Simple way tumia mx player.Naomba msaada namna ya kupata subtitles za series ya Kikorea bayo haina hizo maandishi
Mkuu hiv upande wa simu app gani nzuri kudownload Korean dramas.... Natumia dramania ila vipande vipande hadi sio poa maana episode 1 wameigawanya vipande 4 hadi 5...Simple way tumia mx player.
Wakati una play hiyo episode.
Gusa menu ya hiyo app utaona option ya ku download onlinesubtitles.
mkuu nitaangalia uwezo wa kukutana ili tupeane dramaNina series za Korea zaidi ya 30 complete kama Kuna mtu akitaka tuexchange aniambie...pia ninazo za US and others nipo kariakoo 0762778385
land of war ndio ipi hiyo muheshimiwa the great expander mbona sijawahi kuiona kwenye library yoyote ile?Miye nimeirudia the Great King mara 5 sasa ni ya 6 wameipa jina la Land of war
annyeong haseyoHahaha! Uporo Wa!!!!
Hahaha Mbavu..
Sa Kinachoniua Chengine Won deuk Ni yuko Seriously Jamni Acheki Hata! Pale Alipoenda Mtetea Mkewe kwa Yule Mwenye Wake Wengi! Hmmm Akaanza Shusha Tungo izo Za Mafumbo Akawaacha Midomo Wazi! Sasa Asivyotaka Watu Wamshike..
Mi Naona Anamuheshimu Sana Yule Baba Mkwe Kushinda Hata Yule Mke wake...
Won Deuk Ni GFN Hahahahahha
Tumia website au App moja ipo playstore inaitwa filechef yenyewe itakutafutia sites zenye direct link za hiyo Series.Mkuu hiv upande wa simu app gani nzuri kudownload Korean dramas.... Natumia dramania ila vipande vipande hadi sio poa maana episode 1 wameigawanya vipande 4 hadi 5...
Mkuu kwema. Pc inanisumbua kweli yaan wireless inakuwa connected lakini browser haifunguki nimejaribu google chrome, Mozilla, opera, internet explorer zote zimegomaTumia website au App moja ipo playstore inaitwa filechef yenyewe itakutafutia sites zenye direct link za hiyo Series.
Chief-MkwawaMkuu kwema. Pc inanisumbua kweli yaan wireless inakuwa connected lakini browser haifunguki nimejaribu google chrome, Mozilla, opera, internet explorer zote zimegoma
Huyu jamaa ataweza kunisaidia kutatua hili tatizo?@Chief-Mkwawa
Huyu ndo mtaalam jf nzima kama ulikua hujuiHuyu jamaa ataweza kunisaidia kutatua hili tatizo?
land of war ndio ipi hiyo muheshimiwa the great expander mbona sijawahi kuiona kwenye library yoyote ile?
msaada tafadhali
Huyu ndo mtaalam jf nzima kama ulikua hujui
Unaringa sikuhz...uliyempata usimwacheSawa
Nimemaliza kuicheki. Nayo ipo vizuri!Ki
Kill me Heal me
Imenichekesha San hii muv yan
Aisee! upo?Sawa
Mimi siku hizi nadownlodia kwenye Telegram.Jamani msaada site ya kudownload series imekuwa tatitizo kwangu,nilikuwa natumia drama nice na drama cool,baadaye zikazingua nikawa natumia dramaforever lkn na yenyewe imezingua,good drama ina parts kama 4 kwenye episode 1,plc site nzuri nishushe series