Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Hahahhahaa unamkumbuka Yoo Seung Ho yule jamaa wa kwenye drama ya I'm Not A Robot. Nae kahusika ndani ya drama ya The Player kinacho nifurahisha zaidi vile vituko vyake kavihamishia huku. Bila kumsahau mzee mzima Won Hae Kim huyu alicheza pamoja na Song Seung Heon katika drama ya Black.
Screenshot_20181006-102354.jpg
 
  1. Bad Papa at Dramanice
  2. Two Lives One Heart at Dramanice
  3. Terius Behind Me at Dramanice
  4. The Beauty Inside (Korean Drama) at Dramanice
  5. The Third Charm at Dramanice
  6. The Smile Has Left Your Eyes at Dramanice
  7. The Player (2018) at Dramanice
  8. Where Stars Land at Dramanice
zote hizi zimeanza mwezi huu na nimeshaziangalia episode za mwanzoni ila cha ajabu nimeshindwa kufanya maamuzi sahihi ya kuziacha baadhi ya drama.
mhhhhhhhhhhhhh hizi drama zote zimeanza vizuri sana sijui hata niiache ipi
mwezi october umezua balaaaa kwa wapenzi wa korean drama
bila ya kusahau jana imeanza hii inayoitwa room no 9 drama
Room No. 9 at Dramanice
malaika wa mitandao ni bora ateremke ili atuokoe sisi wajoseon tuliopotea mwezi huu
 
Korean Drammas nilianza na;
-Jumong enzi zile inarushwa ITV na ndio dramma yangu ya kila wakati.
-Ya kijijini
Nilipenda ilivyoanza kwa Main Actor Prince Jumong kuwa na maisha fulani ya kijinga naweza sema ya kupenda wasichana na kutokujua kitu sababu alidhani he was truly a son of Emperor Kumwa, lakini baada ya kugundua kuwa Hae Mossu ndio baba yake that thing completely changed his lifestyle naa ndio hapo naona hii dramma ikaanza kuwa nzuri.

-Msanii wangu bora wa kiume ni Il Guk Sung (Jumong) Pia yumo kwenye Movie kama Crime Squad (Ya mjini), na wa kike Ni Sohsuno ( kwenye Jumong) Mtoto wa Lord Yuntabal the Merchant.
- Sexiest Actor ni City Hunter sijui jina lake nani halisi na Sexiest Actress kwangu ni yule dada wa kwenye IRIS
-Dramma yangu ya kwanza kuiona ni JUMONG labda ndio maana naipenda sana
-Hakuna dramma ninayoitafuta kwasababu nina Drama5 downloader kwahiyo dramayoyote niitakayo naipata hapo ni bundle langu tu na muda basi.

Sasa kuna Dramma naiangalia ndio nipo episode ya 63 usiku huu inaitwa KING GWANGGAETTO ni ya kijijini ni nzuri sana viwango vya kama JUMONG hutojutia kuiona. Pia kuna Warrior Baek Dong Soo ya kijijini pia niliiipenda, pamoja na Iljimae.
Mpaka sasa dramma za kikorea nilizoziangalia na kuzipenda ni;
-Jumong
-slave Hunter
-The Land Of Wind
-Great Queen Seondeokh
-Painter Of the Wind
-Pirrates of... (Jumong humu kaigiza pia jina limenitoka kidogo)
-King Gwanggaetto
-Warrior Baek Dong Soo
-Faith
-City Hunter
-Iris
-A Man Called God
-Athenna
-Bad Guy
-Crime Squad
-A Moment To Remember
-Black
- A flower in the prison
-Criminal Minds
- Bad Guys
- Defendant
- Six Flying Dragons
- The Night Watchman
- Grand Prince
King Gwanggaetto the Great ni dude la Kibabe
 
Gwangaeto Alikua Mtu Hatari, Ndie Aliyeipanua Goguryeo Na Kuwa Kubwa Na Imara Zaidi Ya Kingdom Nyingine Za Kikorea, Kipindi Chake Baekje, Silla, Japan, Mohe, Malgal, Khitan Wote Aliwaweka Chini Yaje Na Pia Alishida Vita Nyingi Dhidi Ya Chinese Sui. Na Ni Mmoja Kati Ya Wafalme Wa3 Wa Kikorea Ambao Walipewa Jina La Great King "DAEWANG" Pamoja Na Great King Sejong Wa Joseon Huyo Mwingine Ninemsahau.
Nimewakumbuka Sana Kina Sagal Hyeon, Dol Bisu, Yeo Sseokgae, Ha Muji, Ko Un, Fengba, Murong Un, Murong Xi, Murong Ba, Damju, Dandan, Ko Mu, Ko Nosa, King Asin, Buyeong, Mu Gol.
Ile Iko Vizuri Ila Nakushauri Uangalie DAE JOYOUNG Nayo Tamu Sana.
Miye nimeirudia the Great King mara 5 sasa ni ya 6 wameipa jina la Land of war
 
Acha zote ila usije fanya kosa ukaicha The Player
  1. Bad Papa at Dramanice
  2. Two Lives One Heart at Dramanice
  3. Terius Behind Me at Dramanice
  4. The Beauty Inside (Korean Drama) at Dramanice
  5. The Third Charm at Dramanice
  6. The Smile Has Left Your Eyes at Dramanice
  7. The Player (2018) at Dramanice
  8. Where Stars Land at Dramanice
zote hizi zimeanza mwezi huu na nimeshaziangalia episode za mwanzoni ila cha ajabu nimeshindwa kufanya maamuzi sahihi ya kuziacha baadhi ya drama.
mhhhhhhhhhhhhh hizi drama zote zimeanza vizuri sana sijui hata niiache ipi
mwezi october umezua balaaaa kwa wapenzi wa korean drama
bila ya kusahau jana imeanza hii inayoitwa room no 9 drama
Room No. 9 at Dramanice
malaika wa mitandao ni bora ateremke ili atuokoe sisi wajoseon tuliopotea mwezi huu
 
Gummy And Jo Jung Suk Revealed To Be Already Married
1538969355193.png

kwa mujibu wa label ya C-JeS Entertainment ambayo ndio wanamsimamia muimbaji gummy wamethibitisha taarifa za wawili hao kufunga ndoa ambapo sherehe ya ndoa ilihudhuriwa na wanafamilia wa karibu.
wawili hao wameahidiana kuendelea kuheshimiana, kuwa pamoja wakati wa shida na raha kwa maisha yao yote yaliobakia.
wawili hao walianzisha mahusiano yao mnamo mwaka 2013 na waliamua kupiga picha zao za maandalizi ya harusi kwenye kisiwa cha jeju
hongera kwao kwa kufunga ndoa sisi wengine mpaka tutimize miaka 70 ndio pengine tutafikiria kufunga ndoa.

1538969190622.png

duniani kuna wanadada wengi mno wenye sauti za kuvutia zilizojaa hisia ndani yake ila gummy nayeye ana sehemu yake kwenye nafsi yangu.
 
Jibu la lakwanza, Bado Sijachumbiwa Inshaallah Mpka Pale Mola Akinisogezea

La Pili Naweza Kusema Ndio au Sio! Kwani Nakumbuka Nilishawahi Kuwa Na Ukaribu Na Mshikaji Wa kawaida Ambao Ulitaka Kuelekea Uko Lakini Aukufika Iyo Hatua.Na Tupo Kiushakaji/Kirafiki Mpka Leo.

Hisia Nilizokabiliana nazo Ni Nilijaribu Kuuzuia Moyo Japo Ni kitu Kigumu Ila Nilijaribu Nikaweza Hasa kwa Kumueka Mola Wangu Kwenye Msaada Huu!
Baada Ya Apa Vingi Vilibadilika Hasa Kuweza Kuzizuia Hisia!

[emoji9] Nimekujibu Sijuhi!!!?[emoji6][emoji13]
Mmmm
 
Gummy And Jo Jung Suk Revealed To Be Already Married
View attachment 890250
kwa mujibu wa label ya C-JeS Entertainment ambayo ndio wanamsimamia muimbaji gummy wamethibitisha taarifa za wawili hao kufunga ndoa ambapo sherehe ya ndoa ilihudhuriwa na wanafamilia wa karibu.
wawili hao wameahidiana kuendelea kuheshimiana, kuwa pamoja wakati wa shida na raha kwa maisha yao yote yaliobakia.
wawili hao walianzisha mahusiano yao mnamo mwaka 2013 na waliamua kupiga picha zao za maandalizi ya harusi kwenye kisiwa cha jeju
hongera kwao kwa kufunga ndoa sisi wengine mpaka tutimize miaka 70 ndio pengine tutafikiria kufunga ndoa.

View attachment 890249
duniani kuna wanadada wengi mno wenye sauti za kuvutia zilizojaa hisia ndani yake ila gummy nayeye ana sehemu yake kwenye nafsi yangu.
Waoooo
 
Back
Top Bottom