Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Hahahahaha

Naiwe ivyo baada ya Miaka Iyo!!!
Uku Mola Akikuongozee Uko.

Mi wala nisingekimbia Ningekomaa Nao Tuu kwani Nashukuru Sinaga Tabia Ya Kukimbia.
 
Mi Mwenyewe Natamni Iyo Namba 3 Itokea.

Uwezi Sema Mtu Asitamni Hiko Wakati Mi Nilishatamni Ilo.
 
MR SUNSHINE DRAMA ep 18
  • Takashi Mori uhusika wake nimeupenda sana na anaonekana ni mwanadamu aliye na chuki zisizopimika dhidi ya joseon, Lee wan ik na kelele zake zote alipokutana na takashi mori aliuficha mkia wake.Jahazi la joseon linaelekea kuzamishwa na wahuni wa japani.
  • Ms Haman na yeye hana siri kama mlevi aliyekunywa chupa 40 za soju, ametoa siri zote za ae sin kuhusiana na notebook yake kwa choi eugene. nimecheka sana
  • nisipomuona Kudo Hina moyo wangu huwa haufanyi kazi inayotakiwa, nampenda zaidi kudo hina uhusika wake kuliko ae sin, aigoooo macho yake unaweza kuombea mkopo benki kuu.
  • mfalme hakufanya maamuzi ya kijinga kwa kumfunga mzee go sa hong ambaye alikuwa ni mwalimu wake, mfalme anaamini kitendo cha kumweka ndani mzee kitazidi kuinua hamasa kwa wananchi wake wajitolee kupambana dhidi ya uvamizi wa wajapani kwenye nchi yao. na tayari tumeona wananchi wa joseon wameanza kukataa kutumia fedha ya japani kwenye nchi yao.lakini je itawezekana wakati japani nao wana mwandamu mwenye akili nyingi Takashi Mori?
  • je kim hui seong atakubali offer ya takashi mori? Takashi anataka gazeti la kim hui seong liandike habari zenye kuisifu japani ili kuiwachanganya raia wa joseon na waamini ya kwamba japani ni watu wazuri.
  • hizi tawala zote zilizopita za korea hazikumpa heshima inayostahili mwanamke, msichana hakuwa na ruhusa hata ya kupata elimu, ni shida
  • hivi kile kitendo cha dong mae kumkata nywele zake mwanadada ae sin kina maana gani?
je inawezekana kitendo kile kinamaanisha ya kwamba ae sin anapaswa aachane rasmi na utambulisho wake kama ni mzaliwa wa familia ya kitajiri hivyo basi anapaswa kuishi kama wanaharakati wengine.
kwenye episode 1 tuliona choi eugene anakata nywele zake wakati yupo marekani na kitendo kile kina maaana ya kwamba amevunja mahusiano yake yote na joseon na ndio maana bado anaendelea kujitambulisha kama ni raia wa marekani.
 
Hahahahaha

Naiwe ivyo baada ya Miaka Iyo!!!
Uku Mola Akikuongozee Uko.

Mi wala nisingekimbia Ningekomaa Nao Tuu kwani Nashukuru Sinaga Tabia Ya Kukimbia.
  • ameeen ila kuna atakaenipenda pindi nitakapofikisha miaka 80.
  • kama wasichana munaogopa mende halafu usikimbie bunduki ilioshikiliwa na mwendawazimu wa kijapani. mimi binafsi ningelikimbia bila ya kuangalia nyuma kama kifaru.
 
  • ameeen ila kuna atakaenipenda pindi nitakapofikisha miaka 80.
  • kama wasichana munaogopa mende halafu usikimbie bunduki ilioshikiliwa na mwendawazimu wa kijapani. mimi binafsi ningelikimbia bila ya kuangalia nyuma kama kifaru.
Hmmmm!!!

Umeamua Kukubali!

Utapendwa tuuh Mbona Miaka Bado
 
Unaona Unavyojichanganyaaa!

Nilijua Niwewe Tuuh Muonee
  1. muandiko wangu haujabadilika
  2. na siku ya kwanza nilikuambia ndio nini kukimbilia kituo cha polisi
  3. nikakwambia ID ya damushin ndio imechukua likizo ila mwenye id bado yupo
mimi mwenyewe nilifikiri unanienjoy kumbe upo serious?
hahahahahahahaaaaaaaaaaa
 
  1. muandiko wangu haujabadilika
  2. na siku ya kwanza nilikuambia ndio nini kukimbilia kituo cha polisi
  3. nikakwambia ID ya damushin ndio imechukua likizo ila mwenye id bado yupo
mimi mwenyewe nilifikiri unanienjoy kumbe upo serious?
hahahahahahahaaaaaaaaaaa

Aku Sikuwa Serious Mie.

Nilikuwa Nakuzingua tuu
 
Mipaka Kivipi!???
  • nilitengeneza ID hii september 1 na utakuwa unafahamu nilichodhamiria kukifanya ndani ya mwezi huu hakuna ulazima wa kurejea.
  • ukiachana na thread hii pia nilikuwa na access kwenye sports forum pekee kwa kutumia ID ya damushin.
  • nimeamua kutengeneza ID hii ili niitumie kwa kutembelea majukwaa yote ya JF. pia hata kama itatokezea nimekutana na mtu mwenye tabia za ovyo itanibidi nitumie nafsi yangu ya pili kukabiliana naye.humu jf baadhi ya wakati unaweza kukutana na watu wenye tabia tofauti zisizoridhisha ambazo kama utaendelea kuzivumilia kila siku zitakuletea athari kubwa sana. kwa kutumia id ile nimeshakutana na matukio mengi yasio furahisha lakini nimekuwa nikiyavumilia ila kwa id hii itakuwa ni tofauti.
hahahahahaaaaaa wanasema uvumilivu una kikomo.
 
Anhaa!!! Hongera

Si mbaya Japo Ilinishtua.
 
Nini epispde 10,huwa natenga siku maalumu navuta episode hata 50 kwa mkupuo mmoja
unaweza kushusha episode 10 kwa siku moja?
going on drama zimeshaanza kuniletea athari kiasi ambacho najihisi kutokuvutiwa na drama za kizamani labda iwe nzuri mnoo.
 
Aloangalia Episode ya 19 naomba njoo tulie wote (Mr Sunshine)

Hii episode imenitoa Chozi Walah.

Hii Episode imeniumiza Tena.

Userious Wa Waigizaji Episode Hii Ni Wakuumiza! Nimelia Nao Yaani
 
Kuna Binadam Wanaroho Kama Ya Huyu Mzee (Lee Wan Ik) Yaani Unaenda Iumiza Famila ya Mtu Sababu Tuu We Ufanikiwe Kweli,

Uhisi Hata Maumivu Yao Najua Haya Ni Maigizo Lakini Kuna Maisha Ya Watu Waliishi Ivyi na Waliyapitia Haya Na Wapo Mpka Leo Wanaishi Ivyi.

Na Serikali Inashindwa Hata kutetea Watu Wake Lol!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…