipa kisasi tofauti na wazazi wao ambao hawakuwa na uhuru wa kuchagua jambo lolote kwa sababu ya utumwa wao. kumbe binadamu tunaweza kuepuka kutenda jambo lolote ovu, huwa nawashangaa sana wale wanaomsingizia shetani pindi wanapotenda uovu, Unamnajisi mtoto mdogo baadae unamsingizia shetani. goo dong mae alimjibu they have the ability to choose between a sword or a gun. Hahahahaaaaa dong mae ana maneno ya ovyo kuliko mvuvi.
  • nimeyapenda majibu ya eugene choi kwa mama yake kim hee sung, eugene alimwambia hawezi kumbebesha msalaba wa dhambi hui seong kwa sababu yeye hahusiki na dhambi ya familia yake ila bado ataendelea kutokumsamehe baba, mama na hata late grand father kwa matendo yao ya kinyama walioyatenda kwa familia yake. Tukirudi nyuma kwenye episode 1 babu yake kim hui seong yeye alikuwa na mtazamo tofauti, baada ya wazee wake eugene kutenda makosa babu aliamini familia nzima inapaswa ipokee adhabu ya kifo kwa kosa waliloloitenda. Yule harabuji hataiweza kuinusa harufu ya pepo kwa unyama aliyoutenda kwa kitendo chake cha kumbebesha dhambi mtoto mdogo asiyekuwa na hatia yoyote.
  • tanzania bado wapo wazalendo wa ukweli kama alivyo mzee go sa hong na joseon yake? nimependa msimamo wake mzee go sahong, yupo tofauti na noble family wengineo ambao wanajifanya hawana muda wa kufuatilia siasa za nchi yao, Ae sin amerithi kila kitu kutoka kwa babu yake ila cha ajabu babu hataki mjukuu wake afuate kivuli chake.Mzee go sa hong amepewa utajiri wa mali, uzalendo,upambanaji, hekima, huruma, busara, elimu. hivi kuna kitu ambacho mzee go sa hong amenyimwa? Kipo alichonyimwa na si chengine isipokuwa bado anaamini nchi inapaswa iwe na utabaka kati ya aliyenacho na asiyekuwa nacho, Ila nimeona picture preview zinazoonyesha mzee go sahong akiwaalika eugene choi na goo dong mae kwenye makaazi yake, unahisi atawaomba kitu wanadamu hao wawili?
utakapojifanya siasa ya nchi yako haikuhusu basi fahamu ya kwamba utakuwa ni miongoni mwa wajinga watakaosababisha nchi kuongozwa na watu ambao utakuwa umewazidi kimaarifa, Na maisha yote mpumbavu na mwedawazimu (chizi) ndiyo huzidiwa maarifa na mtu mjinga.
  • episode 18 nimevutiwa zaidi na ujasiri aliyouonyesha mwanadada Nam-Jong ambaye ni rafiki wa karibu sana wa Ae shin, na ndiye aliyeanza kumfanya awe na mzuka wa kusoma kiingilishi.licha ya kutokuwa na uwezo wa kupambana na wanajeshi wa kijapani lakini bado alionyesha ujasiri wa hali ya juu kwa kuendelea kumtetea mwalimu wake wa skuli. Nawaza hapa kama tukio lile linamtokezea aminas angelikimbia mpaka kwao. hahahahahaaaaaa unafanya masihara na bunduki.
sitaki kuzungumzia tukio la kuvunjika mahusiano kati ya ae sin na kim hee seong kwa sababu kuna mtu ameshalijibu tukio lile kwa kutolea mfano wake binafsi.
ndio maana nimedhamiria kutokupenda mpaka nitakapotimiza miaka 80 ya kuzaliwa ndio nitafikiria kujaribu kupenda.
sunshine-17-00055.jpg
 
Back
Top Bottom