Hahaha..mie siku hizi sitaki ongoing.Rafiki yangu mpendwa Song Seung Heon kaja na kitu kitamu zaidi ya asali. THE PLAYER bonge la drama, action za kumwaga. Kama kawaida huwa sitizami Ongoing drama ila kwa hii itanibidi. View attachment 888156
Hii ipi tena? namuona msela wangu hapo.
Terius Behind MeHii ipi tena? namuona msela wangu hapo.
Ipo episode ya ngapi hadi sasa?Terius Behind Me
Ya NneIpo episode ya ngapi hadi sasa?
King Gwanggaetto the Great ni dude la KibabeKorean Drammas nilianza na;
-Jumong enzi zile inarushwa ITV na ndio dramma yangu ya kila wakati.
-Ya kijijini
Nilipenda ilivyoanza kwa Main Actor Prince Jumong kuwa na maisha fulani ya kijinga naweza sema ya kupenda wasichana na kutokujua kitu sababu alidhani he was truly a son of Emperor Kumwa, lakini baada ya kugundua kuwa Hae Mossu ndio baba yake that thing completely changed his lifestyle naa ndio hapo naona hii dramma ikaanza kuwa nzuri.
-Msanii wangu bora wa kiume ni Il Guk Sung (Jumong) Pia yumo kwenye Movie kama Crime Squad (Ya mjini), na wa kike Ni Sohsuno ( kwenye Jumong) Mtoto wa Lord Yuntabal the Merchant.
- Sexiest Actor ni City Hunter sijui jina lake nani halisi na Sexiest Actress kwangu ni yule dada wa kwenye IRIS
-Dramma yangu ya kwanza kuiona ni JUMONG labda ndio maana naipenda sana
-Hakuna dramma ninayoitafuta kwasababu nina Drama5 downloader kwahiyo dramayoyote niitakayo naipata hapo ni bundle langu tu na muda basi.
Sasa kuna Dramma naiangalia ndio nipo episode ya 63 usiku huu inaitwa KING GWANGGAETTO ni ya kijijini ni nzuri sana viwango vya kama JUMONG hutojutia kuiona. Pia kuna Warrior Baek Dong Soo ya kijijini pia niliiipenda, pamoja na Iljimae.
Mpaka sasa dramma za kikorea nilizoziangalia na kuzipenda ni;
-Jumong
-slave Hunter
-The Land Of Wind
-Great Queen Seondeokh
-Painter Of the Wind
-Pirrates of... (Jumong humu kaigiza pia jina limenitoka kidogo)
-King Gwanggaetto
-Warrior Baek Dong Soo
-Faith
-City Hunter
-Iris
-A Man Called God
-Athenna
-Bad Guy
-Crime Squad
-A Moment To Remember
-Black
- A flower in the prison
-Criminal Minds
- Bad Guys
- Defendant
- Six Flying Dragons
- The Night Watchman
- Grand Prince
Miye nimeirudia the Great King mara 5 sasa ni ya 6 wameipa jina la Land of warGwangaeto Alikua Mtu Hatari, Ndie Aliyeipanua Goguryeo Na Kuwa Kubwa Na Imara Zaidi Ya Kingdom Nyingine Za Kikorea, Kipindi Chake Baekje, Silla, Japan, Mohe, Malgal, Khitan Wote Aliwaweka Chini Yaje Na Pia Alishida Vita Nyingi Dhidi Ya Chinese Sui. Na Ni Mmoja Kati Ya Wafalme Wa3 Wa Kikorea Ambao Walipewa Jina La Great King "DAEWANG" Pamoja Na Great King Sejong Wa Joseon Huyo Mwingine Ninemsahau.
Nimewakumbuka Sana Kina Sagal Hyeon, Dol Bisu, Yeo Sseokgae, Ha Muji, Ko Un, Fengba, Murong Un, Murong Xi, Murong Ba, Damju, Dandan, Ko Mu, Ko Nosa, King Asin, Buyeong, Mu Gol.
Ile Iko Vizuri Ila Nakushauri Uangalie DAE JOYOUNG Nayo Tamu Sana.
zote hizi zimeanza mwezi huu na nimeshaziangalia episode za mwanzoni ila cha ajabu nimeshindwa kufanya maamuzi sahihi ya kuziacha baadhi ya drama.
- Bad Papa at Dramanice
- Two Lives One Heart at Dramanice
- Terius Behind Me at Dramanice
- The Beauty Inside (Korean Drama) at Dramanice
- The Third Charm at Dramanice
- The Smile Has Left Your Eyes at Dramanice
- The Player (2018) at Dramanice
- Where Stars Land at Dramanice
mhhhhhhhhhhhhh hizi drama zote zimeanza vizuri sana sijui hata niiache ipi
mwezi october umezua balaaaa kwa wapenzi wa korean drama
bila ya kusahau jana imeanza hii inayoitwa room no 9 drama
Room No. 9 at Dramanice
malaika wa mitandao ni bora ateremke ili atuokoe sisi wajoseon tuliopotea mwezi huu
MmmmJibu la lakwanza, Bado Sijachumbiwa Inshaallah Mpka Pale Mola Akinisogezea
La Pili Naweza Kusema Ndio au Sio! Kwani Nakumbuka Nilishawahi Kuwa Na Ukaribu Na Mshikaji Wa kawaida Ambao Ulitaka Kuelekea Uko Lakini Aukufika Iyo Hatua.Na Tupo Kiushakaji/Kirafiki Mpka Leo.
Hisia Nilizokabiliana nazo Ni Nilijaribu Kuuzuia Moyo Japo Ni kitu Kigumu Ila Nilijaribu Nikaweza Hasa kwa Kumueka Mola Wangu Kwenye Msaada Huu!
Baada Ya Apa Vingi Vilibadilika Hasa Kuweza Kuzizuia Hisia!
[emoji9] Nimekujibu Sijuhi!!!?[emoji6][emoji13]
WaooooGummy And Jo Jung Suk Revealed To Be Already MarriedView attachment 890250
kwa mujibu wa label ya C-JeS Entertainment ambayo ndio wanamsimamia muimbaji gummy wamethibitisha taarifa za wawili hao kufunga ndoa ambapo sherehe ya ndoa ilihudhuriwa na wanafamilia wa karibu.
wawili hao wameahidiana kuendelea kuheshimiana, kuwa pamoja wakati wa shida na raha kwa maisha yao yote yaliobakia.
wawili hao walianzisha mahusiano yao mnamo mwaka 2013 na waliamua kupiga picha zao za maandalizi ya harusi kwenye kisiwa cha jeju
hongera kwao kwa kufunga ndoa sisi wengine mpaka tutimize miaka 70 ndio pengine tutafikiria kufunga ndoa.
View attachment 890249
duniani kuna wanadada wengi mno wenye sauti za kuvutia zilizojaa hisia ndani yake ila gummy nayeye ana sehemu yake kwenye nafsi yangu.
Vipi?Mmmm
Naomba msaada namna ya kupata subtitles za series ya Kikorea bayo haina hizo maandishi